< Nehemia 13 >

1 Siku hiyo walisoma Kitabu cha Musa katika masikio ya watu. Ilionekana imeandikwa ndani yake kwamba hakuna Mwamoni au Mmoabu anapaswa kuja katika kusanyiko la Mungu, milele.
Na ta dan so brali Mojzesovo knjigo v občinstvu ljudstva in v njej je bilo najdeno zapisano, da naj Amónec in Moábec na veke ne bi prišla v Božjo skupnost,
2 Hii ilikuwa kwa sababu hawakuja kwa watu wa Israeli na mkate na maji, bali walikuwa wamemwajiri Balaamu kulaani Israeli. Hata hivyo, Mungu wetu aligeuza laana kuwa baraka.
ker niso srečali Izraelovih otrok s kruhom in vodo, temveč so zoper njih najeli Bileáma, da bi jih preklel. Vendar je naš Bog prekletstvo obrnil na blagoslov.
3 Mara tu waliposikia sheria, waliwatenga Israeli toka kwa kila mgeni.
Pripetilo se je torej, ko so slišali postavo, da so se od Izraela ločile vse mešane množice.
4 Sasa kabla ya hapo Eliashibu kuhani akawekwa juu ya vyumba vya nyumba ya Mungu wetu. Alikuwa na uhusiano na Tobia.
Pred tem je bil duhovnik Eljašíb, ki je imel nadzor nad sobo hiše našega Boga, zbližan k Tobiju
5 Eliashibu alimuandalia Tobia chumba kikubwa, ambako hapo awali waliweka sadaka ya nafaka, uvumba, makala, na sehemu ya kumi ya nafaka, divai, na mafuta, ambazo ziliwekwa kwa ajili ya Walawi, waimbaji, walinzi wa mlango, na michango kwa makuhani.
in zanj pripravil veliko sobo, kjer so vnaprej položili jedilne daritve, kadilo, posode, desetine od žita, novega vina in olja, kar je bilo zapovedano, da naj bo dano Lévijevcem, pevcem in vratarjem ter darove duhovnikom.
6 Lakini wakati huu wote sikuwepo Yerusalemu. Kwa mwaka wa thelathini na mbili wa Artashasta mfalme wa Babeli, nilikwenda kwa mfalme. Baada ya muda nikamwomba mfalme ruhusa ya kuondoka,
Toda v vsem tem času nisem bil v Jeruzalemu, kajti v dvaintridesetem letu babilonskega kralja Artakserksa sem prišel h kralju in po določenih dneh sem od kralja prejel dovoljenje za odhod
7 na nikarudi Yerusalemu. Nikafahamu mabaya ambayo Eliashibu alikuwa amefanya kwa kumpa Tobia chumba cha kuhifadhi katika mahakama ya nyumba ya Mungu.
in prišel sem v Jeruzalem in razumel zlo, ki ga je Eljašíb storil Tobiju, s tem, da mu je pripravil sobo na dvorih Božje hiše.
8 Nilikuwa na hasira sana na nikatupa vitabu vya nyumba ya Tobia nje ya chumba cha kuhifadhi.
To me je boleče užalostilo, zato sem iz sobe vrgel ven vse Tobijeve gospodinjske stvari.
9 Niliamuru kwamba watakase vituo vya kuhifadhi, nami nikarudisha ndani yao makala ya nyumba ya Mungu, sadaka ya nafaka, na uvumba.
Potem sem zapovedal in očistili so sobe. Tja sem ponovno prinesel posode iz Božje hiše, z jedilno daritvijo in kadilom.
10 Niligundua kwamba sehemu zilizotolewa kwa ajili ya kuwapa Walawi hazikutolewa kwao, ili waweze kuondoka haraka hekaluni, kila mmoja kwenda shambani kwake, kama waimbaji waliofanya walivyoondoka.
Zaznal sem, da jim niso bili dani deleži Lévijevcev, kajti Lévijevci in pevci, ki so opravljali delo, so pobegnili vsak k svojemu polju.
11 Kwa hiyo nikawasiliana na maafisa na kusema, 'Kwa nini nyumba ya Mungu imeachwa?' Niliwakusanya pamoja na kuwaweka kwenye nafasi zao.
Potem sem se pričkal s poveljniki in rekel: »Zakaj je Božja hiša zapuščena?« Zbral sem jih skupaj in jih postavil na njihov kraj.
