< Mithali 12 >

1 Anayependa mafundisho hupenda maarifa, bali yule anayechukia maonyo ni mpumbavu.
訓誨を愛する者は知識を愛す 懲戒を惡むものは畜のごとし
2 Yehova humpa fadhila mtu mwema, bali mtu ambaye hufanya mipango ya ufisada atahukumiwa.
善人はヱホバの恩寵をうけ 惡き謀略を設くる人はヱホバに罰せらる
3 Mtu hawezi kuimarishwa kwa uovu, bali wale watendao haki hawawezi kung'olewa.
人は惡をもて堅く立ことあたはず 義人の根は動くことなし
4 Mke mwema ni taji ya mume wake, bali yule aletaye aibu ni kama ugonjwa unaoozesha mifupa yake.
賢き婦はその夫の冠弁なり 辱をきたらする婦は夫をしてその骨に腐あるが如くならしむ
5 Mipango ya wale watendao haki ni adili, bali shauri la mwovu ni udanganyifu.
義者のおもひは直し 惡者の計るところは虚偽なり
6 Maneno ya watu waovu ni uviziaji unaosubiri nafasi ya kuua, bali maneno ya mwenye haki yatawatunza salama.
惡者の言は人の血を流さんとて伺ふ されど直者の口は人を救ふなり
7 Watu waovu wametupwa na kuondolewa, bali nyumba ya wale watendao haki itasimama.
惡者はたふされて無ものとならん されど義者の家は立べし
8 Mtu husifiwa kwa kadri ya hekima yake, bali yule anayechagua ukaidi hudharauliwa.
人はその聰明にしたがひて譽られ 心の悖れる者は藐めらる
9 Bora kuwa na cheo duni- kuwa mtumishi tu- kuliko kujisifu kuhusu ukuu wako bila kuwa na chakula.
卑賤してしもべある者は自らたかぶりて食に乏き者に愈る
10 Yule atendaye haki anajali mahitaji ya mnyama wake, bali huruma ya mwovu ni ukatili.
義者はその畜の生命を顧みる されど惡者は殘忍をもてその憐憫とす
11 Yule atendaye kazi katika shamba lake atapata chakula tele, bali anayesaka miradi duni hana akili.
おのれの田地を耕すものは食にあく 放蕩なる人にしたがふ者は智慧なし
12 Watu waovu hutamani wanavyoiba watu wabaya kutoka kwa wengine, bali tunda la wale watendao haki hutoka kwao mwenyewe.
惡者はあしき人の獲たる物をうらやみ 義者の根は芽をいだす
13 Mtu mbaya hunaswa kwa maongezi yake mabaya, bali wale watendao haki hujinasua katika taabu.
惡者はくちびるの愆によりて罟に陷る されど義者は患難の中よりまぬかれいでん
14 Mtu hushiba vitu vyema kutokana na tunda la maneno yake, kama vile kazi ya mikono yake inavyompa thawabu.
人はその口の徳によりて福祉に飽ん 人の手の行爲はその人の身にかへるべし
15 Njia ya mpumbavu ni sawa machoni pake mwenyewe, bali mtu wa hekima husikiliza ushauri.
愚なる者はみづからその道を見て正しとす されど智慧ある者はすすめを容る
16 Mpumbavu huonyesha hasira yake papo hapo, bali asiyejali tusi ni mwenye busara.
愚なる者はただちに怒をあらはし 智きものは恥をつつむ
17 Asemaye ukweli huongea ilivyo haki, bali shahidi wa uongo huongea uongo.
眞實をいふものは正義を述べ いつはりの證人は虚偽をいふ
18 Maneno yake asemaye kwa pupa ni kama kurusha upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
妄りに言をいだし劍をもて刺がごとくする者あり されど智慧ある者の舌は人をいやす
19 Midomo yenye kweli itadumu milele, bali ulimi wa uongo ni kwa kitambo kidogo tu.
眞理をいふ口唇は何時までも存つ されど虚偽をいふ舌はただ瞬息のあひだのみなり
20 Kuna udanganyifu katika mioyo ya wale wanaopanga kutenda uovu, bali furaha hutoka kwa washauri wa amani.
惡事をはかる者の心には欺詐あり 和平を謀る者には歓喜あり
21 Hakuna ugonjwa utakaowajia wale watendao haki, bali watu waovu watajazwa matatizo.
義者には何の禍害も來らず 惡者はわざはひをもて充さる
22 Yehova anachukia midomo ya uongo, bali wale ambao huishi kwa uaminifu ndiyo furaha yake.
いつはりの口唇はヱホバに憎まれ 眞實をおこなふ者は彼に悦ばる
23 Mtu mwenye busara anasitiri maarifa yake, bali moyo wa wapumbavu hupiga yowe za kipumbavu.
賢人は知識をかくす されど愚なる者のこころは愚なる事を述ぶ
24 Mkono wa mwenye bidii utatawala, bali watu wavivu watawekwa katika kazi za kulazimishwa.
勤めはたらく者の手は人ををさむるにいたり惰者は人に服ふるにいたる
25 Mashaka katika moyo wa mtu humwelemea, bali neno zuri humfurahisha.
うれひ人の心にあれば之を屈ます されど善言はこれを樂します
26 Mwenye haki ni kiongozi kwa rafiki yake, bali njia ya waovu huwaongoza katika kupotea.
義者はその友に道を示す されど惡者は自ら途にまよふ
27 Watu wavivu hawawezi kubanika mawindo yao wenyewe, bali mtu wenye bidii atapata mali zenye thamani.
惰者はおのれの猟獲たる物をも燔ず 勉めはたらくことは人の貴とき寳なり
28 Wale ambao wanatembea katika njia ya haki wanapata uzima na katika mapito hayo hakuna kifo.
義しき道には生命ありその道すぢには死なし

< Mithali 12 >