< Zaburi 103 >
1 Nitamsifu Yahwe maisha yangu yote, na vyote vilivyomo ndani yangu, nitalisifu jina lake takatifu.
Kahinaho jouse pum'in Yahweh Pakai chu thagvah ingkate. Kalungthim pumpin amintheng choian inge.
2 Maishani mwangu mwote nitamsifu Yahwe, na kukumbuka matendo yake yote mazuri.
Kahinaho jouse pum'in Yahweh Pakai chu thangvah ingkate. Keidinga thilpha eibolpeh ho itihchan hijongleh sumil ponge.
3 Yeye husamehe dhambi zako zote; huponya magonjwa yako yote.
Aman kachonsetna jouse angaidam tai, chuleh kadam mona hojouse le kahivei hojouse eiboldam pehtai.
4 Huukomboa uhai wako dhidi ya uharubifu; hukuvika taji kwa uaminifu wa agano lake na hutenda kwa rehema.
Aman kathina dinga kon in eihuhdohtai chuleh ngailutna leh khotona dimset in eiphungvuh tai.
5 Huyatosheleza maisha yako kwa mambo mema ili kwamba ujana wako ufanywe upya kama tai.
Aman kahinkho hi thilpha dimset in eiphungvuh tai, Muvanlai bangin kakhandon hinkho akiledohsah tai!
6 Yahwe hutenda yaliyo haki naye hutenda hukumu ya haki kwa ajili ya wote walio onewa.
Yahweh Pakai in chonphatna leh dihna chu suhgenthei a umte chu amusah ding ahi.
7 Alimjulisha Musa njia zake, matendo yake kwa uzao wa Israeli.
Aman ahina tahbeh chu Mose kom ah anatahlang'in chuleh anatoh hochu Israel mipite lah-a anaphongdoh'in ahi.
8 Yahwe ni wa huruma na neema; ni mvumilivu; ana agano kuu la uaminifu.
Yahweh Pakai hi mikhoto them tahleh mihepi themtah lunghang vahlou chuleh longlou ngailutna a dimset ahi.
9 Hataadhibu siku zote; hakasiriki siku zote.
Amahin phat tinnin eithepmosah pouvintin ahilouleh lunghang jingjeng ponte.
10 Hatushughulikii sisi kama dhambi zetu zinavyostahili au kutulipa kulingana na uhitaji wa dhambi zetu.
Aman ichonset nauva jong ei engbol pouvintin chuleh Aman eiho chanding dol hotbolna jong einei pouvinte.
11 Kama mbingu zilivyo juu zaidi ya nchi, ndivyo ulivyo ukuu wa uaminifu wa agano lake kwao wale wanaomcha yeye.
Ama gingte chunga angailutna tanglou hi leiset chunga van asan banga hi sanga ahi.
12 Kama vile mashariki ilivyo mbali na magharibi, hivi ndivyo ameondoa hatia zetu za dhambi zetu mbali nasi.
Aman eiho chonset nahi, solam le lhumlam akigam lhat bangin gamlatah in atolmang tai.
13 Kama vile baba alivyo na huruma kwa watoto wake, ndivyo Yahwe alivyo na huruma kwao wamchao.
Yahweh Pakai hi chapangte dinga apauva panga ahin, ama gingte dinga khoto them tahle ngailutna dimset ahijing e.
14 Maana anajua tulivyo umbwa; anajua kuwa tu mavumbi.
Ajeh chu Aman ihatmonau eihet thempeh'un chuleh eihohi vutvai tobang bou ihiu ageldoh jingin ahi.
15 Kama ilivyo kwa mwanadamu, siku zake ni kama majani; hustawi kama ua katika shamba.
Leiset chunga ihinkho hou jong hampa bangbep ahin, gam pahcha tobangin ipahdoh'un athi loikitji tai.
16 Upepo hulipiga, nalo hutoweka, na hakuna hata mmoja awezaye kuelezea mahali lilipokua.
Hui ahung nung jin aitih a aumkhlou bang in bep in eimut mang ji taove.
17 Lakini agano la uaminifu wa Yahwe uko kwa wale wamchao yeye milele hata milele. Haki yake ni endelevu kwa uzao wao.
Hinla Yahweh Pakai gingte din vang amingailutna nitin in aumjinge. Ami huhhing nanjong achate chateho gei in,
18 Wanashika agano lake na kukumbuka kutii maagizo yake.
hitobanga aDan thua kitahna nei ho le, athupeh jui jing ho din aumpeh jing e.
19 Yahwe ameweka kiti chake cha enzi mbinguni, na ufalme wake watawala juu ya kila mtu.
Yahweh Pakai in vanmun hohi alaltouna in asemin; hichea kon in muntin chunga vai ahom e.
20 Msifuni Yahwe, enyi malaika zake, ninyi hodari wenye nguvu na mtendao neno lake, na kutii sauti ya neno lake.
Nangho vantilte ho, nangho mithupitahte ho, ana tongdoh a pangho Yahweh Pakai hi thangvah un.
21 Msifuni Yahwe, enyi jeshi la malaika wote, ninyi ni watumishi mfanyao mapenzi yake.
Ahi, nangho vantil sepaite ho alungdeilam boljinga Ama janlea pangjing ho Yahweh Pakai chu thangvah'un.
22 Msifuni Yahwe, viumbe wake wote, mahali popote atawalapo. Nitamsifu Yahwe maisha yangu yote.
Asemsa ho jousen, chuleh alengam a umjousen Yahweh Pakai chu thangvah'un. Keima kahina jouse pum in Yahweh Pakai chu thangvah jing ing kate.