< Mithali 26 >

1 Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno, ndivyo mpumbavu asivyostahili heshima.
Ha: i manu gamibi galu, gibu bagade da noga: i hame ba: sa. Mugi oubiga, mugene su ba: mu amola da noga: i hame ba: sa. Amo defele, gagaoui dunuma nodomu da noga: i hame ba: sa.
2 Kama shorowanda hurukaruka na kumeza wadudu wakati wa kuruka, ndivyo ilivyo laana isiyostahili haishuki.
Di da moloidafa hou fawane hamonanea, dunu eno da di bai hame gala aligima: ne gagabusia, di da se hame nabimu. Amo gagabusu da sio gudu mae sa: ili, gadomusu hagili lalebe agoai.
3 Mjeledi ni kwa ajili ya farasi, hatamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu.
Di da hosi amoma dawa: ma: ne fegasuga fasa. Dougi da noga: le masa: ne, di da efe bobagele lafiga gula misisa. Amola gagaoui dunu noga: le dawa: ma: ne, famu da defea.
4 Usimjibu mpumbavu na kujiunga katika upumbavu wake, au utakuwa kama yeye.
Di da gagaoui dunu ea udigili adole ba: su sia: , amoma bu adole iasea, di amola da gagaoui dunu agoai ba: mu.
5 Mjibu mpumbavu na jiunge katika upumbavu wake, ili asiweze kuwa na busara katika macho yake mwenyewe.
Di da gagaoui dunu ea udigili adole ba: su sia: amoma ea sia: be defele selefane sia: mu da defea. Amasea, gagaoui dunu da hi da noga: i dadawa: su hame dawa: mu.
6 Anayetuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu huikata miguu yake mwenyewe na kunywa vurugu.
Di da gagaoui dunu amo ea eno dunuma sia: ne iasu logo doasisia, di da fedege agoane dia emo hedofale fasibi defele hamosa. Amola mosolasu da dima doaga: musa: manebe agoai ba: mu.
7 Miguu ya kiwete inayoning'ia chini ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Emo afoi dunu da ea emoga masunu gogolei. Amo defele, gagaoui dunu da malasu sia: ea bai olemusa: hamedafa dawa:
8 Kujaribisha jiwe kwenye kombeo ni sawa na kumpa heshima mpumbavu.
Gagaoui dunuma nodone mae sia: ma. Amo hou da dia ga: muga: dadi damana gele la: gimu defele ba: sa.
9 Mwiba unaochoma kwenye mkono wa mlevi ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
Gagaoui dunu da malasu sia: sia: ne iasea, e da adini feloai dunu, e da aya: gaga: nomeiga ea loboa soi, hi duga: lalebe agoai ba: sa.
10 Mpiga mishale anayejeruhi kila mtu ni kama mtu anayemwajiri mpumbavu au kila mtu anayepita karibu yake.
Hawa: hamoma: ne iasu dunu da mae dawa: le udigili gagaoui dunuma hawa: hamosu iasea, e da dunu huluane ilima se iaha.
11 Kama mbwa anavyorudia matapishi yake, ndivyo alivyo mpumbavu anayerudia upuuzi wake.
Gagaoui dunu da musa: hou yolesili, amo bu hamosea, amo hou da wa: mega hi isoi amo bu hi nabe defele hamosa.
12 Je unamwona mtu mwenye busara katika macho yake mwenyewe? Mpumbavu anamatumaini zaidi kuliko yeye.
Nowa dunu gasa fili hina: hou da bagade hi dadawa: suyale dawa: sea, ea hou da hamedei liligi agoai. Gagaouidafa dunu ea hou da amaiwane dunu ea hou baligisa.
13 Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
Hihi dabuli dunu da abuliba: le ea diasu fisili, soge hame ahoabela: ? E da laione wa: me, ea gasonasa: besa: le hame ahoasa: bela: ?
14 Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
Hihi dabuli dunu da ea diaheda: su fafai amo da: iya dedenegisa diala. Ea golabe hou da logo ga: su doagale, ga: sili, doagale ga: sibi agoai gala.
15 Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
Dunu mogili da hihi dabuliba: le, ilia ha: i manu loboga lale manu higasa.
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
Hihi dabuli dunu da ea dawa: su hou da molole dawa: su dunu fesuale gala, amo ilia hou hi dawa: su hou amo baligiyale hi dawa: sa.
17 Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
Sia: ga gegesu amo da dia liligi hame, amoga gilisisia, da logoga ahoana, wa: me gega gagubi defele ba: sa.
18 Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
19 ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
Nowa dunu da eno dunuma ogogole sia: sea, amola fa: no amo ogogoi da ousa sia: fawane sia: sa, amo dunu da doula ahoasu dunu amo da dunu medoma: ne gala: su liligi gaguli lalebe agoai.
20 Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
Lalu habei hamedesea, lalu da usisa. Amola baligiduli sia: su hame galea, sia: ga gegesu hame ba: mu.
21 Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
Genosu amola lalu daba: galea, lalu da nesa. Mosolasu hamosu dunu da sia: ga gegesu wili gala: sa.
22 Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
Dunu bagohame da baligidi sia: sia: dasu bagade hana: iba: le, hahawane nodone da: gisa.
23 Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.
Obebenama: ne ogogosu sia: da noga: i dabuagado ela: mei wadela: i osoboga hamoi ofodo amo damana ulasi agoai ba: sa.
24 Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
Dabua obenane hawa: hamosu dunu da dunu enoma higasa. Be e da eno dunuma dabua hahaiyafuli sia: beba: le, ea higasu hou wamolegesa.
25 Ataongea kwa huruma, lakini usimwamini, maana kuna machukizo saba kwenye moyo wake.
Ea sia: da noga: i naba, be amo dafawaneyale mae dawa: ma. Bai ea dogo da dunu enoma mihanai hou, amoga nabai gala.
26 Ingawa chuki zake zimefunikwa kwa udanganyifu, uovu wake utakuwa wazi katika kusanyiko.
E da ea higasu asigi dawa: su wamolegemusa: dawa: Be dunu huluane da ea wadela: i hou hamobe ba: sea, ea houdafa ilia dawa: mu.
27 Anayechimba shimo atatumbukia ndani yake na jiwe litamsaga yule anayelisukuma.
Dunu da eno dunu sa: ima: ne sanisia, ilila: saniga ilila: sa: imu. Dunu ili banenesima: ne osobo agele sala, bu ilila: da amoga banenesi dagoi ba: mu.
28 Ulimi wa uongo huchukia watu unaowajeruhi na kinywa cha uongo husogeza karibu uharibifu.
Nowa dunu da eno dunuma higasea, e da amo dunu wadela: lesima: ne ogogole sia: sa. Obenama: ne ogogosu sia: da eno dunu wadela: lesisa.

< Mithali 26 >