< Waamuzi 3 >

1 Sasa Bwana aliyaacha mataifa haya yaijaribu Israeli, yaani kila mtu katika Israeli ambaye hakushiriki vita yoyote huko Kanaani.
Šie nu ir tie pagāni, ko Tas Kungs atstāja, ka Viņš caur tiem Israēli kārdinātu, kas nekā nezināja no Kanaāna kariem;
2 (Alifanya hivyo ili kuwafundisha vita kizazi kipya cha Waisraeli ambao hawakujua kabla).
Lai Israēla bērnu pēcnākamie zinātu un mācītos karu, tie, kas no tā vēl nekā nezināja.
3 Haya ndio mataifa: wafalme watano kutoka kwa Wafilisti, Wakanaani wote, Wasidoni, na Wahivi waliokaa milima ya Lebanoni, kutoka Mlima Baali Hermoni hadi Hamathi.
Pieci Fīlistu valdnieki un visi Kanaānieši un Sidonieši un Hivieši, kas dzīvoja Lībanus kalnos, un no BaālErmona kalna līdz Hamatai.
4 Mataifa haya yaliachwa kama njia ambayo Bwana angeijaribu Israeli, kuthibitisha kama watazitii amri alizowapa babu zao kupitia Musa.
Šie tad bija, lai Israēls caur tiem tiktu kārdināts, ka taptu zināms, vai tie klausīs Tā Kunga baušļiem, ko Viņš viņu tēviem bija pavēlējis caur Mozu.
5 Basi wana wa Israeli wakakaa kati ya Wakanaani, na Wahiti, na Waamori, na Waperizi, na Wahivi, na Wayebusi.
Un Israēla bērni dzīvoja vidū starp Kanaāniešiem, Hetiešiem un Amoriešiem un Fereziešiem un Hiviešiem un Jebusiešiem.
6 Waliwachukua binti zao kuwa wake zao, nao wakawapa wana wao binti zao, nao wakaitumikia miungu yao.
Un tie sev ņēma viņu meitas par sievām un deva savas meitas viņu dēliem un kalpoja viņu dieviem,
7 Wana wa Israeli walifanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wakamsahau Bwana, Mungu wao. Waliabudu Baali na Asherah.
Un Israēla bērni darīja, kas Tam Kungam nepatika, un aizmirsa To Kungu, savu Dievu, un kalpoja Baāliem un Astartēm.
8 Basi, hasira ya Bwana ikawaka juu ya Israeli, naye akawauza mkononi mwa Kushan-rishathaimu mfalme wa Aram Naharaimu. Watu wa Israeli walitumikia Kushan Rishathaimu kwa miaka nane.
Tad Tā Kunga bardzība iedegās pret Israēli un Viņš tos pārdeva Kuzan Rizataīma, Mezopotamijas ķēniņa, rokā, un Israēla bērni kalpoja Kuzan Rizataīmam astoņus gadus.
9 Watu wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamuinua mtu atakayewasaidia wana wa Israeli, na mtu atakayewaokoa: Othnieli mwana wa Kenazi (ndugu mdogo wa Kalebu).
Tad Israēla bērni brēca uz To Kungu, un Tas Kungs Israēla bērniem cēla pestītāju, kas tos izpestīja, Otniēli, Ķenasa, Kāleba jaunākā brāļa, dēlu.
10 Roho wa Bwana akamtia nguvu, naye akahukumu Israeli na akatoka kwenda vitani. Bwana akampa kuishinda Kush-rishataimu mfalme wa Aramu. Mkono wa Othnieli alishinda Kushan Rishathaimu.
Un Tā Kunga Gars bija uz viņu, un viņš bija par soģi Israēlim un izgāja karā, un Tas Kungs deva viņa rokā Kuzan Rizataīmu, Mezopotamijas ķēniņu, un viņa roka bija stipra pār Kuzan Rizataīmu.
11 Nchi ilikuwa na amani kwa miaka arobaini. Ndipo Otinieli mwana wa Kenazi akafa.
Tad zemei bija miers četrdesmit gadus, un Otniēls, Ķenasa dēls, nomira.
