< Hesabu 26 >

1 Ilitokea baada ya tauni ambayo BWANA alimwambia Musa na Eliazari mwana wa Haruni kuhani, Alisema,
Dimteng ti tiempo a kalpasan ti didigra ket kinasarita ni Yahweh da Moises ken Eleazar nga anak ni Aaron a padi. Kinunana,
2 Wahesabu watu wote wa Israeli, kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa jamaa ya familia zao wote ambao wanaweza kwenda kwenye vita kwa ajili ya Israeli.”
“Bilangenyo dagiti amin a tattao ti Israel, manipud iti agtawen ti duapulo ken agpangato, babaen kadagiti pamilia dagiti kapuonanda, amin a makabael a makigubat para iti Israel.”
3 Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakawaambia katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko na kusema,
Nagsao ngarud kadakuada da Moises ken Eleazar a padi idiay patad ti Moab iti igid ti Jordan idiay Jerico ket kinunada,
4 Wahesabuni watu, kuanzi umri wa miaka ishirini na zaidi kama BWANA alivyomwamuru Musa na watu wa Israeli walitoka katika nchi ya Misri.”
“Bilangenyo dagiti tattao, manipud iti agtawen ti duapulo ken agpangato, kas imbilin ni Yahweh kenni Moises ken kadagiti tattao ti Israel a rimmuar manipud iti daga ti Egipto.”
5 Reubeni ndiye aliyekuwa wa kwanza, Kutoka kwa mwana wake Hanoki ulitokea ukoo wa Wahanoki. Kutoka kwa Palu ulitokea ukoo wa Wapalu.
Ni Ruben ti inauna nga anak ni Israel. Manipud kenni Hanoc, a lalaki nga anakna ket nagtaud ti puli a Hanokita. Manipud kenni Pallu, nagtaud ti puli a Pallaluita.
6 Kutoka Hezroni. ulitokea ukoo wa Wahezroni. Kutoka kwa Kami ulitokea ukoo wa Wakami.
Manipud kenni Hezron, nagtaud ti puli a Hezronita. Manipud kenni Carmi, nagtaud ti puli a Carminita.
7 Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Ruben, agarup a 43, 730 a lallaki.
8 Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
Ni Elliab ti anak a lalaki ni Pallu.
9 Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
Ni Nemuel, Datan ken Abriam ket annak a lalaki ni Elliab. Ni Datan kenni Abriam ket dagitoy ti simmurot kenni Kora idi kinaritda da Moises ken Aaron ken nagrebeldeda kenni Yahweh.
10 Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
Nagnganga ti daga ket inalun-onna ida a karaman ni Kora idi natay dagiti amin pasurotna. Iti dayta a tiempo, inkisap ti apuy ti 250 a lallaki, a nagbalin a pagilasinan iti maysa a ballaag.
11 Lakini uzao wa Kora haukufa.
Ngem saan a natay dagiti kaputotan ni Kora.
12 Ukoo wa uzao wa Simeoni walikuwa hawa wafuatao: Kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli, kwa Jamini, ukoo wa Wajamini, kwa Jakini, ukoo wa Wajakini,
Dagitoy ti puli dagiti kaputotan ni Simeon: Babaen kenni Nemuel, ti puli a Nemuelita. Babaen kenni Jamin, ti puli a Jaminita. babaen kenni Jakin, ti puli a Jakinita.
13 kwa Zera, ukoo wa Wazera, kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
Babaen kenni Zera, ti puli a Zeranita. Babaen kenni Saul, ti puli a Saulita.
14 Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Simeon, nga agarup a 22, 200 a lallaki.
15 Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni,
Dagitoy ti puli dagiti kaputotan ni Gad: Babaen kenni Zefon, ti puli dagiti Zefonita, babaen kenni Aggi, ti puli nga Aggita, babaen kenni Suni, ti puli a sunita,
16 kwa Ozini, ukoo wa Waozini, kwa Eri, ukoo wa Waeri,
babaen kenni Ozni, ti puli nga Oznita, babaen kenni Eri, ti puli nga Erita,
17 kwa Arodi, ukoo wa Waarodi, kwa Areli, ukoo wa Waareli.
babaen kenni Arod, ti puli nga Arodita, babaen kenni Areli, ti puli nga Arelita.
