< Yoshua 8 >

1 Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiogope; usivunjike moyo. Chukua pamoja nawe watu wa vita. Pandeni kwenda Ai. Tazama nimemtia mkononi mwako mfalme wa Ai, watu wake, mji wake na nchi yake.
Kinuna ni Yahweh kenni Josue, “Saanka nga agbuteng; saanka a maupay. Ikuyogmo dagiti amin a tattao a mannakigubat. Sumang-atkayo idiay Ai. Kitaem, intedkon iti imam ti ari ti Ai, dagiti tattaona, ti siudadna ken ti dagana.
2 Mtafanya hivyo pia huko Ai na mfalme wake kama mlivyofanya kwa Yeriko na mfalme wake, isipokuwa mtachukua nyara na mifugo kwa ajili yenu. Pangeni mashambulizi ya uviziaji nyuma ya mji.”
Aramidemto iti Ai ken iti ari daytoy ti kas iti inaramidmo iti Jerico ken iti ari daytoy, malaksid iti panangalayonto iti sinamsam ken kadagiti taraken nga agpaay kadakayo. Agsaganakayo iti panangsaneb iti likudan ti siudad.”
3 Basi Yoshua aliinuka na akawachukua kwenda Ai watu wote wa vita. Kisha Yoshua akachagua watu elfu thelathini - wenye nguvu na ujasiri - na aliwatuma waende wakati wa usiku.
Timmakder ngarud ni Josue ket inkuyogna dagiti amin a lallaki a mannakigubat a sumang-at idiay Ai. Ket nangpili ni Josue iti tallo pulo a ribu a lallaki- napigsa, natutured a lallaki- ket imbaonna ida iti rabii.
4 Aliwaamuru, “Tazama, mtalala katika hali ya mashambulizi ya uviziaji dhidi ya mji, kwa nyuma yake. Usiende mbali sana na mji, lakini ninyi nyote muwe tayari.
Imbilinna kadakuada, “Kitaenyo, agsanebkayonto a maibusor iti siudad, iti likudan daytoy. Saankayo nga umadayo unay iti siudad, ngem agsaganakayo amin.
5 Mimi pamoja na watu wote walio pamoja nami tutaukaribia mji. Na wakati watakapokuja kutushambulia sisi, tutawakimbia kama tulivyofanya hapo mwanzo.
Umasidegakto ken dagiti amin a lallaki a kakuyogko iti siudad. Ket inton rummuarda a mangraut kadakami, itarayanminto ida a kas idi damo.
6 Watatoka nje watukimbize mpaka hapo tutakapokuwa tumewavuta mbali sana na mji, watasema, “Wanatukimbia kama walivyofanya mara ya mwisho.' Hivyo tutawakimbia na kwenda mbali.
Surotendakaminto agingga a maiyadayomi ida manipud iti siudad. Kunaendanto, 'Itartarayandatayo a kas iti inaramidda idi damo.' Isu nga itarayanminto ida.
7 Kisha mtapanda kutoka sehemu mliyojificha, na mtauteka mji. Yahweh Mungu wenu atawapa mkononi mwenu.
Ket rummuarkayonto iti paglemlemmenganyo, ket sakupenyonto ti siudad. Itedto daytoy ni Yahweh a Diosyo iti imayo.
8 Tazama nimewaamuru, mtakapouteka mji, mtauchoma moto. Mtayafanya haya wakati mtakapotii agizo lililotolewa katika neno la Yahweh.”
Inton masakupyo ti siudad, puoranyonto daytoy. Aramidenyo daytoy inton agtulnogkayo iti bilin a naited iti sao ni Yahweh. Kitenyo, binilinkayo.”
9 Yoshua akawatuma, na wakaenda sehemu ya uviziajia, na wakajificha kati ya Betheli na Ai sehemu ya magharibi ya Ai. Yoshua akalala miongoni mwa watu usiku ule.
Imbaon ida ni Josue, ket napanda iti pagsaneban, ket naglemmengda iti nagbaetan ti Betel ken Ai iti laud ti Ai. Ngem nakiturog ni Josue kadagiti tattao iti dayta a rabii.
10 Yoshua aliamka asubuhi na mapema na akawaandaa tayari wanajeshi wake, Yoshua na wazee wa Israeli walishambuliwa watu wa Ai.