12 Baada ya hayo, Waisraeli wakafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana; Bwana akampa Egloni mfalme wa Moabu nguvu, kuwashinda Waisraeli.
Bet Israēla bērni joprojām darīja, kas Tam Kungam nepatika. Tad Tas Kungs stiprināja Eglonu, Moaba ķēniņu, pret Israēli, tāpēc, ka tie darīja, kas Tam Kungam nepatika.
13 Eglon alijiunga na wana wa Amoni na Waamaleki wakaenda na kuwashinda Israeli, na walichukua mji wa Mitende.
Un viņš sapulcēja pie sevis Amona bērnus un Amaleku, un cēlās un kāva Israēli, un tie ieņēma to palmu pilsētu.
14 Watu wa Israeli walimtumikia Eglon mfalme wa Moabu kwa miaka kumi na nane.
Un Israēla bērni kalpoja Eglonam, Moaba ķēniņam, astoņpadsmit gadus.
15 Wana wa Israeli walipomwomba Bwana, Bwana akamwinua mtu aliyewasaidia, Ehudi mwana wa Gera, Mbenjamini, mtu shoto. Wana wa Israeli wakamtuma kwa Egloni, mfalme wa Moabu, kwa malipo yao ya kodi.
Tad Israēla bērni brēca uz To Kungu, un Tas Kungs tiem cēla par pestītāju Eūdu, Ģerus dēlu, no Benjamina cilts; tas bija kreilis, un Israēla bērni caur viņu sūtīja dāvanu Eglonam, Moaba ķēniņam.
16 Ehudi akajifanyia upanga uliokuwa na makali kuwili, urefu wa dhiraa moja; aliufunga chini ya nguo zake juu ya mguu wake wa kulia.
Un Eūds taisīja sev abējās pusēs griezīgu zobenu, olekts garumā, un to apjoza apakš savām drēbēm pie savas labās ciskas.
17 Akampa Egloni Mfalme wa Moabu malipo ya kodi. (Egloni alikuwa mtu mnene sana.)
Un viņš Eglonam, Moaba ķēniņam, nonesa dāvanas, un Eglons bija ļoti resns vīrs.
18 Baada ya Ehudi kulipa malipo ya kodi, aliondoka na wale waliokuwa wameibeba.
Un kad viņš to dāvanu bija nodevis, tad viņš tos ļaudis atlaida, kas to dāvanu bija nesuši.
19 Hata hivyo Ehudi mwenyewe, alipofikia mahali ambapo sanamu za kuchonga zilitengenezwa karibu na Gilgali, akageuka na kurudi, akasema, 'Nina ujumbe wa siri kwako, mfalme wangu.' Eglon akasema, 'Nyamazeni kimya!' Kwa hiyo wote waliomtumikia wakatoka kwenye chumba.
Bet viņš griezās atpakaļ no tiem elku stabiem, kas bija Gilgalā un sacīja: man viens noslēpums tev jāsaka, ķēniņ. Un tas sacīja: klusu! Tad visi izgāja ārā, kas ap viņu stāvēja.
20 Ehudi akaja kwake. Mfalme alikuwa amekaa peke yake, peke yake katika chumba cha juu cha baridi. Ehudi akasema, 'Nina ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili yeko.' Mfalme akasimama kutoka katika kiti chake.
Un Eūds pie viņa pienāca; bet viņš sēdēja kādā dzestrā kambarī, kas bija viņam vienam. Tad Eūds sacīja: man ir Dieva vārds uz tevi. Tad viņš cēlās no tā krēsla.
21 Ehudi akanyoosha mkono wake wa kushoto na akachukua upanga kutoka mguu wake wa kulia, na akautia ndani ya mwili wa mfalme.
Un Eūds izstiepa savu kreiso roku un ņēma to zobenu no savas labās ciskas un to viņam iedūra vēderā,
22 Na kipini cha upanga kikaingia ndani yake baada ya upanga, nao ukatokea nyuma yake, na mafuta yakashikamana juu ya upanga, kwa kuwa Ehudi hakuutoa upanga nje ya mwili wake.
