< Ayubu 40 >

1 Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
Poleg tega je Gospod odgovoril Jobu in rekel:
2 “Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
»Mar ga bo tisti, ki se prička z Vsemogočnim, poučeval? Kdor graja Boga, naj mu to odgovori.«
3 Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
Potem je Job odgovoril Gospodu in rekel:
4 Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
»Glej, nepomemben sem, kaj naj ti odgovorim? Svojo roko bom položil na svoja usta.
5 Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
Enkrat sem govoril, toda ne bom odgovoril. Da, dvakrat, vendar ne bom nadaljeval.«
6 Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
Potem je Gospod iz vrtinčastega vetra odgovoril Jobu in rekel:
7 “Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
»Opaši sedaj svoja ledja kakor mož. Zahteval bom od tebe in ti mi razglasi.
8 Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
Hočeš tudi mojo sodbo razveljaviti? Me hočeš obsoditi, da bi bil ti lahko pravičen?
9 Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
Ali imaš laket kakor Bog? Ali lahko zagrmiš z glasom kakor on?
10 Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
Odeni se sedaj z veličanstvom in odličnostjo in odeni se s slavo in lepoto.
11 Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
Izlij bes svoje jeze. Glej vsakogar, ki je ponosen in ga ponižaj.
12 Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
Poglej na vsakogar, ki je ponosen in ga ponižaj in zlobne pomendraj na njihovem kraju.
13 Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
Skupaj jih skrij v prah in njihove obraze obveži na skrivnem.
14 Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
Potem ti bom tudi jaz priznal, da te tvoja lastna desnica lahko reši.
15 Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
Glej torej behemota, ki sem ga naredil s teboj; muli travo kakor vol.
16 Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
Glej torej, njegova moč je v njegovih ledjih in njegova sila je v kiti njegovega trebuha.
17 Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
Svoj rep premika kakor cedra. Kite njegovih kamnov so ovite skupaj.
18 Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
Njegove kosti so kakor trdi koščki iz brona, njegove kosti so podobne železnim zapahom.
19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
Ta je vodja Božjih poti. Kdor ga je naredil lahko stori, da se mu približa njegov meč.
20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
Zagotovo mu gore prinašajo hrano, kjer se igrajo vse poljske živali.
21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
Leži pod senčnimi drevesi, v skrivališču trstja in močvirij.
22 Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
Senčna drevesa ga pokrivajo s svojo senco, naokoli ga obdajajo potočne vrbe.
23 Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
Glej, pije reko in ne hiti; zaupa, da lahko Jordan posrka v svoja usta.
24 Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?
Ujame ga s svojimi očmi. Njegov nos prebada skozi zanke.

< Ayubu 40 >