Nasapa a bimmangon ni Josue iti bigat ket insaganana dagiti soldadona, rinaut ni Josue ken dagiti panglakayen iti Israel dagiti tattao ti Ai.
11 Watu wote wa vita waliokuwa pamoja naye walipanda na kuukaribia mji. Walisogea karibu na mji na wakapiga kambi sehemu ya kasikazini mwa Ai. Kulikuwa na bonde kati yao na Ai.
Simmang-at dagiti amin a lallaki a mannakigubat a kaduana ket immasidegda iti siudad. Dimtengda iti asideg ti siudad ket nagkampoda iti amianan a paset ti Ai. Ita, adda iti tanap a nagbaetanda iti Ai.
12 Alichukua watu wapatao elfu tano hivi na akawaweka katika hali ya kuvizia katika upande wa magharibi mwa mji kati ya Betheli na Ai.
Nangala isuna iti agarup lima ribu a lallaki ket insaadna ida iti pagsaneban iti laud a paset ti siudad iti nagbaetan ti Betel ken Ai.
13 Waliwapanga wanajeshi wote, jeshi kuu katika upande wa kasikazini mwa mji, na walinzi wa nyuma upande wa magharibi mwa mji. Yoshua alilala bondeni usiku ule.
Inyurnosda dagiti amin a soldado, adda dagiti kangrunaan nga armada iti amianan a paset ti siudad, ken adda dagiti akinlikud a guardia iti laud a paset ti siudad. Immian ni Josue idiay tanap iti dayta a rabii.
14 Na ilikuwa alipoona hilo mfalme wa Ai, yeye pamoja na jeshi lake, waliamka asubuhi na mapema na walitoka kwa haraka kwenda kuwashambulia Israeli katika eneo linalokabili bonde la Mto Yordani. Hakujua kuwa kulikuwa na shambulizi la kuvizia lilikuwa linasubiria kushambulia kutokea kwa nyuma ya mji.
Ket idi nakita ti ari ti Ai daytoy, nasapa a bimmangon isuna ken ti armadana ket nagdardarasda a rimmuar a mangraut iti Israel iti lugar a nakasango iti tanap ti Karayan Jordan. Saanna nga ammo nga adda maysa a panangsaneb nga agur-uray a rumaut manipud iti likudan ti siudad.
15 Yoshua na Waisraeli wote walikubali wenyewe kushindwa mbele yenu, na wakakimbia kuelekea nyikani.
Impalubos ni Josue ken dagiti amin nga Israel a maabakda iti sangoananda, ken nagtarayda nga agturong iti let-ang.
16 Watu wote waliokuwa kwenye mji waliitwa kwa pamoja waende mbele yao, na walienda mbele ya Yoshua na kwa jinsi hiyo walivutwa mbali na mji.
Sangsangkamaysa a naayaban dagiti amin a tattao nga adda iti siudad tapno kamatenda ida, ken kinamatda ni Josue ket naiyadayoda manipud iti siudad.
17 Hapakuwa na mtu mme aliyesalia Ai na Betheli ambaye alikuwa hajaenda nje kuwafuatilia waisraeli. Na walipokuwa wanawafuatilia Waisraeli, Wakatoka na waliuacha mji wazi.
Awan ti nabati a lalaki idiay Ai ken Betel a saan a napan kimmamat iti Israel. Pinanawanda ti siudad ket imbatida daytoy a silulukat bayat iti panangkamatda iti Israel.
18 Yahweh akamwambia Yoshua, “Nyosha mkuki huo ulio mkononi mwako kuelekea Ai, kwa kuwa nitaitia Ai mikononi mwako.” Yoshua akaunyosha mkuki uliokuwa mkononi mwake kuuelekea mji.
Kinuna ni Yahweh kenni Josue, “Ipaturongmo iti Ai ti iggemmo a gayang, ta itedkon ti Ai iti imam.” Inturong ni Josue ti iggemna a gayang iti siudad.
19 Wanajeshi waliojificha katika hali ya kuvizia walitoka upesi katika eneo lao mara tu alipounyosha mkono wake. Walikimbia mbio na kuuingia mji na kuuteka. Na kwa haraka wakauchoma moto mji.
