< Hesabu 31 >
1 BWANA alinena na Musa na kumwambia,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
2 “Uwalipizie kisasi Wamidiani kwa kile walichowafanya Waisraeli. Baada ya kufanya hivyo utakufa na kukusanyika na watu wako.”
»Maščuj se Midjáncem za Izraelove otroke, potem boš pridružen svojemu ljudstvu.«
3 Kwa hiyo Musa akawaambia watu. Akasema, “andaeni baadhi ya majeshi yenu kwa ajili ya vita ili kwamba wakawapige Wamidiani na kubeba kiapo cha BWANA.
Mojzes je spregovoril ljudstvu, rekoč: »Oborožite nekatere izmed sebe za vojno in naj gredo zoper Midjánce in se maščujejo nad Midjánom za Gospoda.
4 Kwa kila kabila la Israeli watatuma askari elfu moja kwa ajili ya vita.”
Po tisoč iz vsakega rodu, po vseh Izraelovih rodovih, boste poslali v vojno.«
5 Kwa hiyo kati ya wanaume maelfu elfu wa Israeli, wanaume elfu moja walitolewa kwa ajili ya vita, jumla ya wanaume elfu kumi na mbili.
Tako so bili izročeni iz tisočerih Izraelovih, po tisoč iz vsakega rodu, dvanajst tisoč oboroženih za vojno.
6 Kisha Musa akawatuma kwenda vitani, elfu moja toka kila kabila pamoja na Finehasi mwana wa Eliazari kuhanai, wakiwa na vitu kutoka mahali patakatifu wakiwa na matarumbeta kwa ajili ya ishara za sauti.
Mojzes jih je poslal v vojno, tisoč iz vsakega rodu, njih in Pinhása, sina duhovnika Eleazarja, v vojno s svetimi pripravami in trobentami, da trobijo v njegovi roki.
7 Wakapigana na Midiani, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa. Wakamwua kila mwanaume.
Bojevali so se zoper Midjánce, kakor je Gospod zapovedal Mojzesu in vse moške usmrtili.
8 Wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliowaua ni: Evi, Rekimu, Zuri, Huri, na Reba, hawa walaikuwa ndio waflme watano wa Midiani. pia walimwua Balaamu mwana wa Beori, kwa upanga.
Usmrtili so midjánske kralje, poleg drugih izmed tistih, ki so bili umorjeni, namreč Evíja, Rekema, Curja, Hura in Reba, pet midjánskih kraljev. Tudi Beórjevega sina Bileáma so umorili z mečem.
9 Jeshi la Israeli likawachukua mateka wanawake wa Midiani, watoto wao, mifugo yao yote, kondoo wao na bidhaa zao zote. walivichukua hivi kama mateka.
Izraelovi otroci so zajeli vse midjánske ženske in njihove malčke kot ujetnike in vzeli plen iz vseh njihovih mest in vse njihove trope in vse njihove dobrine.
10 Waliichoma moto miji yao yote walimoishi na kambi zao zote.
Z ognjem so požgali vsa njihova mesta, v katerih so prebivali, in vse njihove lepe gradove.
11 Walichukua vitu vyote na wafungwa, watu na wanyama.
Vzeli so vse blago in ves plen, tako od ljudi kakor od živali.
12 Wakawaleta mateka, nyara, na wakakamata vitu wakavileta kwa Musa, na Eliazari kuhani, na kwa jamii ya watu wa Israeli. Wakavileta hivi vitu kambini katika uwanda wa Moabu, kule Yorodani karibu na Yeriko.
Ujetnike, plen in ukradeno blago so privedli k Mojzesu in duhovniku Eleazarju in k skupnosti Izraelovih otrok, k taboru na moábskih ravninah, ki so pri Jordanu, blizu Jerihe.
13 Musa, Eliazari kuhani, pamoja na viongozi wa watu wakaenda kukutana nao nje ya kambi.
Mojzes, duhovnik Eleazar in vsi princi skupnosti so odšli naprej, da jih srečajo zunaj tabora.
14 Lakini Musa alikuwa na hasira dhidi ya viongozi wa jeshi, Wale majemedari wa maelfu na maakida wa mamia, waliotoka kupigana.
Mojzes je bil ogorčen nad častniki vojske, nad tisočniki in stotniki, ki so prišli iz bitke.
15 Musa akawaambia, “Je, mmeawaacha wanawake wote kuishi?
Mojzes jim je rekel: »Ali ste vse ženske rešili žive?
16 Tazama, wanawake hawa ndio waliosababisha watu wa Israeli, kwa kupitia ushauri wa Balaamu, kufanya dhambi dhidi ya BWANA huko Peori, wakati ile tauni iliposambaa kwa watu wa Mungu.
Glejte, te so po Bileámovem nasvetu Izraelovim otrokom storile, da so v zadevi Peórja zagrešili prekršek zoper Gospoda in tam je bila kuga med Gospodovo skupnostjo.
17 Sasa basi, ueni kila mwanaume kuanzia wadogo, na ueni kila mwanamke aliyelala na mwanamume.
Zdaj torej ubijte vsakega fanta izmed malčkov in ubijte vsako žensko, ki je spoznala moškega z ležanjem z njim.
