< Mithali 21 >
1 Moyo wa mfalme ni mfereji wa maji katika mkono wa Yehova; anaugeuza popote anakopenda.
Kraljevo srce je v Gospodovi roki, kakor vodne reke, obrača ga kamor hoče.
2 Kila njia ya mtu ni sawa katika macho yake mwenyewe, lakini ni Yehova anayeipima mioyo.
Vsaka človekova pot je pravilna v njegovih lastnih očeh, toda Gospod preudarja srca.
3 Kutenda haki na adili hukubaliwa zaidi na Yehova kuliko sadaka.
Izvajati pravičnost in sodbo je Gospodu bolj sprejemljivo kakor klavna daritev.
4 Macho ya kiburi na moyo wa majivuno- taa ya waovu- ni dhambi.
Vzvišen pogled in ponosno srce in oranje zlobnih je greh.
5 Mipango ya mwenye juhudi huelekea kwenye mafanikio tu, bali kila mtu anayetenda kwa haraka huelekea umasikini.
Misli marljivega se nagibajo samo k obilju, toda od vsakega, ki je nagel, samo za pomanjkanje.
6 Kujipatia utajiri kwa ulimi wa uongo ni mvuke unaopita upesi na mtego ambao unafisha.
Pridobivanje zakladov z lažnivim jezikom je ničevost, premetavana sem ter tja, od tistih, ki iščejo smrt.
7 Vurugu ya waovu itawaburuta mbali, maana wanakataa kutenda haki.
Ropanje zlobnih jih bo uničilo, ker so odklonili izvrševati sodbo.
8 Njia ya mwenye hatia ni ukatiri, bali mwenye usafi hutenda yaliyo ya haki.
Človekova pot je kljubovalna in nenavadna, toda glede čistega, njegovo delo je pravilno.
9 Bora kuishi kwenye kona ya juu darini kuliko katika nyumba pamoja na mke mgonvi.
Bolje je prebivati v kotu hišne strehe kakor s prepirljivo žensko v prostrani hiši.
10 Hamu ya mwovu ni uchu wa mabaya; jirani yake haoni ukarimu katika macho yake.
Duša zlobnega želi zlo; njegov sosed v njegovih očeh ne najde naklonjenosti.
11 Mwenye dhihaka anapoadhibiwa mjinga hupata busara, na mtu mwenye busara anapofundishwa, anaongeza maarifa.
Kadar je posmehljivec kaznovan, preprosti postane moder in kadar je moder poučen, prejema znanje.
12 Atendaye haki huilinda nyumba ya mwovu; huwashusha waovu kwenye uharibifu.
Pravičen človek modro preudarja hišo zlobnega, toda Bog ruši zlobne zaradi njihove zlobnosti.
13 Anayeziba masikio yake kwenye kilio cha masikini, pia atalia, lakini hatajibiwa.
Kdorkoli maši svoja ušesa ob joku ubogega, bo tudi sam jokal, toda ne bo uslišan.
14 Zawadi ya siri hutuliza hasira na zawadi ya kificho hutuliza ghadhabu kuu.
Darilo na skrivnem pomirja jezo, nagrada v naročje pa močan bes.
15 Haki ikitendeka, huleta furaha kwa mwenye kutenda wema, lakini huleta hofu kubwa kwa watenda mabaya.
Pravičnim je veselje izvrševati sodbo, toda uničenje bo za delavce krivičnosti.
16 Yule anayezurura kutoka kwenye njia ya ufahamu, atapumzika kwenye kusanyiko la wafu.
Človek, ki tava izven poti razumevanja, bo ostal v skupnosti mrtvih.
17 Anayependa raha atakuwa masikini; anayependa divai na mafuta hawezi kuwa tajiri.
Kdor ljubi užitek, bo revež, kdor ljubi vino in olje, ne bo bogat.
18 Mtu mbaya ni fidia kwa yule atendaye haki, na mdanganyifu ni fidia kwa waaminifu.
Zlobni bo odkupnina za pravičnega in prestopnik za poštenega.
19 Bora kuishi jangwani kuliko kuishi pamoja na mwanamke ambaye huchochea sana ugomvi na malalamiko.
Bolje je prebivati v divjini kakor s prepirljivo in jezno žensko.
20 Hazina yenye thamani na mafuta vipo nyumbani kwa mwenye busara, bali mtu mpumbavu huviharibu.
Je zaželen zaklad in olje v prebivališču modrega, toda nespameten človek ga zapravlja.
21 Mtu atendaye haki na mwema -huyu mtu hupata uzima, haki na heshima.
Kdor si prizadeva za pravičnostjo in usmiljenjem, najde življenje, pravičnost in čast.
22 Mtu mwenye busara huupima mji wa mashujaa, na huiangusha ngome wanayoitumaini.
Moder človek zmanjšuje mesto mogočnega in podira moč zaupanja iz tega.
23 Anayelinda kinywa chake na ulimi wake hujilinda mwenyewe na taabu.
Kdorkoli zadržuje svoja usta in svoj jezik, svojo dušo zadržuje pred težavami.
24 Mtu mwenye kiburi na maringo- “Dhihaka” ndilo jina lake - hutenda kwa majivuno na kujidai.
Ponosen in ošaben posmehljivec je njegovo ime, kdor ravna v ponosnem besu.
25 Shauku ya mtu mvivu itamuua, maana mikono yake hukataa kufanya kazi.
Želja lenega, ga ubija, kajti njegove roke odklanjajo delati.
26 Kwa siku nzima hupatwa na uchu na uchu zaidi, lakini atendaye haki hutoa na wala hazuii.
On lakomno hlepi čez ves dan, toda pravični daje in ne skopari.
27 Sadaka ya mwovu ni chukizo; huwa ni chukizo zaidi anapoileta kwa nia mbaya.
Klavna daritev zlobnega je ogabnost, koliko bolj, ko to prinaša z zlobnim umom?
28 Shahidi wa uongo ataangamia, bali anayesikiliza ataongea kwa muda wote.
Kriva priča bo propadla, toda človek, ki posluša, nenehno govori.
29 Mtu mwovu huufanya uso wake kuwa mgumu, bali mtu mwadilifu ni thabiti juu ya njia zake.
Zloben človek otrdi svoj obraz, toda kar se tiče poštenega, on uravnava svojo pot.
30 Hakuna hekima, hakuna ufahamu, na hakuna shauri linaloweza kusimama kinyume na Yehova.
Ne obstaja niti modrost niti razumevanje niti namera zoper Gospoda.
31 Farasi hutayarishwa kwa siku ya mapigano, lakini ushindi hupatikana kwa Yehova.
Konj je pripravljen za dan bitke, toda rešitev je od Gospoda.