< Mithali 17 >
1 Ni bora kuwa na utulivu pamoja chembe za mkate kuliko nyumba yenye sherehe nyingi pamoja na ugomvi.
Ліпший черствий кусок зо споко́єм, ніж дім, повний у́чти м'ясної зо сваркою.
2 Mtumishi mwenye busara atatawala juu ya mwana atendaye kwa aibu na atashiriki urithi kama mmoja wa ndugu.
Раб розумний панує над сином безпутнім, і серед братів він поділить спа́док.
3 Kalibu ni kwa fedha na tanuu ni kwa dhahabu, bali Yehova huisafisha mioyo.
Для срі́бла — топи́льна посу́дина, а го́рно — для золота, Господь же серця випробо́вує.
4 Mtu atendaye mabaya huwasikiliza wale wanaosema maovu; muongo anausikivu kwa wale wanaosema mambo mabaya.
Лиходій слухається уст безбожних, слухає неправдомо́в язика лиході́йного.
5 Mwenye kumdhihaki masikini humtukana Muumba wake na anayefurahia msiba hatakosa adhabu.
Хто сміється з убогого, той ображає свого Творця, хто радіє з нещастя, — не буде такий без вини.
6 Wajukuu ni taji ya wazee na wazazi huleta heshima kwa watoto wao.
Корона для ста́рших — ону́ки, а пишно́та дітей — їхні батьки́.
7 Hotuba ya ushawishi haifai kwa mpumbavu; kidogo zaidi midomo ya uongo inafaa kwa ufalme.
Не присто́йна безумному мова поважна, а тим більше шляхе́тному — мова брехли́ва.
8 Rushwa ni kama jiwe la kiini macho kwa yule ambaye atoaye; yeye anayeiacha, hufanikiwa.
Хабар в о́чах його власника́ — самоцві́т: до всьо́го, до чого пове́рнеться, буде щасти́ти йому́.
9 Anayesamehe kosa hutafuta upendo, bali yeye anayerudia jambo huwatenganisha marafiki wa karibu.
Хто шукає любови — провину ховає, хто ж про неї повто́рює, розго́нює дру́зів.
10 Karipio hupenya ndani ya mtu mwenye ufahamu kuliko mapigo mamia kwenda kwa mpumbavu.
На розумного більше впливає одне остере́ження, як на глупака́ сто ударів.
11 Mtu mbaya hutafuta uasi tu, hivyo mjumbe katiri atatumwa dhidi yake.
Злий шукає лише неслухня́ности, та вісник жорстокий на нього пошлеться.
12 Ni bora kukutana na dubu aliyeporwa watoto wake kuliko kukutana na mpumbavu katika upumbavu wake.
Ліпше спітка́ти обезді́тнену ведмедицю, що кидається на люди́ну, аніж нерозумного в глупо́ті його.
13 Mtu anaporudisha mabaya badala ya mema, mabaya hayatatoka katika nyumba yake.
Хто відплачує злом за добро, — не відступить лихе з його дому.
14 Mwanzo wa mafarakano ni kama mtu anayefungulia maji kila mahali, hivyo ondoka kwenye mabishano kabla ya kutokea.
Почин сварки — то про́рив води, тому перед ви́бухом сварки покинь ти її!
15 Yeye ambaye huwaachilia watu waovu au kuwalaumu wale wanaotenda haki - watu hawa wote ni chukizo kwa Yehova.
Хто оправдує несправедливого, і хто засуджує праведного, — оби́два вони Господе́ві оги́дні.
16 Kwa nini mpumbavu alipe fedha kwa kujifunza hekima, wakati hana uwezo wa kujifunza?
На́що ті гроші в руці нерозумного, щоб мудрість купити, як мо́зку нема?
17 Rafiki hupenda kwa nyakati zote na ndugu amezaliwa kwa ajili ya nyakati za taabu.
Правдивий друг любить за всякого ча́су, в недолі ж він робиться братом.
18 Mtu asiyekuwa na akili hufanya ahadi zenye mashariti na kuanza kuwajibika kwa madeni ya jirani yake.
Люди́на, позба́влена розуму, ру́читься, — пору́ку дає за друга свого.
19 Apendaye mafarakano anapenda dhambi; ambaye hutengeneza kizingiti kirefu sana kwenye mlango wake husababisha kuvunjia kwa mifupa.
Хто сварку кохає, той любить гріх; хто ж підвищує уста свої, той шукає нещастя.
20 Mtu mwenye moyo wa udanganyifu hapati chochote ambacho ni chema; na mwenye ulimi wa ukaidi huanguka kwenye janga.
Люди́на лукавого серця не зна́йде добра, хто ж лука́вить своїм язико́м, упаде в зло.
21 Mzazi wa mpumbavu huleta majonzi kwake mwenyewe; baba wa mpumbavu hana furaha.
Хто родить безумного, родить на смуток собі, і не поті́шиться батько безглуздого.
22 Moyo mchangamfu ni dawa njema, bali roho iliyopondeka hukausha mifupa.
Серце радісне добре лікує, а пригно́блений дух сушить ко́сті.
23 Mtu mwovu hukubali rushwa ya siri ili kupotosha njia za haki.
Безбожний таємно бере хабара́, щоб зігнути путі правосу́ддя.
24 Mwenye ufahamu huelekeza uso wake kwenye hekima, bali macho ya mpumbavu huelekea ncha za dunia.
З обличчям розумного — мудрість, а очі глупця́ — аж на кінці землі.
25 Mwana mpumbavu ni huzuni kwa baba yake na uchungu kwa mwanamke aliyemzaa.
Нерозумний син — смуток для батька, для своєї ж родительки — гі́ркість.
26 Pia, si vizuri kumwadhibu mwenye kutenda haki; wala si vema kuwachapa mjeledi watu waadilifu wenye ukamilifu.
Не добре карати справедливого, бити шляхе́тних за щирість!
27 Mwenye maarifa hutumia maneno machache na mwenye ufahamu ni mtulivu.
Хто слова́ свої стримує, той знає пізна́ння, і холоднокро́вний — розумна люди́на.
28 Hata mpumbavu hudhaniwa kuwa na busara kama akikaa kimya; wakati anapokaa amefunga kinywa chake, anafikiriwa kuwa na akili.
І глупа́к, як мовчить, уважається мудрим, а як у́ста свої закриває — розумним.