< Marko 3 >

1 Na tena aliingia ndani ya sinagogi na mle palikuwa na mtu mwenye mkono uliopooza.
I uðe opet u zbornicu, i ondje bješe èovjek sa suhom rukom.
2 Baadhi ya watu walikuwa wakimfuatilia kwa ukaribu kuona kama atamponya siku ya Sabato ili kwamba wamshitaki.
I motrahu za njim neæe li ga u subotu iscijeliti da ga okrive.
3 Yesu alimwambia mtu mwenye mkono uliopooza, “Inuka na usimame katikati ya umati huu.”
I reèe èovjeku sa suhom rukom: stani na srijedu.
4 Kisha akawaambia watu, “Je ni halali kutenda tendo jema siku ya Sabato au kutenda yasiyo haki; kuokoa maisha, au kuua?” Lakini walibaki kimya.
I reèe im: valja li u subotu dobro èiniti ili zlo èiniti? dušu održati, ili pogubiti? A oni muèahu.
5 Akawaangalia kwa hasira, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao, na akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako”. Akaunyoosha na Yesu akamponya mkono wake.
I pogledavši na njih s gnjevom od žalosti što su im onako srca odrvenila reèe èovjeku: pruži ruku svoju. I pruži; i posta ruka zdrava kao i druga.
6 Mafarisayo wakaenda nje na mara wakafanya njama pamoja na Maherode dhidi yake ili kumuua.
I izišavši fariseji odmah uèiniše za njega vijeæu s Irodovcima kako bi ga pogubili.
7 Kisha Yesu, pamoja na wanafunzi wake, walienda baharini, na umati mkubwa wa watu uliwafuata ukitokea Galilaya na Uyahudi
A Isus otide s uèenicima svojijem k moru; i mnogi narod iz Galileje ide za njim i iz Judeje;
8 na kutoka Yerusalemu na kutoka Idumaya na mbele ya Yorodani na jirani ya Tiro na Sidoni, umati mkubwa, uliposikia kila kitu alichokuwa anakifanya, walikuja kwake.
I iz Jerusalima i iz Idumeje i ispreko Jordana i od Tira i Sidona mnoštvo veliko èuvši šta on èini doðe k njemu.
9 Na aliwaambia wanafunzi wake kuandaa mtubwi mdongo kwa ajili yake kwa sababu ya umati, ili kwamba wasije wakamsonga.
I reèe uèenicima svojijem da bude laða u njega gotova zbog naroda, da mu ne dosaðuje.
10 Kwa kuwa aliponya wengi, ili kila mtu aliyekuwa na mateso alikuwa na shauku ya kumfikia ili amguse.
Jer mnoge iscijeli tako da navaljivahu na njega koji bijahu nakaženi bolestima da ga se dotaknu.
11 Popote roho wachafu walipomwona, walianguka chini mbele yake na kulia, na walisema, “Wewe ni Mwana wa Mungu”.
I dusi neèisti kad ga viðahu, pripadahu k njemu i vikahu govoreæi: ti si sin Božij.
12 Aliwaamuru kwa msisitizo wasifanye ajulikane.
I mnogo im prijeæaše da ga ne prokažu.
13 Alienda juu ya mlima, na akawaita aliowataka, na wakaenda kwake.
I iziðoše na goru, i dozva koje on šæaše; i doðoše mu.
14 Akawachagua kumi na wawili (aliowaita mitume), ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri,
I postavi dvanaestoricu da budu s njim, i da ih pošilje da propovijedaju,
15 na kuwa na mamlaka ya kutoa mapepo.
I da imaju vlast da iscjeljuju od bolesti, i da izgone ðavole:
16 Na akawachagua kumi na wawili: Simoni, aliyempa jina la Petro,
Prvoga Simona, i nadjede mu ime Petar;
17 Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake Yakobo, aliyepewa jina la Bonagesi, hao ni, wana wa ngurumo,
I Jakova Zevedejeva i Jovana brata Jakovljeva, i nadjede im imena Voanerges, koje znaèi sinovi gromovi;
18 na Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,
I Andriju i Filipa i Vartolomija i Mateja i Tomu i Jakova Alfejeva i Tadiju i Simona Kananita,
19 na Yuda Iskariote, ambaye atamsaliti.
