< Hesabu 8 >

1 BWANA akanena na Musa, akamwambia,
Anante Ra Anumzamo'a amanage huno Mosesena asmi'ne,
2 “Sema na Haruni umwambie, 'zile taa saba lazima zimulike mbele ya kinara utakapoziwasha,”
Amanage hunka Aronina asmio, 7ni'a tavi'ma retro huteno, ruotgema hunefinkama tavima tagintesigeno'a, masa'amo'a ana tavi azota'mofo avuga remsa hugahie.
3 Haruni alifanya haya. Aliziwasha zile taa juu ya kinara ili ziangaze mbele yake kama BWANA alivyomwagiza Musa.
Ra Anumzamo'ma Mosesema asami'nea kante anteno Aroni'a tavi'ma retro hunte'nea tavira tagintegeno, masa'amo zota'mofo avuga remsa hutre'ne.
4 Kinara kilitengenezwa kwa njia hii kama BWANA alivyomwelekeza Musa muundo wake. Kiitakaiwa kutengenezwa kwa dhahabu kuanzia kwenye kitako chake hadi juu, ndivyo kilivyotakiwa kutengenezwa kwa dhahabu kwa maua hadi juu.
Tavi'ma rekruhu azotama tro'ma hu'nazana amana hu'naze, hama eri'za golia amasagiza lamu tavimofo zota'a tro nehu'za, azankuna'a tro nehu'za anina'anema troma hunazana, Ra Anumzamo'ma Mosesema asami'nea kante ante'za tro nehu'za, Livae nagara zamazeri otage hu'naze.
5 Tena, BWANA akanena na Musa, akasema,
Ru'ene Ra Anumzamo'a amanage huno Mosesena asmi'ne,
6 '“Uwatwae Walawi kati ya wana wa Israeli na uwatakase.”
Israeli vahepintira Livae nagara zamavarenka, zamazeri agru huo.
7 Uwafanyie hivi ili kuwatakasa: Uwanyunyizie maji ya utakaso juu yao. Hakikisha wamenyoa miili yao yote, wafue nguo zao, na kwa njia hii wajitakase wenyewe.
Hagi zamazeri agruma kagrama hananana anahu hugahane, agru hu'nesia ti erinka ru ani'ani hunezmantesanke'za, maka zamufa zamazokara resanu nehare'za, kukena zamia sese hute'za, zamagra avusese hugahaze.
8 Kisha wachukue fahari mchanga na sadaka ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta. Halafu wachukue fahari mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
Ana'ma hutenagenka huge'za mago bulimakaone witi ofa zami'ne, kanenea flaua masavempi erihavia hu'nesazane ofa nehu'za, mago bulimakao kumi'ma apasezamante ofa hugahaze.
9 Uwalete Walawi mbele ya hema ya kukutania, na uwakusanye jamii yote ya wana wa Israeli.
Hagi Mosesega kehuge'za mika'a Livae vahera seli mono nonte etru nehanagenka, maka Israeli vea'ene zamazeri atru hugahane.
10 Uwalete Walawi mbele yangu, BWANA. Wana wa Israeli wataweka mikono yao juu ya Walawi.
Livae nagara zamavarenka Ra Anumzamo'na navure vuge'za, Israeli vahe'mo'za Livae naga'mokizmi zamagofetu zamaza anteho.
11 Haruni atawatoa Walawi mbele yangu, kuwa sadaka ya kutikiswa. Atafanya hivi ili kwamba Walawi wanitumikie.
Aroni'a Israeli vahepinti Livae nagra Ra Anumzamofo avuga aza ante'sga huno amira amira ofama nehiaza huzmantetena, Ra Anumzamo'na eri'zana erigahaze.
12 Walawi wataweka mikono yao juu ya hao fahari. Mtatoa fahari mmoja kuwa sadaka ya dhambi na fahari mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa kwangu, ili kuwa upatanisho kwa Walawi.
Henka'a Livae naga'mo'za tare bulimakaomofo agenopare zamazana antetesage'za, mago bulimakaona kumi'apase ofa nehu'za, mago bulimakaona kresramna vanage'na Ra Anumzamo'na Livae nagara kumizmifintira mizasezmantegahue.
13 Walete Walawi mbele ya Haruni na mbele ya wana wake, uwainue kuwa sadaka ya kutikiswa kwa ajili yangu.
Hagi Livae nagara huge'za Aronine, ne'mofavre naga'ane zamuga oti'nesage'za, amira amira ofama nehazaza hu'za Ra Anumzamo'na ofa hu'za namigahaze.
14 Kwa njia hii utawatenganisha Walawi toka wana wa Israeli. Walawi watakuwa wangu.
E'ina hunka Israeli vahepintira Livae nagara zamazeri otage hananke'za Nagri vahera manigahaze.
15 Baadaye Walawi wataingia ndani ya hema ya kukutania. Utawatakasa. utawatoa kuwa sadaka ya kutikiswa
Hagi anama huzmantetesunka, Livae naga'mo'za seli mono nompina eri'zana erigahazanki, zamazeri agru nehunka, kazana antesga hunka amira amira ofa huzmantegahane.