12 Kisha Yuda wote wakaleta zaka ya nafaka, divai mpya, na mafuta kwenye vituo vya kuhifadhi.
Potem je ves Juda prinesel desetino od žita, novega vina in olja v zakladnice.
13 Nikawaweka kama watunza hazina juu ya hazina, Shelemia kuhani, na Sadoki mwandishi, na Walawi, Pedaya. Hanani, mwana wa Zakuri, mwana wa Matania, alikuwa na wafuasi wao, kwa sababu walihesabiwa kuwa waaminifu. Kazi yao ilikuwa kusambaza vifaa kwa washirika wao.
Postavil sem zakladnike nad zakladnicami: duhovnika Šelemjája, pisarja Cadóka in izmed Lévijevcev Pedajá. Poleg njih je bil Hanán, sin Zahúrja, sinú Matanjá, kajti bili so šteti zveste in njihova služba je bila, da razdeljujejo svojim bratom.
14 Nikumbuke, Ee Mungu wangu, juu ya hili, wala usiondoe matendo mema niliyoyatenda kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu na huduma zake.
»Spomni se me, oh moj Bog, glede tega in ne izbriši mojih dobrih dejanj, ki sem jih storil za hišo svojega Boga in za njene službe.«
15 Siku hizo nikaona watu wa Yuda waliokanyaga mvinyo siku ya Sabato, na kuleta makundi ya nafaka, na kuwapakia punda, na divai, na zabibu, na tini, na kila aina ya mizigo nzito, waliyoleta Yerusalemu siku ya Sabato. Nikashuhudia kuwa walikuwa wakiuza chakula siku hiyo.
V tistih dneh sem na šabat videl v Judu nekatere tlačiti vinske stiskalnice, prinašati snope in natovarjati osle kakor tudi vino, grozdje, fige in vse vrste bremen, ki so jih na šabatni dan prinesli v Jeruzalem. Pričeval sem zoper njih na dan, na katerega so prodajali živež.
16 Watu kutoka Tiro waliokaa Yerusalemu walileta samaki na kila aina ya bidhaa, na wakawauza siku ya Sabato kwa watu wa Yuda na katika mji!
Tam notri so prebivali tudi možje iz Tira, ki so prinašali ribe in vse vrste blaga in na šabatni dan prodajali Judovim otrokom in v Jeruzalemu.
17 Kisha nikawaambia viongozi wa Yuda, “Je! ni ubaya gani huu mnafanya, kuinajisi siku ya Sabato?
Potem sem se pričkal z Judovimi plemiči in jim rekel: »Kakšno zlo je to, ki ga delate in oskrunjate šabatni dan?
18 Je! Baba zenu hawakufanya hivyo? Je, Mungu wetu hakuleta mabaya haya juu yetu na juu ya mji huu? Sasa unaleta ghadhabu zaidi juu ya Israeli kwa kudharau Sabato.”
Mar niso tako počeli vaši očetje in ali ni naš Bog privedel vsega tega zla nad nas in nad to mesto? Vendar nad Izrael prinašate več besa z oskrunitvijo šabata.«
19 Mara ilipokuwa giza kwenye milango ya Yerusalemu kabla ya Sabato, niliamuru milango ifungwe na kwamba haifai kufunguliwa hadi baada ya Sabato. Niliwaweka baadhi ya watumishi wangu kwenye malango ili mzigo wowote usiweze kuletwa siku ya Sabato.
Pripetilo se je, ko so jeruzalemska velika vrata pred šabat pričenjala temneti, da sem zapovedal, naj se velika vrata zapro in jih zadolžil, da naj ne bodo odprta, dokler ne mine šabat in nekatere izmed svojih služabnikov sem postavil pri velikih vratih, da na šabatni dan ne bi bilo noter privedeno nobeno breme.
20 Wafanyabiashara na wauzaji wa kila aina ya bidhaa walikimbia nje ya Yerusalemu mara moja au mbili.
Tako so trgovci in prodajalci vseh vrst blaga enkrat ali dvakrat prenočili zunaj Jeruzalema.
21 Lakini niliwaonya, “Mbona mnakaa nje ya ukuta? Ikiwa mtafanya hivyo tena, nitakuweka mikononi!” Kutoka wakati huo hawakuja siku ya sabato.
