< Hesabu 28 >
1 BWANA akanena na Musa akamwambia,
Jahve reče Mojsiju:
2 “Waamuru wana wa Isrseli uwaambie, 'Mtanitolea sadaka kwa wakati uliopangwa, chakula cha sadaka yangu kilichotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa ajili yangu.
“Naredi Izraelcima i reci im: 'Točno u određeno vrijeme prinosite mi moje prinose, moju hranu - žrtve paljene meni na ugodan miris.'
3 Pia uwaambie, 'Hii ni sadaka iliyotengenezwa kwa moto ambayo mtaitoa kwa BWANA- mwanakondoo dume wa mwaka mmoja asiyekuwa na waa, wawili kila siku kuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila siku.
Reci im: Ovo su žrtve paljene koje ćete prinositi Jahvi: Svaki dan dva jednogodišnja janjca bez mane kao trajnu paljenicu.
4 Mwanakodoo mmoja atatolewa sadaka asubuhi, na mwingine atatolewa sadaka jioni.
Jedno janje prinosite jutrom, a drugo janje prinosite u suton.
5 Mtatoa sadaka ya sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba kuwa sadaka ya unga, uliochanganywa na robo ya hini ya mafuta yaliyokamuliwa.
A za prinosnicu desetinu efe najboljeg brašna, zamiješena u četvrtini hina čistoga ulja.
6 Hii ni sadaka ya ya kuteketezwa ya kila siku iliyoamriwa mlima Sinai ili kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajili ya BWANA.
Trajna je to paljenica koja je već bila prinesena na Sinajskom brdu - žrtva spaljena na ugodan miris Jahvi.
7 Pamoja na robo ya hini ya sadaka ya kinywaji kwa mmoja wa hao wanakondoo. Utaimimina mahali patakatifu hiyo sadaka ya kinywaji kwa BWANA.
Njezina ljevanica neka se sastoji od četvrtine hina za svako janje. Ljevanica vina neka se Jahvi izlijeva u Svetištu.
8 Yule mwanakondoo mwingine utamtoa sadaka jioni pamoja na sadaka ya unga kama kama yule wa asubuhi alivyotolewa. Pia utatoa tena sadaka ya kinywaji pamoja naye, sadaka iliyotengenezwa kwa moto ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA.
Drugo janje prinosite u suton. Prinosi ga kao i jutarnju prinosnicu i njezinu ljevanicu: kao žrtvu spaljenu Jahvi na ugodan miris.”
9 Katika siku ya Sabato utatoa wanakondoo dume wawili, wa umri wa mwaka mmoja kila mmoja wasiokuwa na dosari, na sehemu ya kumi mbili ya efa ya unga mwembamba kwa sadaka ya unga, uliochanganywa na mafuta, pamoja na sadaka ya kinywaji.
“Na subotnji dan: dva jednogodišnja janjeta bez mane i dvije desetine efe najboljeg brašna, zamiješena s uljem, za prinosnicu, s njezinom ljevanicom.
10 Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa kila siku ya Sabato, kama nyongeza ya ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya kinywaji.
Neka se subotnja paljenica svake subote dodaje trajnoj paljenici i njezinoj ljevanici.”
11 Kila mwanzo wa mwezi, mtatoa sadaka za kuteketezwa kwa BWANA. Utatoa sadaka ya fahari wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari.
“Na početku vaših mjeseci prinosite Jahvi za paljenicu: dva junca, jednoga ovna i sedam jednogodišnjih janjaca bez mane.
12 Pia mtatoa sehemu ya kumi tatu ya efa unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari, na sehemu za kumi mbili za unga mwembamba kuwa sadaka ya unga uliochanganywa na mafuta kwa yule kondoo mume mmoja.
Za pojedinog junca kao prinosnicu: tri desetine najboljeg brašna zamiješena s uljem; za svakog ovna kao prinosnicu: dvije desetine efe najboljeg brašna zamiješena s uljem.
13 Pia mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga kwa kila mwanakondoo. Hii itakuwa sadaka ya kuteketezwa, ya kutoa harufu nzuri, sadaka iliyotengenezwa kwa moto kwa ajilI ya BWANA.
Za svako janje jednu desetinu efe najboljeg brašna zamiješena s uljem kao prinosnicu. To je paljenica spaljena na ugodan miris Jahvi.
14 Sadaka ya kinywaji ya watu itakuwa nusu ya hini ya divai ya yule fahari, sehemu ya tatu ya hini ya kondoo dume, na robo ya hini ya mwanakondoo. Hii ndiyo itakuwa sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi kwa miezi yote ya mwaka.
Njihove ljevanice neka budu: na junca polovica hina vina; na ovna trećina hina; na janje četvrtina hina. To neka bude mjesečna paljenica na mlađak svakog mjeseca u godini.
