< Ayubu 21 >
1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Respondeu porém Job, e disse:
2 “Sikilizeni hotuba yangu kwa makini, hii na iwe faraja yenu.
Ouvi atentamente as minhas razões; e isto vos sirva de consolações.
3 Nimeteswa, lakini pia nitasema; nikisha kusema, endeleeni kudhihaki.
Sofrei-me, e eu falarei: e, havendo eu falado, zombai.
4 Lakini kwangu mimi, malalamikio yangu ni kwa mtu? Kwa nini nisiwe mwenye subira?
Porventura eu me queixo a algum homem? porém, ainda que assim fosse, porque se não angustiaria o meu espírito?
5 Nitazameni na mshangae, nanyi wekeni mkono wenu midomoni mwenu.
Olhai para mim, e pasmai: e ponde a mão sobre a boca.
6 Ninapoyafikiria mateso yangu, ninaumizwa, mwili wangu unaogopa.
Porque, quando me lembro disto, me perturbo, e a minha carne é sobresaltada de horror.
7 Kwa nini waovu wanaendelea kuishi, wanazeeka, na kuwa na uwezo katika madaraka?
Por que razão vivem os ímpios? envelhecem, e ainda se esforçam em poder?
8 Wazao wao wanathibitishwa mbele zao, na uzao wao unaimarika machoni pao.
A sua semente se estabelece com eles perante a sua face; e os seus renovos perante os seus olhos.
9 Nyumba zao ziko salama mbali na hofu; wala fimbo ya Mungu haiko juu yao.
As suas casas tem paz, sem temor; e a vara de Deus não está sobre eles.
10 Dume lao la ng'ombe linazalisha; halishindwi kufanya hivyo; ng'ombe wao anazaa na hafishi ndama wake akiwa mchanga.
O seu touro gera, e não falha: pare a sua vaca, e não aborta.
11 Wanawapeleka wadogo wao kama kundi la kondoo, na watoto wao hucheza.
Mandam fora as suas crianças, como a um rebanho, e seus filhos andam saltando.
12 Wanaimba kwa tari na vinubi na hufurahi kwa muziki na zomari.
Levantam a voz, ao som do tamboril e da harpa, e alegram-se ao som dos órgãos.
13 Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol )
Na prosperidade gastam os seus dias, e num momento descem à sepultura. (Sheol )
14 Wanamwambia Mungu, 'Ondoka kwetu kwani hatutaki ufahamu wowote juu ya njia zako.
E, todavia, dizem a Deus: Retirate de nós; porque não desejamos ter conhecimento dos teus caminhos.
15 Mwenye enzi ni nani, hata tumwabudu? Tutafaidika na nini tukimwabudu? Tutapata faida gani ikiwa tutamwomba?
Quem é o Todo-poderoso, para que nós o sirvamos? e que nos aproveitará que lhe façamos orações?
16 Tazama, je mafanikio yao hayamo katika mikono yao wenyewe? Sina cha kufanya na ushauri wa waovu.
Vede porém que o seu bem não está na mão deles: esteja longe de mim o conselho dos ímpios!
17 Mara ngapi taa za waovu huzimwa, au kwamba majanga huja juu yao? Mara ngapi inatokea kwamba Mungu husambaza huzuni kwao kwa hasira?
Quantas vezes sucede que se apaga a candeia dos ímpios, e lhes sobrevem a sua destruição? e Deus na sua ira lhes reparte dores!
18 Ni mara ngapi inatokea kwamba wanakuwa kama mabua mbele ya upepo au kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba?
Porque são como a palha diante do vento, e como a pragana, que arrebata o redemoinho.
19 Mnasema, 'Mungu huweka hatia ya mtu kwa watoto wake kuilipa.' Na alipe yeye mwenyewe, ili kwamba aweze kujua hatia yake mwenyewe.
Deus guarda a sua violência para seus filhos, e lhe dá o pago, que o sente.
20 Acha macho yake yaone uangamivu wake mwenyewe, na acha anywe gadhabu ya Mwenyezi.
Seus olhos veem a sua ruína, e ele bebe do furor do Todo-poderoso.
21 Kwani anaangaliaje familia yake mbele yake idadi ya miezi yake inapokwisha.
Porque, que prazer teria na sua casa, depois de si, cortando-se-lhe o número dos seus meses?
22 Je kuna mtu anaweza kumfundisha Mungu maarifa kwa kuwa yeye huwaukumu hata walio juu?
Porventura a Deus se ensinaria ciência, a ele que julga os excelsos?
23 Mtu mmoja ufa katika nguvu zake kamili, akiwa na utulivu kabisa na kwa amani.
Este morre na força da sua plenitude, estando todo quieto e sossegado.
24 Mwili wake hauna uhitaji, na kiini cha mifupa yake ina unyevu na afya njema.
Os seus baldes estão cheios de leite, e os seus ossos estão regados de tutanos.
25 Mtu mwingine ufa kwa uchungu wa nafsi, bila kujifurahisha kwa jambo lolote jema.
E outro morre, ao contrário, na amargura do seu coração, não havendo comido do bem.
26 Wanazikwa kaburini wote kwa pamoja, funza wanawafunika wote.
Juntamente jazem no pó, e os bichos os cobrem.
27 Tazama, nayajua mawazo yenu, na jinsi mnavyotaka kunikosesha.
Eis que conheço bem os vossos pensamentos: e os maus intentos com que injustamente me fazeis violência.
28 Kwa kuwa mwasema, 'Iko wapi sasa nyumba ya mwana wa mfalme? Liko wapi kao alipokaa mwovu?'
Porque direis: Onde está a casa do príncipe? e onde a tenda das moradas dos ímpios?
29 Je hamjawauliza wasafiri? Hamfahamu wanavyoweza kusema,
Porventura o não perguntastes aos que passam pelo caminho? e não conheceis os seus sinais?
30 kwamba mwovu anaepushwa na siku ya shida, na kwamba anawekwa mbali na siku ya gadhabu?
Que o mau é preservado para o dia da destruição; e são levados no dia do furor.
31 Ni nani atakaye ituhumu siku ya mwovu mbele yake? Ni nani atakayemwadhibu kwa alichokifanya?
Quem acusará diante dele o seu caminho? e quem lhe dará o pago do que faz?
32 Hata hivyo atapelekwa kaburini; watu wataliona kaburi lake.
Finalmente é levado às sepulturas, e vigia no montão.
33 Udongo wa bondeni utakuwa mtamu kwake; watu wote watamfuata, hata kuwe na watu wengi mbele yake.
Os torrões do vale lhe são doces, e attrahe a si a todo o homem; e diante de si há inumeráveis.
34 Ni jinsi gani basi mtanifariji bila kufikiri, kwa kuwa majibu yenu hayana lolote ila uongo?”
Como pois me consolais com vaidade? pois nas vossas respostas ainda resta a transgressão.