< Yoshua 19 >

1 Upigaji wa pili wa kura uliangukia kwa Simoni na waligawiwa kwa kila ukoo wao. Urithi wao ulikuwa katikati ya urithi ulikuwa ni mali ya kabila la Yuda.
Naituding ti maikaddua a disso nga agpaay kenni Simeon ken naibingay daytoy iti tunggal pulida. Ti tawidda ket adda iti tengnga ti tawid a kukua ti tribu ti Juda.
2 Urithi waliokuwa nao ni Beerisheba, Sheba, Molada,
Dagiti tawidda ket Beerseba, Seba, Molada,
3 Hazari Shuali, Bala, Ezemu,
Hasar Sual, Bala, Esem,
4 Elitoladi, Bethuli na Horma.
Eltolad, Betul ken Hormah.
5 Simoni alikuwa pia na Ziklagi, Bethi Markabothi, Hazari Susa,
Masakupan pay ti Simeon ti Siklag, Bet, Marcabot, Hasarsusa,
6 Bethi Lebaothi, na Sharuheni. Kulikuwa na miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake. Vile vile
Bet Lebaot, ken Saruhen. Sangapulo ket tallo dagitoy a siudad, saan a naibilang dagiti barioda.
7 Simoni alimiliki Aini, Rimon, Etheri, na Ashani. Hii ilikuwa ni miji minne pamoja na vijiji vyake.
Masakupan pay iti Simeon ti Ain, Rimmon, Eter ken Asan. Uppat a siudad dagitoy, saan a naibilang dagiti barioda.
8 Miji hii pamoja na vijiji vilivyoizunguka hata kufika Baalathi Beeri (ambao ndio Rama katika Negevu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simoni, waliopewa kwa koo zao.
Karaman kadagitoy dagiti bario iti aglawlaw dagiti siudad agingga iti Baalat Beer (nga isu met laeng ti Rama idiay Negev). Daytoy ti tawid ti tribu ti Simeon, a naited kadagiti pulida.
9 Urithi wa kabila la Simoni ulikuwa sehemu ya himaya ya kabila la Yuda. Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda ilikuwa ni kubwa kwao, na hivyo kabila la Simoni lilipokea urithi wao kutoka katika sehemu yao ya katikati.
Nagtaud iti paset a masakupan iti tribu ti Juda ti tawid ti tribu ti Simeon. Gapu ta ti paset iti daga a naibingay iti tribu ti Juda ket nalawa unay para kadakuada, naawat ti tribu iti Simeon ti tawidda manipud iti tengnga ti sakupda.
10 Upigaji wa kura ya tatu uliangukia kwa kabila la Zabuloni, na walipewa kwa koo zao. Mpaka wa urithi wao ulianzia huko Saridi.
Naituding ti maikatlo a disso nga agpaay iti tribu ti Zabulon, ken naited daytoy kadagiti pulida. Nangrugi ti beddeng ti tawidda idiay Sarid.
11 Mpaka wao ulipanda upande wa magharibi kuelekea Marala na ukaigusa Dabeshethi, na kisha ukasonga kuelekea kijito kilichokuwa mkabala na Yokineamu.
Simmang-at a nagpalaud ti beddengda a nagturong iti Marala ken dimmanon iti Dabeset; kalpasanna dimmanon daytoy iti waig a kasumbangir ti Jokneam.
12 Kutoka Saridi mpaka ulizunguka upande wa mashariki kuelekea mashariki na ulienda hadi mpaka wa Kislothi Tabori. Kutoka hapo uliendelea hadi Daberathi na kisha ulipanda hata Yafia.
Manipud iti Sarid, nagkurba a nagpadaya ti beddeng ken nagturong iti beddeng ti Kislot Tabor. Manipud sadiay, nagturong daytoy iti Daberat ken simmang-at agingga iti Jafia.
13 Kutoka hapo ulipita katika upande wa mashariki mwa Gathi Heferi, na kisha ukafika Ethikazini, baadaye ulienda hadi Rimoni na kisha ukageuka kuelekea Nea.
Manipud sadiay, naglayon daytoy a nagpadaya iti Gat Heper, ken iti Ittakazin; ket nagturong daytoy iti Rimmon ken nagkurba nga agturong iti Nea.
14 Mpaka ulizunguka kueleka kaskazini ukafika Hanathoni na ulikomea katika bonde la Ifta Eli.
Nagkurba ti beddeng iti amianan a nagturong iti Hanaton ken nagpatingga iti tanap ti Jefte-el.
15 Mkoa huu ulijumuisha miji ya Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala, na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Karaman iti daytoy a rehion dagiti siudad iti Katat, Naalal, Simron, Ideala ken Betlehem. Sangapulo ket dua dagiti siudad, saan a naibilang dagiti barioda.
16 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni, waliopewa kwa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Daytoy ti tawid iti tribu ti Zabulon, a naited kadagiti pulida-dagiti siudad, agraman dagiti barioda.