Potem sem pričeval zoper njih in jim rekel: »Zakaj prenočujete okoli obzidja? Če boste ponovno storili tako, bom svoje roke položil na vas.« Od tistega časa naprej niso več prihajali na šabat.
22 Nikawaamuru Walawi kujitakasa, na kuja kulinda milango, ili kutakasa siku ya Sabato. Nikumbuke kwa hili pia, Mungu wangu, na kunipatia huruma kwa sababu ya uaminifu wa agano ulilonalo kwangu.
Lévijevcem sem zapovedal, da naj se očistijo in da naj pridejo in varujejo velika vrata, da posvetijo šabatni dan. »Spomni se me, oh moj Bog, tudi glede tega in prizanesi mi glede na veličino svojega usmiljenja.«
23 Katika siku hizo niliona Wayahudi waliokuwa wameoa wanawake wa Ashdodi, Amoni na Moabu.
V tistih dneh sem videl tudi Jude, ki so poročili žene iz Ašdóda, iz Amóna in iz Moába
24 Nusu ya watoto wao walizungumza lugha ya Ashdodi, lakini hawakuweza kuzungumza lugha ya Yuda, lakini lugha ya mmoja wa watu wengine.
in njihovi otroci so govorili pol v ašdódskem jeziku in niso mogli govoriti judovskega jezika, temveč glede na jezik vsakega ljudstva.
25 Nami nikawasiliana nao, na mimi niliwaadhibu, na nikawapiga baadhi yao na kuvuta nywele zao. Naliwaapisha kwa Mungu, nikisema, Msiwape wana wao binti zenu, wala msiwachukue binti zao kwa ajili ya wana wenu, wala ninyi wenyewe.
Pričkal sem se z njimi in jih preklel in udaril nekatere izmed njih, izpulil njihove lase in jih primoral, da so prisegli pri Bogu, rekoč: »Svojih hčera ne boste dajali njihovim sinovom niti ne boste jemali njihovih hčera za svoje sinove ali zase.«
26 Je, Sulemani mfalme wa Israeli hakufanya dhambi kwa sababu ya wanawake hawa? Miongoni mwa mataifa mengi hapakuwa na mfalme kama yeye, na alipendwa na Mungu wake. Mungu akamfanya awe mfalme juu ya Israeli wote. Hata hivyo, wake zake wa kigeni walimfanya atende dhambi.
Mar ni Salomon, Izraelov kralj, grešil s temi stvarmi? Pa vendar med mnogimi narodi ni bilo nobenega kralja, podobnega njemu, ki je bil ljubljen od svojega Boga in ga je Bog postavil [za] kralja nad vsem Izraelom. Kljub temu so celo njemu tuje žene povzročile, da je grešil.
27 Je, tunapaswa kukusikiliza na kufanya uovu huu hata kumhalifu Mungu wetu na kuwaoa wanawake wageni?
Mar naj potem prisluhnemo vam, da bi delali vso to veliko zlo, da grešimo zoper svojega Boga v poročanju tujih žena?
28 Mmoja wa wana wa Yoyada, mwana wa Eliashibu, kuhani mkuu, alikuwa mkwewe na Sanbalati Mhoroni. Kwa hiyo nilimondoa kutoka mbele yangu.
Eden izmed sinov Jojadája, sin vélikega duhovnika Eljašíba, je bil zet Horónca Sanbaláta, zato sem ga pregnal od sebe.
29 Wakukumbushe, Mungu wangu, kwa sababu wameunajisi ukuhani, na agano la ukuhani na Walawi.
»Spomni se jih, oh moj Bog, ker so omadeževali duhovništvo in zavezo duhovništva in Lévijevcev.«
30 Kwa hiyo nimewatakasa kutoka kila kitu kigeni, na kuimarisha kazi za makuhani na Walawi, kila mmoja kwa kazi yake mwenyewe.
Tako sem jih očistil vseh tujcev in določil straže duhovnikov in Lévijevcev, vsakega pri svojem poslu
31 Nilitoa sadaka za kuni wakati uliowekwa na matunda ya kwanza. Nikumbuke, Mungu wangu, kwa mema.
in za dar lesa, ob določenih časih in za prve sadove. »Spominjaj se me, oh moj Bog, za vselej.«

< Nehemia 13 >