18 Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Gad, nga agarup a 40, 500 a lallaki ti bilangda.
19 Wana wa Yuda walikwa Er na Onani, lakini hawa walifia katika nchi ya Kanaani.
Dagiti annak a lalaki ni Juda ket da Er ken Onan ngem natay dagitoy a lallaki idiay daga ti Canaan.
20 Koo zingine za uzao wa Yuda zilikuwa hizi: Kwa Shela, ukoo wa Washela, kwa Perezi, ukoo wa Waperezi, na kwa Zera, ukoo wa Wazera.
Dagiti puli iti dadduma a kaputotan ni Juda ket dagitoy: babaen kenni Sela, ti puli a Selanita, babaen kenni Perez, ti puli a Perezita, ken babaen kenni Zera, ti puli a Zereita.
21 Uzao wa Perezi walikuwa hawa: Kwa Hezroni, ukoo wa Wahezroni, kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
Dagiti kaputotan ni Perez ket dagitoy: Babaen kenni Hezron, ti puli a Hezronita, babaen kenni Hamul, ti puli a Hamulita.
22 Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Juda, nga agarup a 76, 500 a lallaki ti bilangda.
23 Koo za uzao wa Isakari zilikuwa hizi: Kwa Tola, ukoo wa Watola, kwa Puva, ukoo wa Wapuva,
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Issacar ket dagitoy: Babaen kenni Tola, ti puli a Tolaita, babaen kenni Puva, ti puli a Puanita,
24 kwa Jashubu, ukoo wa Wajashubu, kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
babaen kenni Jasub, ti puli a Jasubita, babaen kenni Simron, ti puli a Simronita.
25 Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
Dagitoy dagiti puli ni Issacar, nga agarup a 64, 300 a lallaki ti bilangda.
26 Koo za uzao wa Zabuloni zilikuwa hizi: Kwa Seredi, ukoo wa Waseredi, kwa Eloni, ukoo wa Waeloni, kwa Jahaleeli, ukoo wa Wajahaleeli.
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Zebulun ket dagitoy: Babaen kenni Sered, ti puli a Seredita, babaen kenni Elon, ti puli nga Elonita, babaen kenni Jaleel, ti puli a Jaleelita.
27 Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
Dagitoy dagiti puli a Zebulonita, nga agarup a 60, 500 a lallaki ti bilangda.
28 Koo za uzao wa Ysufu zilikuwa Manase na Efraimu.
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Jose ket da Manases ken Efraim.
29 Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi.
Dagiti kaputotan ni Manases ket dagitoy: babaen kenni Makir, ti puli a Makirita (Makir ket ama ni Galaad), babaen kenni Galaad, ti puli a Galaadita.
30 Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli,
Dagiti kaputotan ni Galaad ket dagitoy: Babaen kenni Lezer, ti puli a Lezerita, babaen kenni Helek, ti puli a Helekita,
31 ukoo wa Asrieli wa Waasrieli, kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu,
babaen kenni Asriel, ti puli nga Asrielita,
32 kwa Shemida, ukoo wa Washemida, kwa Hefa, ukoo wa Wahefa.
babaen kenni Sekem, ti puli a Sekemita, babaen kenni Hefer, ti puli a Heferita.
33 Zelofehadi mwana wa Hefa hakuwa na watoto wa kiume bali alikuwa na mabinti. Majina ya binti zake yalikuwa Mahilahi, Noha, Hoglaha, Milika, na Tiriza.
Ni Zelofehad nga anak a lalaki ni Hefer ket awan lalaki nga anakna, ngem babbai laeng. Dagiti nagan dagiti annakna a babbai ket da Maala, Noa, Hogla Milca ken Tirza.
34 Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
Dagitoy dagiti puli ni Manases, nga agarup a 52, 700 lallaki ti bilangda.
35 Koo za wana wa uzao wa Efraimu zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuthelaha, ukoo wa Washutheleha, kwa Becheri, ukoo wa Wabecheri, kwa Tahana, ukoo wa Watahana.
