< Mithali 7 >
1 Mwanangu, yatunze maneno yangu na ndani yako udhihifadhi amri zangu.
Mi sone, kepe thou my wordis; and kepe myn heestis to thee. Sone, onoure thou the Lord, and thou schalt be `myyti; but outakun hym drede thou not an alien.
2 Uzilinde amri zangu ili uishi na uyatunzetu mafundisho yangu kama mboni ya jicho.
Kepe thou myn heestis, and thou schalt lyue; and my lawe as the appil of thin iyen.
3 Uyafunge katika vidole vyako; uyaandike katika kibao cha moyo wako.
Bynde thou it in thi fyngris; write thou it in the tablis of thin herte.
4 Mwambie hekima, “wewe ni dada yangu,” na ufahamu mwite jamaa yako,
Seie thou to wisdom, Thou art my sistir; and clepe thou prudence thi frendesse.
5 ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.
That it kepe thee fro a straunge womman; and fro an alien womman, that makith hir wordis swete.
6 Nilikuwa naangalia kwenye wavu wa dirisha la nyumba yangu.
For whi fro the wyndow of myn hous bi the latijs Y bihelde; and Y se litle children.
7 Nikawatazama watu mwenye ukosefu wa uzoefu, na miongoni mwa watu vijana nikamwona kijana asiye na akili.
I biholde a yong man coward,
8 Kijana huyo alishuka mtaani kwenye kona karibu na yule mwanamke, akaenda kwenye nyumba yake.
that passith bi the stretis, bisidis the corner; and he
9 Ilikuwa katika utusiutusi wa siku muda wa jioni, wakati wa usiku na giza.
goith niy the weie of hir hous in derk tyme, whanne the dai drawith to niyt, in the derknessis and myst of the nyyt.
10 Akakutana na yule mwanake, amevaa kama kahaba, katika moyo wa udanyanyifu.
And lo! a womman, maad redi with ournement of an hoore to disseyue soulis, meetith hym, and sche is a ianglere, and goynge about,
11 Alikuwa na kelele na upotovu; miguu yake haikutulia kwenye masikani.
and vnpacient of reste, and mai not stonde in the hous with hir feet;
12 Alielekea mitaani, kisha sehemu ya sokoni, na katika kila upande alisubiri kwa kuviza.
and now without forth, now in stretis, now bisidis corneris sche `aspieth.
13 Basi akamshika na kumbusu, kwa uso wa nguvu akamwambia,
And sche takith, and kissith the yong man; and flaterith with wowynge cheer, and seith, Y ouyte sacrifices for heelthe;
14 leo nimetoa sadaka yangu ya amani, nimelipa nadhili yangu,
to dai Y haue yolde my vowis.
15 hivyo nilikuja kukutana nawe, kuutafuta uso wako kwa hamu, na sasa nimekupata.
Therfor Y yede out in to thi meetyng, and Y desiride to se thee; and Y haue founde thee.
16 Nimeweka matandiko juu ya kitanda changu, kitani za rangi kutoka Misri.
Y haue maad my bed with coordis, Y haue arayed with tapetis peyntid of Egipt;
17 Kitanda changu nimenyunyizia manemane, udi na mdalasini.
Y haue bispreynt my bed with myrre, and aloes, and canel.
18 Njoo, tunywe tujishibishe kwa upendo wetu hata asubuhi; tupate furaha kuu kwa matendo ya mahaba.
Come thou, be we fillid with tetis, and vse we collyngis that ben coueitid; til the dai bigynne to be cleer.
19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali.
For myn hosebonde is not in his hows; he is goon a ful long weie.
20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu.
He took with hym a bagge of money; he schal turne ayen in to his hous in the dai of ful moone.
21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
Sche boonde hym with many wordis; and sche drow forth hym with flateryngis of lippis.
22 Ghafula alimfuata kama maksai anayekwenda kwa mchinjaji, kama ayala aliyekamatwa kwa nguvu,
Anoon he as an oxe led to slayn sacrifice sueth hir, and as a ioli lomb and vnkunnynge; and the fool woot not, that he is drawun to bondys,
23 mpaka mshale upasue ini lake. Alikuwa kama ndege anayekimbili kwenye mtego. Hakujua kuwa itamgharimu maisha yake.
til an arowe perse his mawe. As if a brid hastith to the snare; and woot not, that it is don of the perel of his lijf.
24 Na sasa, wanangu, nisikilizeni; zingatieni maneno ya kinywa changu.
Now therfor, my sone, here thou me; and perseyue the wordis of my mouth.
25 Moyo wako usiyageukie mapito yake; usipotoshwe katika mapito yake.
Lest thi soule be drawun awei in the weies of hir; nether be thou disseyued in the pathis of hir.
26 Amesababisha watu wengi kuanguka kwa kuwajeruhi; ameua watu wengi.
For sche castide doun many woundid men; and alle strongeste men weren slayn of hir.
27 Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol )
The weies of helle is hir hous; and persen in to ynnere thingis of deeth. (Sheol )