< Hesabu 34 >

1 BWANA akanena na Musa akasema,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
2 “Waamuru watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani, nchi ambayo itakuwa mali yenu, nchi ya Kanaani na mipaka yake, mpaka wenu wa kusini utaendelea kutoka nyika ya Sini hadi mpaka wa Edomu.
»Zapovej Izraelovim otrokom in jim reci: ›Ko pridete v kánaansko deželo (to je deželo, ki vam bo pripadla v dediščino, torej kánaansko deželo z njenimi pokrajinami),
3 Mwisho wa mpaka wa kusini utakuwa mwisho wa bahari ya chumvi kuelekea mashariki.
potem bo tvoja južna četrt od Cinske divjine, vzdolž edómske pokrajine in vaša južna meja bo skrajna obala slanega morja proti vzhodu
4 Mpaka wenu utageukia kusini kutoka mlima kuelekea Akrabimu na kupitia nyika ya Sini. na kutokea huko utaelelkea kusini mwa Kadeshi Barinea na kuelekea Hazari Adari mpaka Azimoni.
in vaša meja se bo od juga obrnila k vzpetini Akrabím in šla do Cina in šla bo naprej od juga do Kadeš Barnée in šla naprej do Hacár Adárja in šla naprej k Acmónu
5 Kutoka huko, mpaka utageuka kutoka Azimoni kuelekea kijito cha Misri na kukifuata mpaka baharini.
in meja bo šla po ovinkih od Acmóna do egiptovske reke in izhodi te bodo pri morju.
6 Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenuwa Magharibi.
Glede zahodne meje, za mejo boste torej imeli véliko morje. To bo vaša zahodna meja.
7 Mpaka wenu wa kaskazini utaanzia kwenye bahari kuu hadi Mlima Hori,
In to bo vaša severna meja: od vélikega morja si jo pokažite na goro Hor,
8 kisha kutoka Mlima Hori hadi Lebo Hamathi, kisha Zedadi.
od gore Hor boste vašo mejo pokazali do vstopa v Hamát in izhodi meje bodo pri Cedádu
9 Mpaka utaendelea hadi Zifroni na kuishia Hazari Enani. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa kaskazini.
in meja bo šla naprej k Zifrónu in njeni izhodi bodi pri Hacár Enánu. To bo vaša severna meja.
10 Kisha mtaweka alama za mpaka wenu wa mashariki ambao utaanzia Hazari Enani kuelekea kusini Shefamu.
Vašo vzhodno mejo boste pokazali od Hacár Enána do Šefáma
11 Kisha mpaka wa kusini utaendelea kutoka Shefamu hadi Ribla, upande wa masharikia mwa Aini. Mpaka utaedelea upande huo wa mashariki hadi upande wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.
in pokrajina bo šla dol od Šefáma k Ribli na vzhodni strani Ajina in meja se bo spustila in segla bo do strani Kinéretskega morja proti vzhodu
12 Kisha mpaka utaendelea kuelekea kusini hadi mto Yorodani na hadi bahari ya chumvi. Hii ndiyo itakuwa nchi yenu, kwa kuifuata mipaka yake yote inayozunguka.'”
in meja bo šla dol do Jordana in njeni izhodi bodo pri slanem morju. To bo vaša dežela z njenimi pokrajinami naokoli.‹«
13 Kisha Musa akawaamuru watu wa Israeli akasema, “Hii ndiyo nchi ambayo mtaipokes kwa kura, ambayo BWANA ameamuru kuwapa wale makabila tisa na nusu.
Mojzes je Izraelovim otrokom zapovedal, rekoč: »To je dežela, ki jo boste podedovali z žrebom, ki jo je Gospod zapovedal dati devetim rodovom in polovici rodu,
14 Kabila ya uzao wa Reubeni, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na uzao wa kabila la Gadi, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na nusu ya Manase wamepata ardhi yao.
kajti rod Rubenovih otrok, glede na hišo njihovih očetov in rod Gadovih otrok, glede na hišo njihovih očetov, sta prejela svojo dediščino in polovica Manásejevega rodu je prejela svojo dediščino.
15 Wale makabila mawili na nusu wameshapata mgawo wao ng'ambo ya mto Yorodani upande wa mashariki, kuelekea kule linakotokea jua.”
Dva rodova in pol rodu so že prejeli svojo dediščino na tej strani Jordana, blizu Jerihe, vzhodno proti sončnemu vzhodu.«
16 BWANA akanena na Musa akasema,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
17 “Haya ndiyo majinaya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni.
»To sta imeni mož, ki vam bosta razdelila deželo: duhovnik Eleazar in Nunov sin Józue.
18 Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.
Vzeli boste enega princa od vsakega rodu, da deželo razdelite po dediščini.
19 Haya ndiyo majina ya wanaume: Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
Imena mož so ta: iz Judovega rodu Kaléb, Jefunéjev sin.
20 Kutoka kwenye kabila la uzao wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
Iz rodu Simeonovih otrok Amihúdov sin Šemuél.
21 Kutoka kabila la Benjamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
Iz Benjaminovega rodu Kislónov sin Elidád.
22 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Dani, Buki mwana wa Jogili.
Princ rodu Danovih otrok, Joglíjev sin Bukí.
23 Kiongozi kutoka uzao wa Yusufu, kwenye kabila la Manase, Hannieli mwana wa Efodi.
Princ izmed Jožefovih otrok za rod Manásejevih otrok, Efódov sin Haniél.
24 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Efraimu, Kemueli mwana wa Shiftani.
Princ iz rodu Efrájimovih otrok, Šiftánov sin Kemuél.
25 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Zabuloni, Elizafani mwana wa Parinaki.
Princ iz rodu Zábulonovih otrok, Parnáhov sin Elicafán.
26 Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Isakari, Palitieli mwana wa Azzani.
Princ iz rodu Isahárjevih otrok, Azánov sin Paltiél.
27 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Asheri, Ahihudi mwana wa Shelomi.
Princ iz rodu Aserjevih otrok, Šelomíjev sin Ahihúd.
28 Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Naftali, Pedaheli mwana wa Amihudi.”
Princ iz rodu Neftálijevih otrok Amihúdov sin Pedahél.
29 BWANA aliwaamuru wanaume hawa kuigawa nchi ya Kanaani na kuwapa kila kabla sehemu yao.
To so tisti, ki jim je Gospod zapovedal, da Izraelovim otrokom razdelijo dediščino v kánaanski deželi.«

< Hesabu 34 >