< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Ein Stufenlied. - In meiner Drangsal rufe ich zum Herrn. Er hört auf mich.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Herr! Rette mich von Lügenlippen, von trügerischer Zunge!
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Wie liefert Dir die trügerische Zunge fort und fort
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
geschärfte Pfeile eines Helden samt Ginsterkohlen!
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Weh mir, daß ich bei Mesech gaste, bei Kedars Zelten weile!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Zu lange schon weilt meine Seele bei Friedensfeinden.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Ich bin so friedsam. Doch, wenn ich's auch noch so sehr beteure, sie wollen Kampf.

< Zaburi 120 >