Ka gan asmens, gan spals iegāja, un tie tauki to asmeni apklāja, jo viņš to zobenu no viņa vēdera neizvilka, un tas izgāja pakaļā cauri.
23 Kisha Ehudi akatoka kwenye ukumbi na akafunga milango ya chumba cha juu nyuma yake na akawafungia.
Tad Eūds izgāja ārā un aizslēdza tā kambara durvis aiz sevis un tās aizšāva.
24 Baada ya Ehudi kuondoka, watumishi wa mfalme wakaja; wakaona milango ya chumba cha juu imefungwa, kwa hiyo wakafikiri, 'Hakika atakuwa anajitoa mwenyewe katika hali ya baridi ya chumba cha juu.'
Kad tas nu bija izgājis, tad viņa kalpi nāca, un redzēja, un lūk, kambara durvis bija aizslēgtas. Un tie sacīja: viņš gan savas kājas apklāj tai dzestrā kambarī.
25 Walizidi kuwa na wasiwasi hata walipoanza kuhisi kuwa walikuwa wakipuuza wajibu wao wakati mfalme bado hakufungua milango ya chumba cha juu. Kwa hiyo walichukua ufunguo wakawafungua, tazama bwana wao, ameanguka chini, amekufa.
Kad tie nu gaidīja tik ilgi, ka paši kaunējās, un redzi, viņš tā kambara durvis neatdarīja, tad viņi ņēma atslēgu un atslēdza, un redzi, viņu kungs gulēja pie zemes nomiris.
26 Wakati watumishi wakisubiri, wakijiuliza nini wanapaswa kufanya, Ehudi alikimbia na kupita mahali ambako kulikuwa na sanamu za kuchonga, na hivyo akakimbia kwenda Seira.
Un Eūds izmuka, kamēr tie gaidīja, jo viņš gāja gar tiem elku stabiem un aizmuka uz Seīratu.
27 Alipofika, alipiga tarumbeta katika nchi ya mlima wa Efraimu. Kisha wana wa Israeli wakashuka pamoja naye kutoka milimani, naye akawaongoza.
Un kad viņš tur nonāca, tad viņš pūta trumetē uz Efraīma kalniem, un Israēla bērni nogāja ar viņu no tiem kalniem un viņš pats viņu priekšā.
28 Akawaambia, Nifuate, kwa kuwa Bwana atawashinda adui zenu, Wamoabu. Wakamfuata, wakakamata vivuko vya Bonde la Yordani, toka kwa Wamoabi, wala hawakuruhusu mtu yeyote kuvuka mto.
Un viņš uz tiem sacīja: steidzaties man pakaļ, jo Tas Kungs devis jūsu rokā jūsu ienaidniekus, tos Moabiešus. Un tie nogāja viņam pakaļ un uzņēma Jardānes pārejamo vietu, kas pret Moabu, un nevienu nelaida pāri.
29 Wakati huo waliwaua watu elfu kumi wa Moabu, na wote walikuwa watu wenye nguvu na wenye uwezo. Hakuna aliyekimbia.
Un tie kāva no Moabiešiem tanī laikā kādus desmit tūkstoš vīrus, visus brangus un visus stiprus, ka neviens neizspruka.
30 Kwa hiyo siku hiyo Moabu ilishindwa na nguvu ya Israeli. Na nchi ilikuwa na amani kwa miaka thelathini.
Tad Moabs tai dienā tapa pazemots apakš Israēla bērnu rokas, un zemei bija miers astoņdesmit gadus.
31 Baada ya Ehudi, mwamuzi aliyefuata alikuwa Shamgari mwana wa Anathi ambaye aliwaua Wafilisti 600 kwa konzo la ng'ombe. Pia aliwaokoa Israeli kutoka kwenye hatari.
Un pēc viņa bija Zamgars, Anata dēls, tas kāva no Fīlistiem sešsimt vīrus ar vēršu dzenamo. Tā viņš arīdzan Israēli izpestīja.

< Waamuzi 3 >