I Judu Iskariotskoga, koji ga i izdade.
20 Kisha alienda nyumbani, na umati wa watu wakaja pamoja tena, hata wasiweze kula hata mkate.
I doðoše u kuæu, i sabra se opet narod da ne mogahu ni hljeba jesti.
21 Familia yake waliposikia habari hiyo, walienda kumkamata, kwani walisema, “Amerukwa na akili”.
I èuvši to rod njegov iziðoše da ga uhvate; jer govorahu da je izvan sebe.
22 Waandishi waliokuja kutoka Yerusalemu walisema, “Amepagawa na Beelzebuli,” na, “Kwa mtawala wa mapepo anatoa mapepo”.
A književnici koji bijahu sišli iz Jerusalima govorahu: u njemu je Veelzevul; i: on pomoæu kneza ðavolskoga izgoni ðavole.
23 Yesu aliwaita kwake na kusema nao kwa mifano, “Jinsi gani Shetani aweza kumtoa Shetani?
I dozvavši ih govoraše im u prièama: kako može sotona sotonu izgoniti?
24 Kama ufalme ukigawanyika wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama.
I ako se carstvo samo po sebi razdijeli, ne može ostati carstvo ono;
25 Kama nyumba ikigawanyika yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama.
I ako se dom sam po sebi razdijeli, ne može ostati dom onaj;
26 Kama Shetani atainuka kinyume chake mwenyewe na kugawanyika, hawezi kusimama, na atakuwa amefika mwisho wake.
I ako sotona ustane sam na se i razdijeli se, ne može ostati, nego æe propasti.
27 Lakini hakuna hata mmoja awezaye kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuiba vitu vyake bila kumfunga mwenye nguvu kwanza, na kisha kukusanya kilichomo nyumbani.
Niko ne može pokuæstvo jakoga, ušavši u kuæu njegovu, oteti ako najprije jakoga ne sveže: i onda æe kuæu njegovu oplijeniti.
28 Kweli nawambieni, dhambi zote za wana wa watu zitasamehewa, pamoja na kufuru ambazo wanatamka,
Zaista vam kažem: svi grijesi oprostiæe se sinovima èovjeèijim, i huljenja na Boga, makar kakova bila:
29 lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn g165, aiōnios g166)
A koji pohuli na Duha svetoga nema oproštenja vavijek, nego je kriv vjeènome sudu. (aiōn g165, aiōnios g166)
30 Yesu alilisema hili kwa sababu walikuwa wakisema, “Ana roho chafu”.
Jer govorahu: u njemu je neèisti duh.
31 Kisha mama yake na ndugu zake walikuja na kusimama nje. Wakamtuma mtu, kumwita.
I doðe mati njegova i braæa njegova, i stojeæi napolju poslaše k njemu da ga zovu.
32 Na umati wa watu uliokuwa umekaa karibu naye wakamwambia, “mama yako na ndugu zako wako nje, na wanakutafuta wewe”.
I sjeðaše narod oko njega. I rekoše mu: eto mati tvoja i braæa tvoja i sestre tvoje napolju pitaju za te.
33 Aliwajibu, “Ni nani mama yangu na ndugu zangu?”
I odgovori im govoreæi: ko je mati moja ili braæa moja?
34 Aliwaangalia waliokuwa wamekaa wamemzunguka, na akasema, “Tazama, hawa ni mama zangu na ndugu zangu!
I pogledavši oko sebe na narod koji sjeðaše reèe: evo mati moja i braæa moja.
35 Yeyote afanyaye mapenzi ya Mungu, mtu huyo ni ndugu yangu, na dada yangu, na mama yangu”.
Jer ko izvrši volju Božiju onaj je brat moj i sestra moja i mati moja.

< Marko 3 >