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Efraim ket dagitoy: Babaen kenni Sutela, ti puli a Sutelaita, babaen kenni Beker, ti puli a Bekerita, babaen kenni Tahan, ti puli a Tahanita.
36 Uzao wa Shuthelaha walikuwa, kwa Erani, ukoo wa Waerani.
Dagiti kaputotan ni Sutela ket babaen kenni Eran, ti puli a Eranita.
37 Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Efraim, nga agarup a 32, 500 a lallaki ti bilangda. Dagitoy dagiti kaputotan ni Jose, nabilang iti tunggal pulida.
38 Koo za uzao wa Benjamini zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Bela ukoo wa Wabela, kwa Ashibeli, ukoo wa Washibeli, kwa Ahiramu, ukoo wa Wahiramu,
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Benhamin ket dagitoy: Babaen kenni Bela, ti puli a Belaita, babaen kenni Asbel, ti puli nga Asbelita, babaen kenni Ahiram, ti puli nga Ahiramita.
39 kwa Shefufamu, ukoo wa Washefumamu, kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
babaen kenni Sufufam, ti puli a Sufufamita, babaen kenni Hufam, ti puli a Hufamita.
40 Wana wa Bela walikuwa ni Ardi na Naamani. Kutoka kwa Ardi ulijitokeza ukoo wa Waardi, na kutoka kwa Naamani ukajaitokeza ukoo wa Wanaamani.
Dagiti annak a lalaki ni Bela ket da Ard ken Naaman. Manipud kenni Ard, ti puli nga Ardita, ken manipud kenni Naaman, ti puli a Naamanita.
41 Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Benhamin. Agarupda a 45, 600 a lallaki ti bilangda.
42 Kooo za uzao wa Dani zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo koo za uzao wa Dani.
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Dan ket babaen kenni Suham, ti puli a Suhamita. Dagitoy dagiti puli kadagiti kaputotan ni Dan.
43 Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
Amin dagiti puli dagiti Suhamita ket agarup a 64, 400 a lallaki ti bilangda.
44 Koo za uzao wa Asheri zilikuwa zifuatazo: Kwa Imna, ukoo wa Waimna, kwa Ishvi, ukoo wa Waishivi, kwa Beria, ukoo wa Waberia.
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Asher ket dagitoy: Babaen kenni Imna, ti puli nga Iminita, babaen kenni Isvi, ti puli nga Isvita, babaen kenni Beria ti puli a Beriarita.
45 Uzao wa Beria walikuwa hawa: Kwa Heberi, ukoo wa Waheberi, kwa Malikieli, ukoo wa Wamalikieli.
Dagiti kaputotan ni Beria ket dagitoy: Babaen kenni Heber, ti puli a Heberita, babaen kenni Malkiel, ti puli a Malkielita.
46 Jina la binti wa Asheri lilikuwa Sera.
Ti nagan ti anak a babai ni Aser ket ni Sera.
47 Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Aser, nga agarup a 53, 400 a lallaki ti bilangda.
48 Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni,
Dagiti puli dagiti kaputotan ni Naftali ket dagitoy: Babaen kenni Jazeel, ti puli a Jazeelita, babaen kenni Guni, ti puli a Gunita,
49 kwa Jezeri, ukoo wa Wajezeri, kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
babaen kenni Jezer, ti puli a Jezerita, babaen kenni Sillem, ti puli a Sillemita.
50 Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
Dagitoy dagiti puli dagiti kaputotan ni Naftali, nga agarup a 45, 400 a lallaki ti bilangda.
51 Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
Daytoy ti naan-anay a bilang dagiti lallaki kadagiti tattao ti Israel: 601, 730.
52 BWANA akanena na Musa akamwambia,
Nagsao ni Yahweh kenni Moises ket kinunana,
53 Ile ardhi itagawanywa kati ya wanaume hawa kama urithi wao kwa kufuata idadi ya majina yao.
“Masapul a mabingay ti daga kadagitoy a lallaki a kas tawidda segun iti bilang dagiti naganda.
54 Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
Kadagiti dakdakkel a puli ket masapul nga ikkam ti ad-adu a tawid, ken kadagiti basbassit a puli ket masapul nga ikkam ida ti basbassit a tawid. Iti tunggal pamilia ket masapul nga ikkam ida iti tawid segun kadagiti nabilang a lallaki.
