< Zaburi 11 >

1 Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
AS Jeova nae juangocoyo: jafa na ilegmo ni antijo: Gupo gui egsomo calang pajaro?
2 Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
Sa, estagüe, y manaelaye na jaaregla y atcos: jafamauleg y flecha gui taliña para uflecha gui jinemjom y manunas na corason.
3 Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
Yaguin y plinanta sija esta mayulang: jafa siña y manunas ujafatinas.
4 Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
Si Jeova gaegue gui santos na temploña; si Jeova, y tronuña gaegue gui langet; y atadogña manlilie yan y babaliña jachachague y famaguon y taotao.
5 Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
Si Jeova jachachague y manunas: lao y manaelaye, ya y gumaeya mandague, y antiña chumatlie.
6 Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
Uuchan y casiyas gui jilo y manaelaye: guafe yan asufre ya y manglo na mañila y patteña gui basuña.
7 Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.
Sa y tinas Jeova; yaña y tinas: ya jaatan y manunas y mataña.

< Zaburi 11 >