Dagus a rimmuar iti lugarda dagiti soldado nga aglemlemmeng iti pagsaneban apaman nga intayagna ti imana. Nagtarayda ken simrekda iti siudad ket sinakupda daytoy. Dagus a pinuoranda ti siudad.
20 Watu wa Ai waligeuka na kuangalia nyuma. Waliona moshi kutoka katika mji ukipanda kwenda angani, na hawakuweza kutoroka kwa njia hii au ile. Kwa kuwa wanajeshi wa Israelei waliokuwa wamekimbia katika nyika, sasa walirudi kuwakabili wale waliokuwa wanawafuatilia.
Timmaliaw ken kimmita iti likud dagiti lallaki ti Ai. Nakitada ti asuk manipud iti siudad nga agpangpangato iti tangatang, ket saandan a makalibas iti daytoy wenno iti dayta a dalan. Ta nagsublin dagiti Israelita a nagtaray idiay let-ang tapno sangoenda dagiti mangkamkamat kadakuada.
21 Na wakati Yoshua na Israeli wote walipoona kuwa wale watu wa kuvizia wameuteka mji kwa ule moshi uliokuwa ukipanda, waligeuka nyuma na kuwaua watu wa Ai.
Idi nakita ni Josue ken dagiti amin nga Israel a nasakup ti panangsaneb ti siudad nga adda asuk nga agpangpangato, nagsublida ket pinatayda dagiti lallaki ti Ai.
22 Na wanajeshi wengine wa Israeli, wale waliokuwa wameingia ndani ya mji, walitoka nje ili kuwashambulia. Hivyo, watu wa Ai walikamatwa katikati ya majeshi ya Israeli, baadhi katika upande huu na wengine katika upande ule.
Ken rimmuar dagiti dadduma a soldado ti Israel, dagiti simrek iti siudad, tapno rautenda ida. Isu a natiliw dagiti lallaki ti Ai iti nagbaetan dagiti armada ti Israel. Rinaut ti Israel dagiti lallaki ti Ai; awan ti nakalasat wenno nakalibas kadakuada.
23 Lakini walimhifadhi mfalme wa Ai, ambaye walimteka akiwa hai, na kisha wakamleta kwa Yoshua.
Innalada ti ari ti Ai, a natiliwda a sibibiag, ket impanda isuna kenni Josue.
24 Ilikuwa baada ya Israeli walipokuwa wamemaliza kuuwaua wenyeji wote wa Ai katika uwanda kariibu na nyika mahali walipowafuata, na baada ya wao wote, hata yule wa mwisho, walipokuwa wamekwisha kulala kwa ncha ya upanga, Waisraeli wote walirudi Ai. Waliuteka mji kwa ncha ya upanga.
Ket idi nalpasen a pinapatay ti Israel dagiti amin nga agnanaed iti Ai iti tay-ak iti asideg ti let-ang a nangkamatanda kadakuada, ket idi napapatayda amin agingga iti kaudian babaen iti tadem ti kampilan, nagsubli ti amin nga Israel idiay Ai. Rinautda daytoy babaen iti tadem ti kampilan.
25 Wale wote walikufa siku hiyo walikuwa watu elfu kumi na mbili elfu, wanaume na wanawake, wote ni watu wa Ai.
Amin a natay iti dayta nga aldaw, lallaki ken babbai, ket sangapulo ket dua a ribu, amin a tattao ti Ai.
26 Yoshua hakuukunja mkono wake ambao alikuwa ameunyosha huku akishikilia mkuki wake, mpaka pale alipowateketeza kabisa watu wote wa Ai.
Saan nga imbaba ni Josue ti imana nga inngatona bayat nga ig-iggamanna ti gayangna, agingga a nadadaelna a naan-anay dagiti amin a tattao ti Ai.
27 Waisraeli walichukua tu wanyama na nyara kutoka katika mji kwa ajili yao wenyewe, kama Yahweh alivyokuwa amemwagiza Yoshua.
Innala laeng ti Israel nga agpaay kadakuada dagiti taraken ken ti sinamsam manipud iti siudad, a kas iti imbilin ni Yahweh kenni Josue.
28 Yoshua aliichoma Ai na kuigeuza kuwa kichuguu cha mapango. Ni mahali palipoachwa ukiwa hata leo.
Pinuoran ni Josue ti Ai ken pinagbalinna daytoy a gabsuon dagiti nadadael iti agnanayon. Daytoy ket langalang a lugar agingga iti daytoy nga aldaw.
