< Zaburi 115 >

1 Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
ヱホバよ榮光をわれらに歸するなかれ われらに歸するなかれ なんぢのあはれみと汝のまこととの故によりてただ名にのみ歸したまへ
2 Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
もろもろの國人はいかなればいふ 今かれらの神はいづくにありやと
3 Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
然どわれらの神は天にいます 神はみこころのままにすべての事をおこなひ給へり
4 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
かれらの偶像はしろかねと金にして人の手のわざなり
5 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
その偶像は口あれどいはず目あれどみず
6 zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
耳あれどきかず鼻あれどかがず
7 Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
手あれどとらず脚あれどあゆまず喉より聲をいだすことなし
8 Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
此をつくる者とこれに依賴むものとは皆これにひとしからん
9 Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
イスラエルよなんぢヱホバに依賴め ヱホバはかれらの助かれらの盾なり
10 Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
アロンの家よなんぢらヱホバによりたのめ ヱホバはかれらの助かれらの盾なり
11 Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
ヱホバを畏るるものよヱホバに依賴め ヱホバはかれらの助かれらの盾なり
12 Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
ヱホバは我儕をみこころに記たまへり われらを惠みイスラエルの家をめぐみアロンのいへをめぐみ
13 Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
また小なるも大なるもヱホバをおそるる者をめぐみたまはん
14 Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
願くはヱホバなんぢらを増加へ なんぢらとなんぢらの子孫とをましくはへ給はんことを
15 Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
なんぢらは天地をつくりたまへるヱホバに惠まるる者なり
16 Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
天はヱホバの天なり されど地は人の子にあたへたまへり
17 Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
死人も幽寂ところに下れるものもヤハを讃稱ふることなし
18 bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.
然どわれらは今より永遠にいたるまでヱホバを讃まつらむ 汝等ヱホバをほめたたへよ

< Zaburi 115 >