55 Lakini ardhi itagawiwa kwa kupigiwa kura. Watairithi nchi kama itakavyogawiwa kwa kufuata koo za mababu.
Nupay kasta, masapul a mabingay ti daga babaen iti panagbunot. Masapul a tawidenda ti daga a kas mabingayto kadagiti tribu dagiti kapuonanda.
56 Urithi huu utagiwiwa kufuata koo kubwa na ndogo, watagawiwa kwa kufuata kura zitakavyokuwa.
Masapul a mabingay ti tawidda kadagiti dakdakkel ken basbasit a puli, maibunong kadakuada babaen iti binnunot.”
57 Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
Dagiti puli dagiti Levita, a nabilang babaen kadagiti puli ket dagitoy, babaen kenni Gerson, ti puli a Gersonita, babaen kenni Coat, ti puli a Coatita, babaen kenni Merari, ti puli a Merarita.
58 Koo za walawi zilikuwa hzi: ukoo wa Walibni, Ukoo wa Wahebroni, ukoo wa Wamahali, ukoo wa Wamushi, na ukoo wa Wakora. Kohathi alikuwa wa uzao wa Amramu.
Dagiti puli ni Levi ket dagitoy: ti puli a Libnita, ti puli a Hebronita, ti puli a Mahalita, ti puli a Musihita, ken ti puli a Korita. Ni Coat ti kapuonan ni Amram.
59 Jina la mke wa Amramu lilikuwa Jokibed, wa ukoo wa Lawi, aliyekuwa amezaliwa kwa Walawi kule Misri. Alimzalia Amramu watoto wao, ambao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu dada yao.
Jocabed ti nagan ti asawa ni Amram, maysa daytoy a kaputotan ni Levi, a naiyanak kadagiti Levita idiay Egipto. Impaayanna ni Amram iti annakda, a da Aaron, Moises ken ni Miriam a kabsatda a babai.
60 Kwa Haruni alizaliwa Nadabu na Abihu, Eliazari na Ithamari.
Kenni Aaron ket naiyanak da Nadab ken Abiu, Eleazar ken Itamar.
61 Nadabu na Abihu walikufa walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika.
Natay ni Nadab ken Abiu idi nangidatonda iti sangoanan ni Yahweh iti saan a maikari nga apuy.
62 Waume walioheabaiwa miionigoni mwao walikuwa elfu ishirini na tatu, hawa nia wale wa umri wa mwezi mmoja na zaidi. Lakini hawakuhesabiwa kati ya wazawa wa Israeli kwa sababu hawakupewa urithi miongoni mwa wana wa Israeli.
Dagiti lallaki a nabilang kadakuada ket agarup a 23, 000, adda makabulan ken agpangato ti tawenna amin dagitoy a lallaki. Ngem saanda a naibilang kadagiti kaputotan ni Israel gapu ta awan tawid a naited kadakuada kadagiti amin a tattao ti Israel.
63 Hawa nadio wale walihesabiwa na Musa na Eliazari kuhani. Waliwahesabu watu wa Israeli katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko.
Dagitoy dagiti nabilang babaen kada Moises ken Eleazar a padi. Binilangda dagiti tattao ti Israel idiay patad ti Moab iti igid ti Jordan idiay Jerico.
64 Lakini miongoni mwa hawa hapakuwa na mwanamume aliyehasabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa katika jangwa la Sinai.
Ngem kadagitoy ket awan iti tao a nabilang da Moises ken Aaron a padi idi binilangda dagiti kaputotan ni Israel idiay let-ang ti Sinai.
65 Kwa BWANA alikuwa amesema kuwa kwa hakika watu hao wote wangefia jangwani. Hapakuwa na mtu aliyebaki miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.
Ta imbaga ni Yahweh a nasken a matay amin dagitoy a tattao idiay let-ang. Awan natda a tao kadakuada malaksid kenni Caleb nga anak ni Jefone ken ni Josue nga anak ni Nun.

< Hesabu 26 >