29 Alimtundika mfalme wa Ai juu ya mti mpaka jioni. Na jua lilipokuwa linaenda kuzama, Yoshua aliwaagiza na wakautoa mwili wa mfalme wakaushusha chini ya mti na kuutupa mbele ya malango ya mji. Huko wakaweka kichuguu kikubwa cha mawe juu yake. Kichuguu hicho kimebaki huko hata leo.
Imbitinna iti kayo ti ari ti Ai agingga iti rabii. Idi lumneken ti init, inted ni Josue ti bilin ket imbabada ti bagi ti ari manipud iti kayo ket imbellengda iti sangoanan dagiti ruangan ti siudad. Ginaburanda sadiay iti dakkel a gabsuon iti batbato iti rabaw daytoy. Nagtalinaed sadiay dayta a gabsuon agingga iti daytoy nga aldaw.
30 Kisha Yoshua akajenga madhabahu kwa Yahweh, Mungu wa Israeli katika Mlima wa Ebali,
Ket nangbangon ni Josue iti altar nga agpaay kenni Yahweh a Dios ti Israel, idiay Bantay Ebal,
31 kama vile Musa mtumishi wa Yahweh alivyowaagiza watu wa Israeli, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa: “Madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo juu yake hakuna mtu yeyote aliyetumia zana ya chuma.” Na allimtolea Yahweh sadaka ya kuteketezwa juu yake na wakatoa sadaka ya amani.
a kas imbilin ni Moises nga adipen ni Yahweh kadagiti tattao ti Israel, a kas naisurat iti libro ti linteg ni Moises: “Maysa nga altar manipud kadagiti bato a saan pay a natapyasan, nga awan iti nangaramat iti landok nga alikamen.” Ken nangidaton isuna kadagiti daton a maipuor nga agpaay kenni Yahweh iti rabaw daytoy, ken nangisagutda kadagiti daton a pakikappia.
32 Na huko aliandika juu ya mawe nakala ya sheria za Musa mbele ya watu wa Israeli.
Ket iti imatang dagiti tattao ti Israel, insuratna kadagiti bato ti kopia ti linteg ni Moises.
33 Waisraeli wote, wazee wao, maafisa, na waamuzi wao walisimama katika sehemu mbili za sanduku mbele ya makuhani na Walawi ambao hulibeba sanduku la Agano la Yahweh - wageni pamoja na wazalia, nusu yao walisimama mbele ya Mlima Gerizimu na nusu walisimama mbele ya Mlima Ebali. Waliwabariki watu wa Israeli kama Musa mtumishi wa Yahweh alivyowaagiza hapo mwanzo.
Nagtakder ti amin nga Israel, dagiti panglakayenda, dagiti opisial ken dagiti ukomda iti agsinnumbangir a paset ti lakasa iti sangoanan dagiti padi ken Levita a mangaw-awit iti lakasa ti tulag ni Yahweh- kasta met dagiti ganggannaet a kas naiyanak nga umili- nagtakder ti kagudua a bilang dagiti tattao iti sangoanan ti Bantay Gerizim ken nagtakder ti dadduma iti sangoanan ti Bantay Ebal. Binendisionanda dagiti tattao ti Israel, a kas imbilin kadakuada ni Moises nga adipen ni Yahweh idi un-unana.
34 Baada ya hayo, Yoshua alisoma maneno yote ya sheria, baraka na laana, kama zilivyoandikwa katika kitabu cha sheria.
Kalpasanna, binasa ni Josue dagiti amin a sasao ti linteg, dagiti bendision ken dagiti lunod, a kas naisurat dagitoy iti libro ti linteg.
35 Halikusalia hata neno moja katika yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua ambalo halikusomwa mbele ya kusanyiko la Waisraeli lilojumuisha wanawake, watoto wadogo na wageni walioishi miongoni mwao.
Awan ti uray maysa a sao manipud iti imbilin ni Moises a saan a binasa ni Josue iti sangoanan ti gimong ti Israel, a pakairamanan dagiti babbai, dagiti ubbing ken dagiti ganggannaet a makipagnanaed kadakuada.

< Yoshua 8 >