< Yoshua 11 >

1 Basi ikawa aliposikia haya, Yabini, mfalme wa Hazori, alituma ujumbe kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme Shimroni, na kwa mfalme wa Akshafu.
Ha: iso moilai bai bagade hina bagade amo Ya: ibini da Isala: ili dunu ilia eno fi ilima hasalasu hou nabi dagoi. Amalalu e da eno hina bagade dunuma Isala: ili dunuma gegemusa: sia: adole iasi. E da amo dunuma misa: ne sia: i amo, Ma: idone hina bagade (ea dio da Youba: be), Similone hina bagade, Agasa: fe hina bagade, hina bagade dunu gano agolo sogega esalu amola Yodane Fagoga (Ga: lili Hano Wayabo ga (south) gala) esalu, hina bagade dunu agolo fonobahadiga esalu, hina bagade dunu wayabo bagade bega: Do moilai gadenene esalu, Ga: ina: ne dunu Yodane bega: esalu, A:moulaide dunu, Hidaide dunu, Belisaide dunu, agolo sogega esalu Yebiusaide dunu amola Haifaide dunu Hemone Goumi bai, Misiba soge ganodini esalu. E da amo dunu huluanema misa: ne sia: i.
2 Alituma pia ujumbe kwa wafalme walikuwa katika mlima wa kaskazini mwa nchi, katika bonde la Mto Yordani kusini mwa Kinerethi, katika nchi za tambarare, na katika nchi za milima ya Dori kuelekea magharibi.
3 Pia, alituma ujumbe kwa Wakanaani walioko mashariki na magharibi, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wayebusi katika nchi za milima, na Wahivi karibu na Mlima Hermoni katika nchi ya Mizipa.
4 Maadui zao wote walitoka pamoja nao, wanajeshi wengi sana, hesabu yao ilikuwa kama mchanga wa pwani. Walikuwa na farasi wengi sana na magari.
Ilia da ilia dadi gagui dunu huluane oule misi. Ilia idi da sa: i su hano wayabo bagade bega: diala amo ea idi defele ba: i. Ilia da hosi bagohame amola sa: liode bagohame gagui galu.
5 Wafalme wote hawa walikutana katika muda waliokuwa wameupanga, na walipiga kambi katika maji ya Meromu ili kupigana vita na Israeli.
Amo hina bagade huluane da ilia dadi gagui dunu gilisili, Isala: ili dunu ilima gegemusa: , Milome Hano amoga abula diasu gilisisu gagui.
6 Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiogope mbele zao, kwa kuwa muda kama huu kesho ninawatia hao kwa Waisraeli wakiwa wafu. Utaivunja vunja miguu ya farasi zao, na utayachoma moto magari yao.”
Hina Gode da Yosiuama amane sia: i, “Iliba: le mae beda: ma! Aya eso amo dunu huluane Na da Isala: ili fidima: ne fane legemu. Dilia da ilia hosi emo dina: fe damuma amola ilia sa: liode laluga gobesima.”
7 Yoshua na watu wote wa vita walitoka na mara wakafika katika maji ya Meromu, na wakawashambulia maadui.
Amaiba: le, Yosiua amola ea dunu huluane da amo dunu fofogadigima: ne, wamodafa Milome Hanoa amogai ilima doagala: i.
8 Yahweh akawatia maadui katika mkono wa Israeli, na waliwapiga kwa upanga na wakawafuata mpaka Sidoni, Misrefothi - Maimu, na katika bonde la Mizipa upande wa mashariki. Waliwaua wote hakuna hata mmoja aliyeachwa hai.
Hina Gode da fidibiba: le, Isala: ili dunu da hasali. Ilia da amo dunu sefasili, ga (north) asili, Misilifode Ma: imi amola Saidone amoga sefasi. Amola eso mabadi amoga Misiba Fagoga sefasi. Ilia da gegenanu, amalu Isala: ilima ha lai dunu afae esalebe hame ba: i.
9 Yoshua aliwatendea kama vile Yahweh alivyomwambia. Alivunja miguu ya farasi na magari aliyachoma moto.
Yosiua da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi. E da ilia hosi emo dina: fe damui amola ilia sa: liode laluga gobesi.
10 Kwa wakati huo, Yoshua alirudi na akauteka mji wa Hazori. Alimwua mfalme wake kwa upanga (Hazori ulikuwa ni kichwa cha falme hizi zote).
Amalalu, Yosiua da sinidigili, Ha: iso moilai bai bagade lale, amo ea hina bagade dunu medole legei. (Amo esoga Ha: iso fi ilia gasa da eno fi amo sogega esalu ilia gasa baligisu).
11 Waliwapiga kwa upanga kila kiumbe chenye uhai kilichokuwa huko, na alivitenga ili viteketezwe, hivyo hapakuwa na kiumbe hai kilichoachwa hai. Na kisha aliuchoma moto Hazori.
Ilia da Ha: iso moilai bai bagade laluga gobesili, ea dunu huluane medole legei dagoi.
12 Yoshua aliiteka miji yote ya wafalme hawa. Aliwateka pia wafalme wake wote na akawapiga wote kwa upanga. Aliwateketeza kabisa kwa upanga, kama Musa mtumishi wa Yahweh alivyoagiza.
Mousese, Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu amo ea hamoma: ne sia: i defele, Yosiua da amo moilai amola ilia hina bagade lale, dunu huluanedafa medole lelegei.