17 Upigaji kura wa nne uliangukia kwa Isakari, na waligawiwa kufuatana na koo zao.
Naituding ti maikapat a disso nga agpaay iti Issacar ken naited daytoy kadagiti pulida.
18 Eneo lao lilijumuisha Jezreelli, Kesuloothi, Shunemu,
Karaman iti sakupda ti Jezreel, Jesulot, Sunem,
19 Hafaraimu, Shioni, na Anaharathi.
Hafaraim, Sion ken Anaarat.
20 Pia ilijumuisha miji ya Rabithi, Kishioni, Ebezi,
Karaman pay iti daytoy ti Rabbit, Kislon, Ebes,
21 Remethi, Enganimu, Enihada, na Bethipazezi.
Remet, Enganin, Emhadda ken Betpasses.
22 Mpaka wao ulifika Tabor, Shahazuma, na Bethi Shemeshi, na ukakomea katika Yordani. Ilikuwa ni miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
Dimmanon pay ti beddengda iti Tabor, Sahasuma ken Betsemes, ken nagpatingga iti Jordan. Sangapulo ket innem dagiti siudad, saan a naibilang dagiti barioda.
23 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari, na walipewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Daytoy ti tawid iti tribu ti Issacar, ken naited daytoy kadagiti pulida-dagiti siudad, agraman dagiti barioda.
24 Upigaji wa kura ya tano uliangukia kwa kabila la Asheri, na walipewa kwa koo zao.
Naituding ti maikalima a disso nga agpaay iti tribu ti Aser, ket naited daytoy kadagiti pulida.
25 Eneo lao lilijumuisha miji ya Helikathi, Hali, Beteni, Akashafu,
Karaman iti masakupanda ti Helcat, Hali, Beten, Ascaf,
26 Alameleki, Amadi, na Mshali. Mpaka wa magharibi ulitanuka hadi Karmeli na Shihori Libnathi.
Alamelec, Amad ken Misal. Iti laud, dimmanon ti beddengna agingga iti Carmel ken Sihorlibnat.
27 Kisha ulizunguka upande wa mashariki kueleka Bethi Dagoni na ukaenda hadi Zabuloni, na kisha ukafika katika bonde la ifutaheli, upande wa kaskazini mwa Bethemeki na Neieli. Baadaye uliendelea mbele hata Kabuli kueleka upande wa Kaskazini.
Kalpasanna nagkurba daytoy a nagpadaya iti Betdagon ken dimmanon agingga iti Zabulon, ket kalpasanna nagturong iti tanap ti Jeftel, nagpa-amianan iti Bet-emec ken Naiel. Kalpasanna nagtuloy daytoy iti Cabul a nagpa amianan.
28 Na kisha ulienda hadi Ebroni, Rehobu, Hammoni, na Kana, hata kufika mji mkubwa wa Sidoni.
Nagturong ngarud daytoy iti Ebron, Rehob, Hammon, ken Cana agingga iti Dakkel a Sidon.
29 Mpaka ulirudi nyuma kuelekea Rama, na kisha ukafika kwenye mji wa Tiro uliokuwa na ngome. Baada ya hapo mpaka ulizunguka kuelekea Hosa na ulikomea katika bahari, katika mkoa wa Akizibu,
Nagkurba ti beddeng nga agturong iti Rama, ket kalpasanna nagturong iti nasarikedkedan a siudad iti Tiro. Ken nagkurba ti beddeng nga agturong iti Hosa ken nagpatingga iti taaw, idiay rehion iti Aczib,
30 Umma, Afeki, na Rehobu. Kulikuwa na miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
Umma, Afec, ken Rehob. Duapulo ket dua dagiti siudad, saan a naibilang dagiti barioda.
31 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri, na waliopewa kwa koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Daytoy ti tawid iti tribu ti Aser, ken naited daytoy kadagiti pulida-dagiti siudad, agraman dagiti barioda.
32 Upigaji wa kura wa mara ya sita uliangukia kwa kabila la Nafutali, na walipewa kufuatana na koo zao.
Naituding iti maika-innem a disso iti tribu ti Neftali, ket naited daytoy kadagiti pulida.
33 Mpaka wao ulianzia Helefu, kutoka katika mwaloni huko Zaananimu, ulipanda hadi Adaminekebu na Yabneeli, umbali kama Lakumu; na ulikomea katka Yordani.
Nangrugi ti beddengda iti Helef, manipud iti kayo a lugo idiay Zaananim, nga agturong iti Adami-neceb ken Jebneel, agingga iti Lakkum; nagpatingga daytoy iti Jordan.
34 Mpaka ule ulizunguka upande wa magharibi kuelekea Aznothi Tabori na ulipanda hadi Hukoki; uligusa Zabuloni katika upande wa kusini, na ulifika hata Asheri katika upande wa magharibi, na Yuda katika upande wa mashariki huko katika mto Yordani.