18 Lakini chukueni wale mabinti wadogo ambao hawajalala na mwanamume.
Toda vse deklice, ki niso spoznale moškega z ležanjem z njim, zase obdržite žive.
19 Mtaweka kambi nje na kambi za Israeli kwa muda wa siku saba. Ninyi wote ambao mmeua watu au ambao mmegusa maiti yeyote mtajitakasa wenyewe katika siku ya tatu na katika siku ya saba - ninyi na mateka wenu.
Zunaj tabora ostanite sedem dni. Kdorkoli je ubil katerokoli osebo in kdorkoli se je dotaknil kateregakoli umorjenega, na tretji in na sedmi dan očistite oboje, sebe in svoje ujetnice.
20 Na mtayatakasa mavazi yenu yote, na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi za wanyama, na manyoya ya mbuzi, na kila kitu kilichotengenezwa kwa mbao.”
Očistite vso svojo obleko in vse, kar je narejeno iz kož in vse delo iz kozje dlake in vse stvari, narejene iz lesa.«
21 Eliazarai kuahani akawaambia wale wanajeshi waliokuwa wameenda vitani, “Hii ni amri ya sheria ambayo BWANA alimpa Musa:
Duhovnik Eleazar je rekel bojevnikom, ki so odšli v bitko: »To je odredba postave, ki jo je Gospod zapovedal Mojzesu:
22 Zile dhahabu, fedha, vyuma, bati, risasi,
samo zlato, srebro, bron, železo, kositer in svinec,
23 na kila kitu knaweza kuhhimili moto, mtakiweka katka moto, navyo vitakuwa safi. Nakisha mtavitakasa vitu hivyo na maji ya farakano. Na vitu vyote ambavyo haviwezi kupita katika moto, mtavitakasa kwa maji hayo.
vsako stvar, ki lahko prenese ogenj, jo boste pripravili iti skozi ogenj in ta bo čista. Kljub temu bo ta očiščena z vodo oddvojitve. Vse, kar pa ne prenese ognja, boste vlekli skozi vodo.
24 Na mtazifua nguao zenu katika siku ya saba, ndipo mtakapokuwa safi. Baada ya hapo mnaweza kurudi kwenye kambi za Israeli.”
Na sedmi dan boste oprali svoja oblačila in boste čisti in potem se boste vrnili v tabor.«
25 Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
Gospod je spregovoril Mojzesu, rekoč:
26 “Vihesabu vitu vyote vilivyochukuliwa nyara, wote watu na wanyama. Wewe, Eliazari kuhani, na viongozi wa watu kufuata koo
»Ti, duhovnik Eleazar in vodje očetov skupnosti popišite plen, ki je bil zajet, oboje, od ljudi in od živali.
27 watavigawa hivi vitu katika mkundi mawili. Mvigawe kwa wanajeshi walioenda kupigana na kwa watu wote.
Plen razdêli na dva dela: med tiste, ki so se vojskovali z njimi, ki so šli ven na bitko in med vso skupnost.
28 Kisha toza kodi ambayo itatolewa kwangu kutoka kwa wanajeshi waliokuwa wameenda vitani. Hii kodi itakuwa moja kati ya mia tano, katika watu, ng'ombe, punda, kondoo, au mbuzi.
Dajatev davka Gospodu od bojevnikov, ki so šli v bitko: ena duša od petstotih, tako od oseb, kakor od goveda, od oslov in od ovc,
29 Uichukue hii kodi kutoka katika nusu yao na umpe Eliazari kuhani kwa ajili ya sadaka itakayotolewa kwangu.
to vzemi od njihove polovice in daj duhovniku Eleazarju za Gospodovo vzdigovalno daritev.
30 Pia kutoka katika nusu ya watu wa Israeli, utachukua moja kati ya hamsini -kutoka vitu, ng'ombe, punda, na mbuzi. Uvitoe hivi kwa Walawi wanaotumika katika masikani yangu.”
Od polovice, [ki pripada] Izraelovim otrokom, boš vzel en delež od petdeset, od oseb, od goveda, od oslov in od tropov, od vseh vrst živali in jih daj Lévijevcem, ki skrbijo za Gospodovo šotorsko svetišče.«
31 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakafanya kama BWANA alivyokuwa amemwamuru Musa.
Mojzes in duhovnik Eleazar sta storila, kakor je Gospod zapovedal Mojzesu.
32 Sasa zile nyara zilizokuwa zimebaki ambazo wanajeshi walikuwa wameteka zilikuwa kondoo 675, 000,
Plena, ki je ostal od plena, ki so ga bojevniki zajeli, je bilo šeststo petinsedemdeset tisoč ovac,
33 maksai elfu sabini na mbili,
dvainsedemdeset tisoč govedi,
34 punda elfu sitini na moja,
enainšestdeset tisoč oslov,
35 na wanawake elfu thelathini na mbili ambao walikuwa hawajalala na mwanamume yeyote.
dvaintrideset tisoč žensk, ki niso spoznale moškega z ležanjem z njim.
