< Ayubu 31 >
1 Nimefanya patano na macho yangu; ni kwa namna gani tena napaswa kumtazama mwanamwali kwa tamaa?
Jeg gjorde en Pagt med mine Øjne, og hvad skulde jeg agte paa en Jomfru?
2 Ni sehemu gani kutoka kwa Mungu juu, na urithi gani kutoka kwake mwenye nguvu aliye juu?
Og hvad for en Lod vilde Gud have givet ovenfra og hvad for en Arv den Almægtige fra det høje?
3 Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya.
Mon ikke Ulykke er beredt for den uretfærdige og Undergang for dem, som gøre Uret?
4 Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?
Mon han ikke ser mine Veje og tæller alle mine Skridt?
5 Kama nimetembea katika udanganyifu, kama mguu wangu umeharakisha katika uongo,
Dersom jeg har vandret med Falskhed, og min Fod har hastet til Svig,
6 na nipimwe katika vipimo vilivyo sawa ili kwamba Mungu aujue uadilifu wangu.
— han veje mig paa Retfærdigheds Vægtskaaler, og Gud kende min Uskyldighed —
7 Kama hatua zangu zimegeuka kutoka katika njia sahihi, kama moyo wangu umetembea kwa kufuata macho yangu, na kama doa lolote la uchafu limeng'ang'ania katika mikono yangu,
dersom min Gang har bøjet af fra Vejen, og mit Hjerte er gaaet efter mine Øjne, og en Plet har klæbet ved mine Hænder:
8 na kisha mimi nipande na mtu mwingine na ale; mavuno na yang'olewe katika shamba langu.
Da gid jeg maa saa, men en anden æde, og mit Afkom maa oprykkes med Rod.
9 Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kusubiria katika mlango wake,
Dersom mit Hjerte er forlokket til en Kvinde, og jeg har luret ved min Næstes Dør:
10 na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.
Da gid min Hustru maa male for en anden, og andre bøje sig over hende.
11 Na kwa hilo litakuwa ni kosa kubwa; kwa kweli, utakuwa ni uovu wa kuadhibiwa na waamuzi.
Thi det var en Skændselsgerning, og det var en Misgerning, som hørte hen for Dommerne;
12 Kwa kuwa ni moto ambao unateketeza kila kitu kwa uharibifu, na kwamba utaunguza mavuno yangu yote.
thi det var en Ild, som fortærede indtil Afgrunden, og som skulde have oprykket al min Afgrøde med Rode.
13 Ikiwa nilikataa ombi la haki kutoka kwa watumishi wangu wa kiume na wa kike wakati walipohojiana nami,
Dersom jeg havde foragtet min Tjeners eller min Tjenestepiges Ret, naar de trættede med mig;
14 kisha nini basi ningefanya wakati Mungu anapoinuka ili kunishitaki mimi? Atakapokuja kunihukumu, nitamjibuje?
— og hvad vilde jeg gøre, naar Gud vilde opstaa? og naar han vilde hjemsøge, hvad skulde jeg svare ham?
15 Je yeye aliyenifanya mimi tumboni hakuwafanya wao pia? Je yeye si yeye yule aliyetuumba sisi wote katika tumbo?
har ikke han, som skabte mig i Moders Liv, skabt ham? og har ikke en og den samme beredt os i Moderskød? —
16 kama nimewanyima watu masikini matakwa yao, au kama nimesababisha macho ya wajane yafifie kwa kulia,
dersom jeg har nægtet de ringe deres Begæring og ladet Enkens Øjne vansmægte,
17 au ikiwa kama nimekula kipande changu na sijawaruhusu wale wasio na baba kukila pia -
og jeg har ædt min Mundbid for mig alene, saa at den faderløse ikke aad deraf;
18 kwasababu tangu ujana wangu yatima walikua pamoja nami kama kuwa na baba, nami nimemwongoza mama yake, mjane, tangu katika tumbo la mama yangu mwenyewe.
— tværtimod, han er opvokset hos mig som hos en Fader fra min Ungdom af, og hende ledede jeg, fra min Moders Liv af —
19 ikiwa nimemwona yeyote akiangamia kwa kwa kukosa mavazi, au kama nimemwona mtu mhitaji akiwa hana nguo;
dersom jeg har set en forkommen, uden Klæder, og at den fattige intet Dække havde;
20 ikiwa moyo wake haujanibariki kwasababu amekuwa hajatiwa joto na sufu ya kondoo zangu,
dersom hans Lænder ikke have velsignet mig, medens han varmede sig ved Ulden af mine Faar;
21 ikiwa nimeinua juu mkono wangu kinyume na watu wasio na baba kwa kuwa niliona msaada wangu katika lango la mji, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu.
dersom jeg har løftet min Haand imod den faderløse, fordi jeg saa Hjælp for mig i Porten:
22 Ndipo bega langu na lianguake kutoka katika sehemu yake, na mkono wangu uvunjike katika kiungo chake.
Da gid min Skulder maa falde fra Skulderbladet, og min Arm brydes fra Armpiben!