16 Fanya hivi kwa sababu wao ni wangu wote kutoka kwa wana wa Israeli. Watachukua nafasi ya kila mzaliwa wa kwanza afunguaye tumbo, mzaliwa wa kwanza wa uzao wa Israeli. Nimewachukua Walawi kwa ajili yangu.
Israeli vahepinti'ma pusa ne' mofavrema antesazama onamisaza nona hu'na, Livae nagara maka Nagrani'a zamavare'noe.
17 Wazaliwa wa kwanza wote kutoka kwa wana wa Israeli ni wangu, watu wote pamoja na wanyama pia. Siku ile nilipowachukua wazaliwa wa kwanza katika nchi ya Misri, Niliwatenga kwa ajili yangu
Hagi Isipi vahe'mokizmi zamagonesa ne'mofavrema nezmahe'na, mika'a Israeli vahe'mokizmi zamagonesa mofavrene, zagagafa zimimofo ese anentara Nagri suzane hu'na zamavare otage hu'noe.
18 Nimewachukua Walawi kutoka kwa wana wa Israeli badala ya wazaliwa wa kwanza.
Hu'neanagi menina Israeli vahe'mokizmi pusa ne'mofavre nona hu'na, Livae nagara Nagra huhampri'na zamavare'noe.
19 Nimewatoa Walawi kuwa zawadi kwa Haruni na wana wake. Nimewachukua toka wana wa Isreali ili kuwatumikia wana wa Israeli katika hema ya kukutania. Nimewatoa ili kuwa upatanisho kwa watu ili kwamba wasipatwe na mapigo wakati wanapokaribia kwenye eneo takatifu.
Israeli vahepintira, Livae nagara muse'zane hu'na Aronine, ne'mofavre naga'a seli mono nompi Israeli vahe'mokizmi kumi' apaseza miza sezmante'saza eri'za eneri'za, seli mono nomofo tvaonte'ma Israeli vahe'mo'zama ne-esageno krimo zamazeri haviza huzanku kva krigahaze.
20 Musa, Haruni na jamii ya Waisraeli wote waliwafanyia Walawi hivi. Walifanya kila kitu ambacho BWANA alikuwa amemwamuru Musa kuhusu Walawi. Wana wa Israeli wakafanya haya pamoja nao.
Mosese'ene, Aroni'ene mika Israeli vahe krerfamo'zanena Ra Anumzamo'ma Mosese asmi'nea kante ante'za Livae nagara anara huzmantegahaze.
21 Walawi wakajitakasa wenyewe na kufua mavazi yao, Na Haruni akawatoa kama sadaka ya kutikiswa kwa BWANA na akafanya upatanisho kwao ili kuwatakasa.
Livae naga'mo'za zamagrazmi zamazeri agru nehu'za, kukena zmia sese hutazageno, Aroni aza ante sga huno Ra Anumzamofonte zamavareno amira amira hu ofa hunezmanteno, kumi apase ofa huzmante'ne.
22 Baada ya hayo, Walawi waliingia ndani kufanya utumishi wao katika hema ya kukutania mbele ya Haruni na mbele ya wanawe. Kama BWANA alivyokuwa amemwagiza Musa juu ya Walawi. Waliwahudumia Walawi wote kwa jinsi hii.
Ana'ma hutege'za Livae vahe'mo'za seli mono nompina, Aronine, ne'mofavre naga'anena zamaza hu'za Ra Anumzamo'ma Mosesema asami'nea kante ante'za eri'zana eri'naze.
23 BWANA akanena na Musa tena, Akasema,
Ra Anumzamo'a amanage huno Mosesena asmi'ne,
24 “Haya yote ni kwa ajili ya Walawi ambao wana umri wa miaka ishirini na mitano na zaidi. Wataungana na wale wanaohudumia hekaluni.
Livae naga'mo'za amanahu hugahaze, 25'a kafureti mareri'nesnamo'za, mareri'za seli mono nompina eri'zana erigahaze.
25 Wataacha kutoa huduma hii watakapokuwa na umri wa miaka hamsini. Katika umri huu hawatakiwi kuendelea na huduma tena.
Hianagi 50'a kafuma nehanu'za eri'zampintira vagare'za mago'ene eri'zana e'origahaze.
26 Wanaweza kuwasaidia ndugu zao wanaoendelea kufanya kazi ndani ya hema ya kukutania, lakini hawatakiwai kufanya kazi tena. Utawaelekeza Walawi kuyafahamu haya yote.”
Hu'neanagi eri'zazamifinti vagaresu'za nezmafuna amne zamaza hu'za seli mono nompi eri'zana kankamu zamire erigahaze. Hagi mago eri'zana zamagra zamavesitera e'origahaze. Hagi Livae vahe'mo'za amage ante'za eri'za kankamu zamire erigahaze.

< Hesabu 8 >