< Yoshua 23 >
1 Na baada ya siku nyingi, kipindi ambacho Yahweh alikuwa ameipa Israeli pumziko kutoka maadui zao waliowazunguka,
Kum phabep ache nungin Pakaiyin Israel mipite hi agal mihouva kon in akicholdo sahtan ahi. Joshua jong ateh lheh tan,
2 Joshua alikuwa mzee sana. Yoshua aliwaita Waisraeli wote, na wazee wao, na viongozi, na waamuzi, na kwa maafisa, na kisha akawaambia, “Mimi nimezeeka sana.
Aman Israel te upa hole lamkaiho thutan hole vaihom ho akoukhommin, aman amaho komma hitihin asije, “Tuhin keima kateh lhehtai,
3 Mmeshaona kila kitu ambacho Yahweh Mungu wenu ameshafanya kwa mataifa haya yote kwa ajili yenu, kwa kuwa ni Yahweh Mungu wenu ambaye amewapigania ninyi.
Pakai Pathenin keima phat sunga hi itobang thil nabolpeh uham ti nanghon namusoh keijun ahi. Pakai naPathennin namelma teo gal nasat peh un ahi.
4 Tazama! Nimeshawakabidhi kwenu mataifa yaliyosalia ili kuyateka kwa ajili ya kupata urithi ya makabila yenu, sambasamba na mataifa yote ambayo tayari nimeshayaangamiza, tangu Yordani hadi Bahari kuu katika upande wa magharibi.
Keiman imelma teo gam ilahsah houleh ihinlah dinghou nachen nao gam dingin kahin hoppeh taove agamsunghi Jordan vadunga pat na Mediterranean twikhanglen lhumlam gei ahi.
5 Yahweh Mungu wenu atayaondoa. Atayafukuzia mbali kutoka kwenu. Ataiteka nchi yao, nanyi mtaimiliki nchi yao, kama vile Yahweh Mungu wenu alivyowaahidi ninyi.
Tun hichehi nangho gam hiding ahitai, ajeh chu na Pakai na Pathennu amatah in agamsung miho abonna nadeldoh pehdingu ahi. Nanghon agammuhi Pakai na Pathenun nateppeh banguva nalodiu ahitai.
6 Hivyo, iweni jasiri, ili kwamba mtunze na kuyafanya yale yote yaliyoandikwa katika kitabu cha sheria ya Musa, msikengeuke upande wa kulia wala upande wa kushoto,
Hijeh chun Mose’n danbua anajihlut banga ichepi theina diuvin chingthei jep uhitin, hitia chu kijethei hihen lang kiveihei hijongleh ichekhel louna diuvin chingthei uhite.
7 basi msichanganyikane na mataifa haya ambayo yamesalia miongoni mwenu, wala msiyataje majina ya miungu yao, wala msiape kwayo, wala msiiabudu, wala msiipigie magoti.
Hijeh chun hiche gamsunga um nalaiho lah a ilhah manglou nadiuvin dingdet uhite. Amaho semthu pathenho nahouthei loudiu le akinna jong nakimanchah loudiu, kihahselna a jong naman theiloudiu amin na amin ujong naphah poh theilou diu ahi.
8 Badala yake, mnatakiwa kumshika sana Yahweh Mungu wenu kama vile mlivyofanya siku hii ya leo.
Amavang na Pakai na Pathen chu tunigeija dettah a nahin kolchah bang uva hi nakolchah jing ding ahi.
9 Kwa kuwa Yahweh ameyafukuzia mbali mbele yenu mataifa makubwa yenye nguvu. Hakuna hata mmoja aliyeweza kusimama mbele yenu hata siku hii ya leo.
Ajeh chu Pakaiyin nam hattah tahho nahin deldoh pehun koimachan nang hohi alonaje nahi pouvin ahi.
10 Mtu yeyote mmoja wa kwenu atawafanya watu elfu wakimbie mbali, kwa kuwa Yahweh Mungu wenu, ndiye anayepigania ninyi, kama vile alivyowaahidi.
Nangho mikhat seh injong misangkhat nadeljam theidiu ahi, ajeh chu Pakai na Pathennun akitepna bangin nagal’u nasatpeh taovin ahi.
11 Zingatieni kwa uangalifu ili mmpende Yahweh Mungu wenu.
Hijeh chun na Pakai na Pathennu nangailut jing nadiuvin, chingtheijun,
12 Lakini kama mkiegeuka na kushikamana na watu walioalia wa mataifa haya waliobaki miongoni mwenu, au kuoana nao, au kama mkishirikiana pamoja nao, na wao pamoja nanyi,
“Amavang nangho ama akonna nakihei manguva nalahuva nang hotoh umkhom namdangho chondan nalahuva amahotoh nakichento uva ahileh,
13 jueni kwa hakika kwamba Yahweh Mungu wenu hatayafukuzia mbali mataifa haya yatoke kati yenu. Badala yake, watakuwa kitanzi na mtego kwenu, viboko migongoni mwenu na miiba machoni mwenu, mpaka pale mtakapoangamia katika nchi hii nzuri ambayo Yahweh Mungu wenu amewapeni ninyi.
Hiteng chuleh nakihet diu chu Pakai na Pathenun amaho chu nanodoh pehloudiu ahitai. Hititah sanga chu amaho joh hi nakipal nadiuva nalhemlhauva hungpang diu, namit uva lingle khaova hungpang diu chuleh akhonnale Pakai na Pathenun napehnao gamphalaija konna delmanga nahung umdiu ahi.
14 Na sasa ninaenda katika njia ya dunia yote, na mnajua kwa moyo na roho zenu zote kwamba hakuna hata neno moja ambalo halijatimia kati ya mambo yote mazuri ambayo Yahweh Mungu wenu aliyaahidi juu yenu. Vitu hivi vyote vimetokea kwa ajili yenu. Hakuna hata moja lililoshindikana.
“Vannoi leiset chena dolla keimahi kahung thivah ding ahitai. Pakai na Pathennun akitepna jouse nasuhbukip taovin khatcha jong athonna aumpoi tihi nalung thimmu giltah in naheuve.
15 Lakini kama kila neno ambalo Yahweh Mungu wenu alilowaahidi limekwisha kutimia, hivyo Yahweh atawaletea juu yenu mabaya yote mpaka pale atakapokuwa amewaangamiza katika nchi hii nzuri ambayo Yahweh Mungu wenu amewapeni ninyi.
Ahinlah Pakai na Pathennun akitepna banga thilpha jouse napeh bang’uva hi, athu na ngailou uleh nachung uva hahsatna ahin lhunkhum sahdiu ahi. Aman gampha napeh naova konna hi nasuhmang diu ahi.
16 Atafanya hivi kama mtalivunja agano la Yahweh Mungu wenu, ambalo aliwaagizeni kulitunza. Kama mtaenda na kuiabudu miungu mingine na kuiinamia, ndipo hasira ya Yahweh itawaka kinyume nanyi, na ninyi mtaangamia upesi katika nchi nzuri ambayo amekwisha kuwapeni ninyi.”
Nanghon Pakai na Pathennu kitepna hi nanit lou uva semthu pathen ho nahin hou uva akin nahin bolluva ahileh nangho douna-a alunghan na mei hung koujah jengding chuteng lechun aman napehnao gampha tah a konna hi namahthah diu ahi.