23 Kwa kuwa niliogopa uharibifu kutoka kwa Mungu; kwasababu ya mawazo ya ukuu wake, nisingeweza kufanya mambo hayo.
Thi en Rædsel vilde være kommen over mig, en Ulykke fra Gud, og imod hans Højhed formaaede jeg intet.
24 Kama ningeifanya dhahabu kuwa tumaini langu, na kama ningesema kwa dhahabu safi, 'wewe unanifanya kuwa na tumaini';
Dersom jeg har sat Guld til mit Haab eller sagt til det kostelige Guld: Du er min Tillid;
25 na kama nimefurahi kwasababu ya utajiri wangu ulikuwa mkubwa, kwa kuwa mkono wangu umepata mali nyingi, na kisha kuleta mashitaka dhidi yangu!
dersom jeg har glædet mig, at mit Gods var meget, og at min Haand havde forhvervet mangfoldigt;
26 Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake,
dersom jeg har set til Sollyset, naar det skinnede, eller til Maanen, naar den gaar herlig,
27 na kama moyo wangu umevutwa kwa siri, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao -
og mit Hjerte har ladet sig forlokke i Løndom, saa at min Mund kyssede min Haand:
28 hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.
— Ogsaa dette havde været en Misgerning, som hørte hen under Dommerne; thi jeg havde hyklet for Gud i det høje —!
29 Ikiwa nimefurahia uharibifu wa yeyote ambaye ananichukia mimi, au kuwapa hongera wakati majanga yanapowapata, ndipo ulete mashitaka dhidi yangu!
dersom jeg har glædet mig over min Fjendes Undergang og jublet, naar Ulykken ramte ham;
30 Kwa kweli sijauruhusu hata mdomo wangu kutenda dhambi kwa kuuomba uhai wake kwa laana.
— men jeg tilstedede ikke min Gane at synde, saa at jeg under Forbandelse begærede hans Sjæl —
31 Ikiwa watu wa hema yangu hawajasema,' Nani aweza kumpata mtu ambaye hayashibishwa na chakula cha Ayubu?
dersom ikke Mændene i mit Telt have sagt: Hvor finder man nogen, som ikke er bleven mæt af hans Kød?
32 (hata mgeni hajawahi kukaa katika pembe ya mji, kwa kuwa siku zote nimefungua milango yangu kwa ajili ya wasafiri), na kama haiko hivyo, ndipo mlete mashitaka kinyume nami!
— den fremmede maatte ikke ligge udenfor om Natten, jeg lod mine Døre op for vejfarende —
33 Ikiwa, kama binadamu nimezificha dhambi zangu kwa kuficha hatia ndani ya kanzu yangu -
dersom jeg har skjult mine Overtrædelser som Adam og dulgt min Misgerning i min Barm,
34 kwa kuwa niliogopa kusanyiko kubwa, kwasababu ya matwezo ya familia yaliniogopesha, hivyo basi nilinyamaza kimya na sikuweza kwenda nje, basi nileteni mashitaka dhidi yangu!
fordi jeg frygtede den store Hob, og Slægters Foragt kunde have forfærdet mig, saa at jeg tav og ikke gik ud af en Dør —
35 Ee, kama nilikuwa na mtu wa kunisikiliza! Ona, hii ni saini yangu; na Mwenye nguvu na anijibu! Ikiwa nilikuwa na shitaka rasmi ambalo adui yangu ameliandika!
Havde jeg dog den, som vilde høre paa mig! se her min Underskrift — den Almægtige svare mig — og her den Klage, min Modpart har opsat;
36 Hakika ningelibeba hadharani juu ya bega langu; ningeliweka juu kama taji.
sandelig, jeg skulde tage den paa min Skulder, jeg skulde binde den omkring mig som et Hovedsmykke!
37 Ningemweleza hesabu ya hatua zangu; na kama mwana wa mfalme mwenye kujiamini ningepanda kwenda kwake.
Jeg vil tilkendegive ham ethvert af mine Skridt, som en Fyrste vil jeg nærme mig ham.
38 Kama nchi yangu ingelia dhidi yangu, na matuta yake yaomboleza pamoja,
Dersom min Ager raaber imod mig, og alle dens Furer græde;
39 ikiwa nimekula mavuno yake bila kulipia au kama nimesababisha wamiliki wake kupoteza maisha yao,
dersom jeg har fortæret dens Grøde uden at have betalt den og udblæst Sjælen fra dens Ejermand:
40 ndipo miiba na iote badala ya ngano na magugu badala ya shayiri.” Maneno ya Ayubu yamemalizika.
Gid da vokse Tjørn i Stedet for Hvede, og Ukrudt i Stedet for Byg; — Jobs Ord have Ende.