< Ayubu 33 >

1 Kwahiyo sasa, nakuomba wewe, Ayubu, usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote.
Sekarang, hai Ayub, dengarkanlah dengan teliti kata-kata yang hendak kusampaikan ini.
2 Tazama sasa, nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu.
Aku sudah siap sedia hendak berkata-kata.
3 Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu; yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
Dengan tulus hati aku berbicara; yang kukatakan adalah yang sebenarnya.
4 Roho ya Mungu imeniumba; pumzi ya Mwenye nguvu imenipatia uhai.
Roh Allah telah menciptakan aku dan memberikan hidup kepadaku.
5 Kama unaweza, nijibu; weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame.
Jadi, jika dapat, jawablah aku. Siapkanlah pembelaanmu.
6 Tazama, niko kama wewe ulivyo mbele za Mungu; nimeumbwa pia kutoka katika udongo.
Bagi Allah, kau dan aku tidak berbeda dari tanah liat kita dibentuk-Nya.
7 Ona, tishio langu halitakufanya wewe uogope; wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.
Jadi, tak usah kau takut kepadaku; aku tidak bermaksud mengalahkanmu.
8 Umesema kwa hakika katika masikio yangu; nimeisikia sauti ya maneno yakeo yakisema,
Nah, telah kudengar apa yang kaukatakan, dan aku mengerti apa yang kaumaksudkan.
9 'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
Kau berkata, 'Aku bersih, tak melakukan pelanggaran. Aku tak bercela dan tak berbuat kesalahan.
10 Tazama, Mungu huona nafasi za kunishambulia mimi; huniangalia mimi kama adui yake.
Tetapi Allah mencari-cari alasan melawan aku, dan diperlakukan-Nya aku sebagai seteru.
11 Huweka miguu yangu akiba; naye huangalia njia zangu zote.'
Ia mengenakan rantai pada kakiku; dan mengawasi segala gerak-gerikku.'
12 Tazama, katika hili hauko sawa, nitakujibu, kwa kuwa Mungu ni mkuu kuliko mtu.
Hai Ayub, pendapatmu salah belaka! Sebab Allah lebih besar daripada manusia.
13 Kwanini unashindana naye? Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
Mengapa engkau menuduh Allah bahwa Ia tak mengindahkan keluhan manusia?
14 Kwa kuwa Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, ingawa mwanadamu hawezi kutambua.
Allah berbicara dengan berbagai cara, namun tak seorang pun memperhatikan perkataan-Nya.
15 Katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani -
Sedang orang tidur nyenyak di waktu malam, dalam mimpi dan penglihatan, Allah berbicara.
16 basi Mungu hufungua masikio ya watu, na kuwatisha kwa vitisho,
Allah menyuruh mereka mendengarkan; dikejutkan-Nya mereka dengan teguran-teguran.
17 kwa kusudi la kumvuta mtu atoke katika makusudio yake maovu, na kuyaweka majivuno mbali naye.
Maksud-Nya supaya mereka berhenti berdosa dan meninggalkan kesombongan mereka.
18 Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.
Tidak dibiarkan-Nya mereka mengalami kehancuran; dilindungi-Nya mereka dari kematian.
19 Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake,
Allah menegur orang dengan mendatangkan penyakit sehingga tubuhnya penuh rasa sakit.
20 ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.
Si sakit kehilangan nafsu makan, makanan yang paling lezat pun memuakkan.
21 Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake, mara moja isionekane, sasa basi ng'ang'ania.
Tubuhnya menjadi kurus merana, tulang-tulangnya kelihatan semua.
22 Hakika, roho yake inasogea shimoni, na uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.
Ia sudah hampir pulang ke alam baka dunia orang mati telah dekat kepadanya.
23 Lakini kama kuna malaika anayeweza kuwa mpatanishi kwa ajili yake, mpatanishi mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, kumwonesha kile kilicho cha haki ili atende haki,
Mungkin satu di antara seribu malaikat Allah yang mengingatkan manusia akan tugasnya, akan datang menolong dia.
24 na kama malaika ni mpole kwake na kumwambia Mungu, 'Mwokoe mtu huyu ili asishuke chini shimoni; nimepata fidia kwa ajili yake,'
Dengan iba malaikat itu akan berkata, 'Lepaskanlah dia, tak boleh ia turun ke dunia orang mati. Inilah uang tebusan, agar ia bebas lagi.'
25 kisha mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto, atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
Tubuhnya akan menjadi kuat perkasa segar seperti orang muda.
26 Atamwomba Mungu, na Mungu atakuwa mwema kwake, ili kwamba auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha. Mungu atampa mtu ushindi wake.
Bila ia berdoa, Allah akan mengasihaninya, maka ia akan memuji Allah dengan gembira dan Allah akan memulihkan keadaannya.
27 Ndipo mtu huyo ataimba mbele ya watu wengine na kusema, 'Nilitenda dhambi na kuasi kile kilichokuwa cha haki, lakini dhambi yangu haikuadhibiwa.
Maka di depan umum ia akan berkata, 'Yang jahat kuanggap baik, besarlah dosaku, namun Allah tidak menghukum aku.'
28 Mungu ameiokoa roho yangu isiende chini shimoni; maisha yangu yataendelea kuuona mwanga.'
Allah mencegah aku pergi ke dunia orang mati, sehingga aku masih hidup kini.
29 Tazama, Mungu hufanya mambo haya yote pamoja na mwanadamu, mara mbili, naam, hata mara tatu,
Dengan berulang kali, Allah telah melakukan semua ini,
30 kuirudisha roho yake kutoka shimoni, ili kwamba aweze kumlikwa na mwanga wa maisha.
supaya Ia dapat menyelamatkan manusia dan memberi kebahagiaan dalam hidupnya.
31 Ayubu, zingatia na unisikilize mimi; nyamaza nami nitasema.
Maka dengarlah Ayub, pasanglah telinga diamlah, kini akulah yang berbicara.
32 Ikiwa una kitu cha kusema, na unijibu; sema, maana nataka kuhakikisha kwamba wewe uko katika haki.
Tetapi jika ada yang hendak kaukatakan, silakan bicara; dan jika engkau benar, aku akan rela mengakuinya.
33 Kama sivyo, basi nisikilize, ubaki kimya, nami nitakufundisha wewe hekima.”
Tetapi jika tidak, diamlah dan dengarkanlah aku, aku hendak mengajarkan hikmat kepadamu.

< Ayubu 33 >