13 Waisraeli hawakuchoma moto mji wowote miongoni mwa miji iliyojengwa juu ya vilima vya vifuasi vya udongo, isipokuwa Hazori, ndio mji pekee ambao Yoshua aliuchoma kwa moto.
Ha: iso moilai bai bagade da osobo bi amoga gagui, amo Yosiua da laluga gobesi. Be moilai eno amo osobo bi da: iya gagui, amo e da laluga hame gobesi.
14 Jeshi la Israeli lilichukua nyara kutoka katika miji pamoja na mifugo kwa ajili yao wenyewe. Waliua kila mtu kwa upanga hadi pale walipokufa wote. Hakuna kiumbe hai kilichoachwa hai.
Isala: ili dunu da liligi noga: i amola ohe fi amo moilaiga fefedele lai. Be dunu fi huluane ilia da medole legei. Afae esalebe da hame ba: i.
15 Kama vile Yahweh alivyomwagiza mtumishi wake Musa, na kwa namna hiyo hiyo, Musa alivyomwagiza Yoshua. Na katika mambo yote ambayo Yahweh alimwamuru Musa kuyafanya, Yoshua hakuacha kufanya hata jambo moja.
Hina Gode da musa: Ea hamoma: ne sia: i amo Ea hawa: hamosu dunu Mousesema olelei. Amalalu, Mousese da Yosiuama olelei amola Yosiua da nabawane hamosu. Yosiua da Hina Gode da Mousesema hamoma: ne sia: i, amo huluane hamoi dagoi.
16 Yoshua alitwaa nchi hiyo yote, nchi ya milima, Negevu yote, nchi yote ya Gosheni, nchi ya vilima vidogo, bonde la Mto Yordani, nchi ya milima ya Israeli, na nchi tambarare.
Yosiua da soge huluane lai dagoi. Amo da goumi soge, agolo fonobahadi soge ga (north) amola ga (south). Gousiene soge amola amoga ga (south) hafoga: i soge. Amola Yodane Hano Fago soge huluane lai dagoi.
17 Kutoka Mlima Halaki karibu na Edomu, kuelekea kasikazini hadi Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni chini ya Mlima Hermoni, aliwateka wafalme wake wote na kuwaua.
18 Yoshua alipigana vita na wafalme wote kwa muda mrefu.
Soge ea lai da Ha: ila: ge Goumi (ga (south) Idome gadenei) asili Ba: ia: laga: ide amoga doaga: i, (Lebanone Fago amo Hemone Goumia ga (south) dialu). Yosiua da ode bagohame amoga amo soge hina bagade dunuma gegei galu. Be huluane e da gagulaligili, medole legei.
19 Hakuna hata mji mmoja uliofanya amani na jeshi la Israeli isipokuwa Wahivi walioishi Gibeoni. Israeli ilitwaa miji yote iliyosalia katika vita.
Moilai bai bagade afae fawane da Isala: ili fi ilima olofomusa: gousa: su hamoi. Amo da Gibione (amo ganodini Haifaide dunu mogili esalu). Be Yosiua da moilai eno huluane hasali.
20 Kwa kuwa alikuwa ni Yahweh ambaye alikuwa ameifanya kuwa migumu mioyo yao ili wapande na kufanya vita dhidi ya Israeli, ili kwamba aweze kuwaangamiza kabisa, na kutowaonesha huruma, kama alivyomwaagiza Musa.
Hina Gode Hisu da amo dunu Isala: ili dunuma gegemusa: , ilia dogo ga: nasi dagoi. Bai E da Isala: ili dunu da amo dunu huluane mae asigili medole legema: ne, Hina Gode da ili ilegei dagoi. Hina Gode da amo hou huluane hamoma: ne, Mousesema sia: i dagoi.
21 Kisha Yoshua akaja kwa wakati ule na aliiangamiza Anakimu. Aliyafanya haya katika nchi ya milima, huko Hebroni, Debiri, Anabu, na katika nchi yote ya Yuda, na katika nchi yote ya milima ya Israeli. Yoshua aliwaangamiza kabisa pamoja na miji yao.
Amo esoha Yosiua da dunu fi (dunu bagade amola sedadedafa) ilia dio A: nagimi amo gugunufinisi. Ilia da goumi soge amo Hibalone, Dibe, A:ina: be amola goumi soge Yuda amola Isala: ili fi ilia soge amoga esalu. Yosiua da ilia amola ilia moilai bai bagade gugunufinisi dagoi.
22 Hakuna hata mmoja wa watu wa Anakimu aliyeachwa katika nchi ya Israeli, isipokuwa huko Gaza, Gathi na Ashidodi.
Yosiua da A: nagimi dunu huluane fane legeiba: le, A:nagimi dunu afae da Isala: ili soge ganodini esalebe hame ba: i. Be afae afae da Ga: isa, Ga: de amola A: siadode amo ganodini esalebe ba: i.
23 Hivyo Yoshua aliiteka nchi yote, kama vile Yahweh alivyomwambia Musa. Yoshua aliwapa Israeli kama urithi, kila kabila lilipewa sehemu yake. Kisha nchi ikapumzika bila vita.
Hina Gode da Mousesema hamoma: ne sia: i defele, Yosiua da soge huluane lai. E da amo soge Isala: ili dunu gaguma: ne, amo fifili, ilia fi afae afae ilima i. Amalalu, Isala: ili dunu da gegesu fisili, helefi.

< Yoshua 11 >