< Mithali 16 >
1 Mipango ya moyo ni ya mtu, bali Yehova hutoa jawabu kutoka kwenye ulimi wake.
Człowiek sporządza myśli serca swego; ale od Pana jest odpowiedź języka.
2 Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
Wszystkie drogi człowiecze zdadzą się być czyste przed oczyma jego; ale Pan jest, który waży serca.
3 Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
Włóż na Pana sprawy twe, a będą utwierdzone zamysły twoje.
4 Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
Pan dla siebie samego wszystko sprawił, nawet i niezbożnika na dzień zły.
5 Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
Obrzydliwością jest Panu każdy wyniosłego serca; który choć sobie innych na pomoc weźmie, nie ujdzie pomsty.
6 Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
Miłosierdziem i prawdą oczyszczona bywa nieprawość, a w bojaźni Pańskiej odstępujemy od złego.
7 Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
Gdy się podobają Panu drogi człowieka, i nieprzyjaciół jego do zgody z nim przywodzi.
8 Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
Lepsza jest trocha z sprawiedliwością, niż wiele dochodów niesprawiedliwych.
9 Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
Serce człowiecze rozrządza drogi swe; ale Pan sprawuje kroki jego.
10 Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
Sprawiedliwy rozsądek jest w wargach królewskich; w sądzie nie błądzą usta jego.
11 Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
Waga i szale są ustawą Pańską, a wszystkie gwichty sprawiedliwe w worku są za sprawą jego.
12 Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.
Obrzydliwością jest królom czynić niezbożność; bo sprawiedliwością stolica umocniona bywa.
13 Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
Przyjemne są królom wargi sprawiedliwe, a szczerych w mowie miłują.
14 Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
Gniew królewski jest posłem śmierci; ale mąż mądry ubłaga go.
15 Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.
W jasności twarzy królewskiej jest żywot, a łaska jego jest jako obłok z deszczem późnym.
16 Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu. Kuchagua kupata ufahamu ni zaidi kuliko fedha.
Daleko lepiej jest nabyć mądrości, niżeli złota najczystszego; a nabyć roztropności lepiej, niż srebra.
17 Njia kuu ya watu waadilifu hujitenga na ubaya; mwenye kuyahifadhi maisha yake huilinda njia yake.
Gościniec uprzejmych jest odstąpić od złego; strzeże duszy swej, kto strzeże drogi swojej.
18 Kiburi hutangulia kabla ya uharibifu na moyo wa kujivuna kabla ya maangamizi.
Przed zginieniem przychodzi pycha, a przed upadkiem wyniosłość ducha.
19 Ni bora kunyenyekea miongoni mwa watu masikini kuliko kugawana ngawira pamoja watu wenye kiburi.
Lepiej jest być uniżonego ducha z pokornymi, niżeli dzielić korzyści z pysznymi.
20 Mwenye kutafakari yaliyofundishwa hupata kilicho chema na wenye kumtumaini Yehova watafurahi.
Kto ma wzgląd na słowa, znajduje dobre; a kto ufa w Panu, błogosławiony jest.
21 Mwenye hekima moyoni anaitwa ufuhamu na utamu wa hotuba huongeza uwezo wa kufundisha.
Kto jest mądrego serca, słynie rozumnym, a słodkość warg przydaje nauki.
22 Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwake ambaye nayo, bali adhabu ya wapumbavu ni upumbavu wao.
Zdrój żywota jest roztropność tym, którzy ją mają; ale umiejętność głupich jest głupstwem.
23 Moyo wa mtu mwenye hekima hutoa busara katika kinywa chake na huongeza ushawishi katika midomo yake.
Serce mądrego roztropnie sprawuje usta swoje, a wargami swemi przydaje nauki.
24 Maneno yenye kufaa ni sega la asali -matamu kwenye nafsi na huponya mifupa.
Powieści wdzięczne są jako plastr miodu, słodkością duszy, a lekarstwem kościom.
25 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, bali mwisho wake ni njia ya mauti.
Zda się podczas droga być prosta człowiekowi; wszakże dokończenie jej pewna droga na śmierć.
26 Hamu ya kibarua humfanyia kazi; njaa yake humsihi kuendelea.
Człowiek pracowity pracuje sobie; bo go pobudzają usta jego.
27 Mtu duni huchimba madhara na usemi wake ni kama moto unaounguza.
Człowiek niezbożny wykopuje złe, a w wargach jego jako ogień pałający.
28 Mtu mkaidi huchochea mafarakano na umbeya huwafarakanisha marafiki.
Mąż przewrotny rozsiewa zwady, a klatecznik rozłącza przyjaciół.
29 Mtu wa vurugu humdanganya jirani yake na kumwongoza kwenye mapito ambayo si mema.
Mąż okrutny przewabia bliźniego swego, i wprowadza go na drogę niedobrą.
30 Yule anayekonyeza kwa jicho anapanga njama za mambo ya ukaidi; wenye kuandama midomo yao watapitisha mabaya.
Kto mruga oczyma swemi, zmyśla przewrotności; a kto rucha wargami swemi, broi złe.
31 Mvi ni taji ya utukufu; hupatikana kwa kuishi katika njia ya haki.
Koroną chwały jest sędziwość; znajduje się na drodze sprawiedliwości.
32 Ni bora kukawia kuwa na hasira kuliko kuwa shujaa na mwenye kutawala roho yake ni imara zaidi kuliko yule anayeuteka mji.
Lepszy jest nierychły do gniewu, niżeli mocarz; a kto panuje sercu swemu, lepszy jest, niżeli ten, co dobył miasta.
33 Kura hurushwa kwenye mkunjo, bali maamuzi hutoka kwa Yehova.
Los na łono rzucają; ale od Pana jest wszystko rozrządzenie jego.