< Ayubu 34 >
1 Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
Elihu nastavi svoju besjedu i reče:
2 “Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
“I vi, mudraci, čujte što ću reći, vi, ljudi umni, poslušajte mene,
3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
jer uši nam prosuđuju besjede isto kao što nepce hranu kuša.
4 Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
Zajedno ispitajmo što je pravo i razmislimo skupa što je dobro.
5 Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
Job je utvrdio: 'Ja sam pravedan, ali Bog meni pravdu uskraćuje.
6 Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
U pravu sam, a lašcem prave mene, nasmrt prostrijeljen, a bez krivnje svoje!'
7 Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
Zar gdje čovjeka ima poput Joba koji porugu pije kao vodu,
8 ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
sa zlikovcima koji skupa hodi i s opakima isti dijeli put?
9 Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
On tvrdi: 'Kakva korist je čovjeku od tog što Bogu ugoditi želi?'
10 Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
Stoga me čujte, vi ljudi pametni! Od Boga zlo je veoma daleko i nepravednost od Svemogućega,
11 na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
te on čovjeku plaća po djelima, daje svakom po njegovu vladanju.
12 Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
Odista, Bog zla nikada ne čini, niti Svesilni kad izvrće pravo.
13 Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
TÓa tko je njemu povjerio zemlju i vasioni svijet tko je stvorio?
14 Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
Kad bi on dah svoj u se povukao, kad bi čitav svoj duh k sebi vratio,
15 basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
sva bića bi odjednom izdahnula i u prah bi se pretvorio čovjek.
16 Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
Ako razuma imaš, slušaj ovo, prikloni uho glasu riječi mojih.
17 Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
Može li vladat' koji mrzi pravo? Najpravednijeg hoćeš li osudit'? -
18 Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
Onog koji kaže kralju: 'Nitkove!' a odličniku govori: 'Zlikovče!'
19 Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
Koji nije spram knezovima pristran i jednak mu je ubog i mogućnik, jer oni su djelo ruku njegovih?
20 Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
Zaglave za tren, usred gluhe noći: komešaju se narodi, prolaze; ni od čije ruke moćni padaju.
21 Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
Jer, on nadzire pute čovjekove, pazi nad svakim njegovim korakom.
22 Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
Nema toga mraka niti crne tmine gdje bi se mogli zlikovci sakriti.
23 Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
Bog nikome unaprijed ne kaže kada će na sud pred njega stupiti.
24 Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
Bez saslušanja on satire jake i stavlja druge na njihovo mjesto.
25 Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
TÓa odveć dobro poznaje im djela! Sred noći on ih obara i gazi.
26 Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
Ćuškom ih bije zbog zloće njihove na mjestu gdje ih svi vidjeti mogu.
27 kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
Jer prestadoše za njime hoditi, zanemariše putove njegove
28 Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
goneć uboge da vape do njega i potlačene da k njemu leleču.
29 Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
Al' miruje li, tko da njega gane? Zastre li lice, tko ga vidjet' može?
30 ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
Nad pucima bdi k'o i nad čovjekom da ne zavlada tko narod zavodi.
31 Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
Kada bezbožnik Bogu svome kaže: 'Zavedoše me, više griješit neću.
32 nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
Ne uviđam li, ti me sad pouči, i ako sam kad nepravdu činio, ubuduće ja činiti je neću!'
33 Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
Misliš da Bog mora njega kazniti, dok ti zamisli njegove prezireš? Al' kada ti odlučuješ, a ne ja, mudrost nam svoju istresi dÓe sada!
34 Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
Svi ljudi umni sa mnom će se složit' i svatko razuman koji čuje mene:
35 Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
Nepromišljeno Job je govorio, u riječima mu neima mudrosti.
36 Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
Stoga, nek' se Job dokraja iskuša, jer odgovara poput zlikovaca;
37 Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”
a svom grijehu još pobunu domeće, među nama on plješće dlanovima i hule svoje na Boga gomila.”