36 Ile hesabu ya nusu iliyokuwa imetunzwa kwa ajili ya wanajeshi ilikuwa kondoo 337, 000. Ile sehemu ya
Polovica, ki je bila delež tistih, ki so odšli na vojno, je bila po številu tristo sedemintrideset tisoč petsto ovac
37 BWANA ya kondoo ilikuwa kondoo 675.
in Gospodov davek od ovac je bil šeststo petinsedemdeset.
38 Maksai walikuwa elfu thelathini na sita ambayo kodi ya BWANA ilikuwa sabini na mbili.
Goveda je bilo šestintrideset tisoč. Od tega je bil Gospodov davek dvainsedemdeset.
39 Punda walikuwa 30, 500 ambao sehemu ya BWANA ilikuwa sitini na moja.
Oslov je bilo trideset tisoč petsto. Od tega je bil Gospodov davek enainšestdeset.
40 Watu walikuwa wanawake elfu kumi na sita ambao kodi ya BWANA ilikuwa thelathini na mbili.
Oseb je bilo šestnajst tisoč. Od tega je bil Gospodov davek dvaintrideset oseb.
41 Musa aliichukua ile kodi ambayo ilitakiwa kuwekwa sadaka kwa BWANA. Akampatia Eliazari kuhani, kama BWANA alivyomwamuru Musa.
Mojzes je dal davek, ki je bil Gospodova vzdigovalna daritev, duhovniku Eleazarju, kakor je Gospod zapovedal Mojzesu.
42 Ile nusu ya watu wa Israeli ambayo Musa alikuwa ameichukua toka kwa wanawjeshi waliokuwa wameenda vitani -
Od polovice, [ki pripada] Izraelovim otrokom, ki jo je Mojzes oddvojil od tistih, ki so se bojevali
43 ile nusu y a watu ilikuwa kondoo 337, 500,
(torej polovice, ki je pripadala skupnosti, je bilo tristo sedemintrideset tisoč petsto ovac,
44 maksai elfu thelathini na sita,
šestintrideset tisoč govedi,
trideset tisoč petsto oslov,
46 na wanawake elfu kumi na sita.
in šestnajst tisoč oseb),
47 Kutoka kwenye nusu ya watu wa Israeli, Musa alichukua moja katika hamsini, wote watu na wanyama. Aliwapa Walawi ambao huitumikia masikani ya BWANA, kama BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
celo od polovice, [ki pripada] Izraelovim otrokom, je Mojzes vzel en delež od petdesetih, tako od ljudi kakor od živali in jih dal Lévijevcem, ki so skrbeli za Gospodovo šotorsko svetišče, kakor je Gospod zapovedal Mojzesu.
48 Kisha wale maakida wa jeshi, makamanda wa elfu na makapteni wa mamia, wakaja kwa Musa.
Častniki, ki so bili nad tisočnijami vojske, poveljniki nad tisočimi in poveljniki nad stotimi, so se približali Mojzesu
49 Wakamwambia, “watumishi wako wamewahesabu wanajeshi ambao wako chini yetu, hakuna hata mmoja wao aliyekosa.
in Mojzesu rekli: »Tvoji služabniki so prešteli bojevnike, ki so pod nami in ne manjka nihče izmed nas.
50 Tumemletea BWANA sadaka, ambayo kila mmoja amepata, vitu vya dhahabu, metali, timbi, pete za mhuri, vipini na vikuku, ili kujifanyia upatanisho kwa BWANA.”
Mi smo torej prinesli dar za Gospoda, kar je vsak mož dobil dragocenosti iz zlata, verižice, zapestnice, prstane, uhane in ogrlice, da za naše duše opravijo spravo pred Gospodom.«
51 Musa na Eliazari kuhani akapokea kutoka kwao dhahabu na vitu vyote vilivyotengenezwa kwa ufundi.
Mojzes in duhovnik Eleazar sta od njih vzela zlato, torej vse izdelane dragocenosti.
52 Vitu vyote vya sadaka ya dhahabu ambavyo walimpa BWANA- sadaka toka kwa makamanda wa maelfu na kutoka kwa makepteni wa mamia - vilikuwa na uzito wa shekeli 16, 750.
Vsega zlata daritve, ki so jo Gospodu darovali poveljniki nad tisočimi in poveljniki nad stotimi, je bilo šestnajst tisoč sedemsto petdeset šeklov.
53 Kila mwanajeshi alikuwa ameteka nyara ya kila mtu kwa ajili yake.
( Kajti bojevniki so vzeli plen, vsak mož zase.)
54 Musa na Eliazari kuhani wakazichukuazile dhahabu toka kwa makamanda wa maelfu na makepteni wa mamia. Wakavipeleka kwenye hema ya kukutania kama ukumbusho wa watu wa Israeli kwa BWANA.
Mojzes in duhovnik Eleazar sta vzela zlato od poveljnikov nad tisočimi in poveljnikov nad stotimi in ga prinesla v šotorsko svetišče skupnosti za spomin Izraelovim otrokom pred Gospodom.