15 Mtatoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi kwa BWANA. Hii itakuwa nyongeza kwa ile sadaka ya kila siku pamoja na ile sadaka ya viinywaji.
Povrh trajne paljenice neka se Jahvi prinosi jedan jarac kao okajnica s njezinom ljevanicom.”
16 Katika siku kumi na nne, ya mwezi wa kwanza itakuwa Pasaka ya BWANA.
“Prvoga mjeseca, četrnaestoga dana u mjesecu, Jahvina je Pasha,
17 Katika sku ya kumi na tano ya mwezi huu kutakuwa na sikukuu. Mtakuka mikate isiyo na chachu kwa siku saba.
a petnaestoga dana toga mjeseca jest blagdan. Neka se sedam dana jedu beskvasni hljebovi.
18 Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA. Katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku
Prvog dana neka bude sveti saziv. Nikakva težačkog posla nemojte raditi.
19 Hata hivyo, mtatoa sadaka iliyotengenezwa kwa moto, sadaka ya kuteketezwa kwa BWANA. Mtatoa sadaka ya fahari wawili, kondoo dume mmoja, na kondoo dume saba wa umri wa mwaka mmoja wakamilifu.
Prinesite Jahvi žrtvu paljenu, žrtvu paljenicu: dva junca, jednoga ovna i sedam jednogodišnjih janjaca. Neka vam budu bez mane.
20 Pamoja na yule fahari, mtatoa sadaka sehemu za tatu efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, pamoja na yule kondoo mume sehemu za pili za kumi.
Njihova prinosnica, od najboljeg brašna zamiješena s uljem, neka bude: tri desetine efe na junca, dvije desetine efe na ovna,
21 Kwa kila wale wanakondoo saba, mtatoa sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta,
a na svakoga od onih sedam janjaca neka bude jedna desetina efe.
22 na beberu mmoja kuwa sdaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Neka bude jedan jarac kao okajnica, da se nad vama izvrši obred pomirenja.
23 Mtotoa hivi vitu kama sadaka ya nyongeza katika ile sadaka ya kila siku inayotakiwa kila asubuhi.
Ovo prinosite povrh jutarnje paljenice, koje se prinosi kao trajna paljenica.
24 Kama ilivyofafanuliwa hapa, mtatoa sadaka hizi kila siku, kwa zile siku saba za Pasaka, kile chakula cha sadaka kilichotengenezwa kwa moto kuwa harufu nzuri kwa BWANA. Hiki kitatolewa kuwa sadaka ya nyongeza ya ile sadaka ya kuteketezwa na pamoja na ile sadaka ya vinywaji.
Tako činite svaki dan za sedam dana; to je hrana, žrtva paljena na ugodan miris Jahvi. To neka se prinosi povrh trajne paljenice i njezine ljevanice.
25 Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu ili kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye zile kazi zenu zakila siku.
Sedmoga dana neka vam bude sveti savez. Nikakva težačkog posla nemojte raditi!”
26 Pia katika siku ya malimbuko, mtakapokuwa mnatoa sadaka ya unga mpya katika sikukuu zenu za Majuma, mtakuwa na kusanyiko takatifu la kumheshimu BWANA, na katika siku hiyo msifanye kazi zenu za kila siku.
“I na Dan prvina - na svoj Blagdan sedmica - kad budete Jahvi prinosili prinosnicu, imajte sveti saziv: nikakva težačkog posla nemojte raditi.
27 Mtatoa sadaka ya kuteketezwa ili kutoa harufu nzuri kwa BWANA. Mtatoa fahari wawili wachanga, kondoo mume mmoja, na wanakondoo saba waume wa mwaka mmoja.
Za paljenicu na ugodan miris Jahvi prinesite dva junca, jednoga ovna i sedam jednogodišnjih janjaca.
28 Pamoja na hiyo mtatoa sadaka ya unga: unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, sehemu tatu za kumi za efa za unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila fahari na sehemu kumi mbili za yule kondoo mume.
Njihova prinosnica, od najboljeg brašna zamiješena s uljem, neka bude: na pojedinog junca tri desetine efe, na pojedinoga ovna dvije desetine efe,
29 Toeni sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa kila wale wanakondoo saba,
a jedna desetina efe na svakoga od onih sedam janjaca.
30 na beberu mmoja ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
Neka bude i jedan jarac kao okajnica, da se nad vama izvrši obred pomirenja.
31 Mtakapotoa hao wanyama wasio na dosari, pamoja na sadaka zake za vinywaji, hii itakuwa sadaka ya nyongeza katika zile sadaka za kila siku na pamoja na zile sadaka za unga.'”
Prinosite ih povrh trajne paljenice i njezine prinosnice, a neka vam budu bez mane one i njihove ljevanice.”