Nagkurba a nagpalaud ti beddeng agingga iti Asnot Tabor ken nagpa Hukkok; dimmanon daytoy idiay Zabulon iti abagatan, ken dimmanon iti Aser idiay laud ken iti Juda iti daya idiay Karayan Jordan.
35 Miji yenye ngome ilikuwa ni Zidimu, Zeri, Hammathi, Rakathi, Kinnerethi,
Dagiti nasarikedkedan a siudad ket Siddim, Ser, Hamat, Raccat, Cineret,
36 Adama, Rama, Hazori,
Adama, Rama, Asor,
37 Kedeshi, Edrei, na Eni Hazori.
Kedes, Edrei ken Enhasor.
38 Pia kulikuwa na miji ya Yironi, Migdaleli, Horemu, Bethi Anathi, na Bethi Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa, pamoja na vijiji vyake.
Adda pay ti Yiron, Migdalel, Horem, Betanat ken Betsemes. Sangapulo ket siam dagiti siudad, saan a naibilang dagiti barioda.
39 Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali, na walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao.
Daytoy ti tawid ti tribu ti Neftali, ken naited daytoy kadagiti pulida-dagiti siudad, agraman dagiti barioda.
40 Upigaji wa kura ya saba uliangukia kwa kabila la Dani, na walipewa kufuatana na koo zao.
Ti maikapito a panangipallangatok iti paggiginnasatan ket nagpaay iti tribu ti Dan, ket naited daytoy kadagiti pulida.
41 Eneo lao la urithi lilijumuisha miji ya Zora, Eshitaoli, Iri Shemeshi,
Karaman iti sakup ti tawidna ti Zora, Estaol, Ir-Semes,
42 Shaalabini, Aijaloni, na Ithila.
Saalabin, Aijalon ken Itla.
43 Vile vile lilijumuisha miji ya Eloni, Timna, Ekroni,
Karamanna pay daytoy ti Elon, Timnat, Ekron,
44 Eliteke, Gibethoni, Baalathi,
Elteke, Gibbeton, Baalat,
45 Yehudi, Bene - Beraki, Gathi Rimoni,
Jehud Beneberak, Gatrimmon,
46 Me -Yarkoni, na Rakoni sambamba na eneo la karibu na Yopa.
Mejarcon ken Racon agraman ti masakupan iti ballasiw ti Joppe.
47 Ilitokea wakati mpaka wa kabila la Dani ulipowapotea, kabila la Dani waliishambulia Leshemu, wakapigana nao, na wakauteka. Waliua kila mtu kwa upanga, wakauchukua ukawa mali yao, na wakakaa ndani yake. Wakauita mji ule Dani jina la babu yao badala ya Leshemu.
Idi napukaw ti tribu ti Dan ti masakupanda, rinaut ti Dan ti Lesem, nakirangetda kadagitoy, ket sinakupda daytoy. Pinapatayda ti tunggal maysa babaen iti kampilan, tinagikuada daytoy, ken nagnaedda ditoy. Binaliwanda ti nagan a Lesem, inawaganda daytoy iti Dan a maiyannurot iti kapuonanda.
48 Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani, waliopewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
Daytoy ti tawid iti tribu ti Dan, ken naited daytoy kadagiti pulida-dagiti siudad, agraman dagiti barioda.
49 Walipomaliza kugawana urithi wa nchi, watu wa Israeli walimpa urithi Yoshua mwana wa Nuni kutoka miongoni mwao.
Idi naileppasdan ti panangbingay ti daga a kas tawid, nangted a mismo dagiti tattao ti Israel kenni Josue nga anak ni Nun iti tawid.
50 Kwa amri ya Yahweh walimpatia mji wa Timnathi Sera ambao aliuomba, ulikuwa katika nchi ya milima ya Efraimu. Aliujenga mji na akaishi huko.
Babaen iti bilin ni Yahweh, intedda ti siudad a kiniddaw ni Josue, ti Timnat Sera iti katurturodan a pagilian ti Efraim. Binangonna manen ti siudad ket nagnaed sadiay.
51 Na huu ndio urithi ambao Eliazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli, waligawa kwa kupiga kura huko Shilo, mbele za Yahweh katika mlango wa hema la kukutania. Na hivyo wakamaliza kuigawa nchi.
Dagitoy dagiti tawid a ni Eleazar a padi, ni Josue nga anak a lalaki ni Nun, ken dagiti mangidadaulo kadagiti tribu dagiti pamilia iti kapuonanda kadagiti tattao ti Israel, ti nangbingay-bingay babaen iti ginnasat idiay Silo, iti sangoanan ni Yahweh, iti pagserkan ti tolda a paguummongan. Isu a nalpasda ti pannakabingaybingay ti daga.

< Yoshua 19 >