< Mambo ya Walawi 16 >

1 Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
Dan toh kitoh louva Pathen angsunga thilto anabol lhon jal'a, thina chang teni Aaron chapate ni thinung in Pakai, Pathen in Mose henga hiti hin aseipeh in,
2 Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
Pakai, Pathen in Mose henga hiti hin asei tan, “Na sopipa Aaron jah a seipeh tan pondal kidalna muntheng lailung, thingkong chunga um ngailut hepi touna maiya ama cham in alut nom phat chan in hung lut lou ding, hichu ahilouleh thi jeng thei ahi; ajeh chu hichea ngailut hepi touna chunga khu keima meiloma kilahji kahi.”
3 Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
Aaron vang hiche munthenga hi lut theia, chonset thilto dinga bongchal gol khat leh kelngoi chal khat jaonaa ahin kai ding,
4 Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
Chule tupet ponnema kikhui sangkhol chol len chu aki ah ding, tupet ponnem a kikhui toka chol jong akichen a, chule tupet ponnem a kikhui chalchep konggah chu akong akigah a, tupet'a kikhong delkop jong akop ding, hichengse hi von lah a atheng ahin, hijeh chun thempu pan jong hiche von hochu akivon theina din atahsa pumpi tuiya kisil thengsel ding ahi.
5 Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
Chule Israel chate khoppi apat chu kelchal nou nitah, pumgo thiltoa to dinga kelchal khat ma akimat ding ahi.
6 Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
Aaron in jong atumbeh a ama dinga bongchal khat atodoh ding, hitia chu amading leh ainsung mite dinga kithoidamna anei masat ding ahi.
7 Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
Chule Aaron in jong kelchal teni chu akai ding, kikhop khomna ponbuh kotbul Pathen ansunga chu adinsah a,
8 Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
Chule Aaron in jong kelchal teni dia phun asan ding, hiche aphunsan lah a khat chu, Pakai ding chule aphunsan khat vang chu Azazel chang ding ahi.
9 Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
Chule Aaron in jong Pakaiya dia phun, achunga phunchan chuhna kelcha chu akai ding, chonset thiltoa atodoh ding ahi.
10 Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
Hitobanga chu Azazel chan ding phun pha, achunga phunchan chuhna kelcha chu kithoidamna dinga ahing laiya todoh ding, hichu Azazel chan dinga gamlah a ahinga lha mang ding ahi.
11 Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
Aaron in jong amatah chonset thilto dinga bongchal chu atodoh ding, hiche bongchal chu ama chonset thilto dinga akitha ding ahi.
12 Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
Chule Aaron in jong Pakai angsung maicham phunga pat, meiam kong khat dim hichu gimnamtui lhutna ding, chule hoitah a kisemsa gimnamtui khut dimni aham doh a, hichu pondal kikhai kal lama chu apohlut ding ahi.
13 Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
Hitia chu Pakai angsunga meikong lah a gimnamtui chu alelhah ding, chule hettohsahna dinga kido ngailut hepi touna chu, gimnamtui kilhutna meikhu chun atom sohhel ding ahi, hichu ahilouleh thinan alhun thei ahi.
14 Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
Chule bongchal thisan chu themkhat alah ding, akhut jung akona ngailut hepi touna mailah a chu athe lhah ding, ngailut hepi touna mailah a chu akhut jung akona sagi veijen athe khum ding ahi.
15 Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
Hiche jouteng chule mipi dinga chonset thilto kelcha chu atha ding, athisan vang chu pondal sunglama achoilut a, hiche kelcha thisan chu bongchal thisan kibolna bang bang achu abol ding, ngailut hepi touna chungvum chule ngailut hepi touna maiya chu athin khum ding ahi.
16 Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
Hitobang achu Israel chate aboh a aumna jouseu leh chonset a aumnauva kona muntheng pen chu asuhtheng ding, hitobang akona hi ngahmun lailung chu atheng loua umji ahitan, suh thengna abolji ding ahi.
17 Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
Muntheng pen suhthengna dia Aaron asung lhah a ahung potdoh kit kahsea, kikhop khomna ponbuh sunga koima umthei lou ding ahi. Amavang ama le ainsung mite chule miho dinga thensona anei ding,
18 Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
Chule maicham phunga pumgo thilto abola suh thengna anei ding, hichea chu bongchal thisan phabep le kelcha thisan phabep alah a, maicham ninga selki hose chu anunat ding ahi.
19 Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
Hiche thisan chu akhut junga akhoi ding, chuteng maicham chung vum lah achu athin khum ding ahi. Hitia hi Israelte chonset jal'a maicham asema athenso ding ahi.
20 Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
Chule Aaron in jong muntheng pen jouse le Pakai Pathen chenna ponbuh suhthengna chule maicham sutheng naho achai kimsoh teng leh, phun phatna dia kelcha chu akatdoh ding ahi.
21 Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
Chuteng Aaron in akhut teni kelcha chunga chu angap ding, chonset thil ho ahin, gitlouna jouse, Israel chaten doumah aboldoh jouseu aphondoh ding, kelcha chunga buhlhah peh banga abola, chuteng son umtah mikhat chun gammang lah a dellut ding ahi.
22 Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
Hiche kelcha chun achonsetna ho jouseu chu, chenna loubeh gammang lah khat a apohmang ding ahi.
23 Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
Chujouteng muntheng sung alut masanga, thempu vona kivon chengse chu kikhop khomna ponbuh lut a Aaron in aga puilut ding, hiche muna chu ahin dalhah diu ahi.
24 Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
Chule muntheng khat a kisil lha ding, akivona ngai banga kivona hichea chu amatah chonsetna le mipi chonset thensona dinga, pumgo thilto chu anei ding ahi.
25 Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
Chule chonset thoidam nadia sathao jouse chu, maicham phunga agovam ding ahi.
26 Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
Chule gammang lah a kelcha delmang pachu, ngahmun ahung lhun kah a avon jouse akisop lhah ding, ama jeng jong kisil lha ding ahi.
27 Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
Chonset thoidamna dia kithat bongchal le kelcha teni thisan jong chonset abeina thei ding in, muntheng pena kikoisa chu ngahmun polama govam ding, avun leh asa chule agil jaonaa aboncha govam ding ahi.
28 Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
Hitia chu agouvam penpen in ngahmun asung lhah kah a, aponsil jouse asop lhah ding, chuteng ngahmun lai achu sunglha bep ding ahi.
29 Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
Chule hiche dan hi akhang akhanga na jui diu, lha sagi, nisom alhin nikho teng Israel chate chule alah uva cheng gamchom mihon an angol diu, na atoh louhel diu ahi.
30 Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
Hou thulam dola thenna anei na ding un, hiche nikhoa chu achonset nau thoidamna nei ding ahi.
31 Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
Hiche nikho hi nikho theng ahin, an ngol ding natoh jong bol louva umding ahi. Hitia chu dan jouse hi akhang akhanga chepi ding ahi.
32 Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
Thempupa khela dantoh kitoh a thensona changsa, thempu chungnung in suh thengna kin anei ding, thempu vona kivon ding,
33 Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
Pakai chenna ponbuh chule muntheng chungnung, maicham phung chule thempu ho jouse le mipi ho chu suhthengna abolpeh ding ahi.
34 Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.
Hitia chu dan hichengse hi akhang akhanga jui ding ahi. Israel chate achonset nauva kona suhthengna thei dia, hiche kithoidamna hi kumseh a khatvei bol ding, hichu Pakai, Pathen thupeh bang in Mose’n jong aboltan ahi.

< Mambo ya Walawi 16 >