< Ayubu 3 >

1 Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
Napokon otvori Job usta i prokle dan svoj;
2 Akasema,
poče svoju besjedu i reče:
3 “Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
“O, ne bilo dana kad sam se rodio i noći što javi: 'Začeo se dječak!'
4 Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
U crnu tminu dan taj nek se prometne! S visina se njega Bog ne spominjao, svjetlost sunčeva ne svijetlila mu više!
5 Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
Mrak i sjena smrtna o nj se otimali, posvema ga tmina gusta prekrila, pomrčine dnevne stravom ga morile!
6 Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
O, da bi ga tama svega presvojila, nek' se ne dodaje danima godine, nek' ne ulazi u brojenje mjeseci!
7 Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
A noć ona bila žalosna dovijeka, ne čulo se u njoj radosno klicanje!
8 Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
Prokleli je oni štono dan proklinju i Levijatana probudit' su kadri!
9 Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
Pomrčale zvijezde njezina svanuća, zaludu se ona vidjelu nadala, i zorinih vjeđa ne gledala nigda!
10 kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
Što mi od utrobe ne zatvori vrata da sakrije muku od mojih očiju!
11 Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
Što nisam mrtav od krila materina, što ne izdahnuh izlazeć' iz utrobe?
12 kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
Čemu su me dva koljena prihvatila i dojke dvije da me nejaka podoje?
13 Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
U miru bih vječnom počivao sada, spavao bih, pokoj svoj bih uživao
14 pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
s kraljevima i savjetnicima zemlje koji su sebi pogradili grobnice,
15 Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
ili s knezovima, zlatom bogatima, što su kuće svoje srebrom napunili.
16 Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
Ne bih bio - k'o nedonošče zakopano, k'o novorođenče što svjetla ne vidje.
17 Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
Zlikovci se više ne obijeste ondje, iznemogli tamo nalaze počinka.
18 Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
Sužnjeve na miru tamo ostavljaju: ne slušaju više poviku stražara.
19 Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
Malen ondje leži zajedno s velikim, rob je slobodan od gospodara svoga.
20 Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
Čemu darovati svjetlo nesretniku i život ljudima zagorčene duše
21 ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
koji smrt ištu, a ona ne dolazi, i kao za blagom za njome kopaju?
22 Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
Grobnom bi se humku oni radovali, klicali od sreće kad bi grob svoj našli.
23 Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
Što će to čovjeku kom je put sakriven, koga je Bog sa svih strana zapriječio?
24 Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
Zato videć' hranu, uzdahnuti moram, k'o voda se moji razlijevaju krici.
25 Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
Obistinjuje se moje strahovanje, snalazi me, evo, čega god se bojah.
26 Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”
Pokoja ni mira meni više nema, u mukama mojim nikad mi počinka.”

< Ayubu 3 >