< Ayubu 23 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Job contestó:
2 “Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
“De todos modos, mis quejas hoy siguen siendo amargas. A pesar de mis gemidos, me sigue castigando.
3 Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
Si supiera dónde puedo encontrarlo para ir a donde se sienta a juzgar.
4 Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
Allí expondría mi caso ante él y presentaría todos mis argumentos en su totalidad.
5 Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
Descubriría cómo me respondería y aprendería lo que tiene que decirme.
6 Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
¿Lucharía contra mí usando su poderosa fuerza? No, prestaría atención a lo que tengo que decir.
7 Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
Allí una buena persona podría razonar con él, y yo sería absuelto para siempre por mi juez.
8 Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
Si voy al este, él no está; si voy al oeste, no lo encuentro.
9 Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
Si está trabajando en el norte, no lo distingo; si va al sur, no lo veo.
10 Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
“Sin embargo, él siempre sabe a dónde voy. Cuando me haya probado, saldré brillante como el oro.
11 Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
Me he mantenido al paso con él; he seguido su camino sin desviarme.
12 Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
No he descuidado sus mandatos, porque valoro más lo que me ha ordenado que el alimento que como cada día.
13 Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
“Pero Dios es inmutable: ¿quién puede desviarlo de sus propósitos? Él hace todo lo que quiere hacer.
14 Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
Así que terminará lo que ha planeado para mí, y tiene muchos planes para mí.
15 Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
Por eso me aterra encontrarme con él; cuando pienso en él tiemblo de miedo.
16 Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
Dios me ha hecho desfallecer; el Todopoderoso me ha hecho morir de miedo.
17 Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.
Sin embargo, sigo aquí a pesar de la oscuridad, aunque no pueda ver a través de la oscuridad total”.

< Ayubu 23 >