< Ayubu 20 >
1 Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
Da svarede Zofar, Naamathiten, og sagde:
2 “Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
Derfor give mine Tanker mig Svar, og fordi jeg har Hast i mit Indre.
3 Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
Jeg maa høre en Undervisning til Forsmædelse for mig; men Aanden svarer mig ud af min Forstand.
4 Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
Ved du dette, som har været af Evighed, siden Mennesker sattes paa Jorden:
5 ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
At de ugudeliges Frydeskrig er stakket, og den vanhelliges Glæde kun varer et Øjeblik?
6 Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
Om hans Højhed steg op til Himmelen, og hans Hoved naaede til Skyen,
7 bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
saa skal han dog svinde hen for evigt som Skarn; de, som saa ham, skulle sige: Hvor er han?
8 Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
Ligesom en Drøm skal han bortfly, og man skal ikke finde ham; og han skal forjages som et Syn om Natten.
9 usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
Det Øje, som har set ham, skal ikke se ham mere, og hans Sted skal ikke beskue ham ydermere.
10 Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
Hans Børn skulle søge at behage de ringe, og hans Hænder skulle give hans Formue tilbage.
11 Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
Hans Ben vare fulde af Ungdomskraft, men den skal ligge i Støvet med ham.
12 Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
Er Ondskab end sød i hans Mund, vilde han end dølge den under sin Tunge,
13 japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
vilde han end spare den og ikke slippe den, men holde den tilbage i sin Gane:
14 chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
Saa vilde dog hans Brød forvandle sig i hans Indvolde og blive til Øglegalde inden i ham.
15 Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
Han nedslugte Gods, men han skal udspy det; Gud skal drive det ud af hans Bug.
16 Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
Han indsugede Øglegift; Otterslangens Tunge skal dræbe ham.
17 Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
Ej skue han Strømme, ej Bække, som flyde med Honning og Mælk.
18 Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
Han skal tilbagegive det, han har havt Umage for, og ikke nyde det; som Gods, han har erhvervet, og han skal ikke fryde sig.
19 Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
Thi han fortrykte de ringe og lod dem ligge; han røvede et Hus, og han byggede det ikke.
20 Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
Fordi han ikke har vidst at være rolig i sin Bug, skal han ikke undkomme ved sit kostelige Gods.
21 Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
Der var ingen tilovers, han jo fortærede, derfor skal hans Lykke ikke blive varig.
22 katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
Naar han har fuldt op i Overflod, skal han dog blive bange, hver lidendes Haand skal komme over ham.
23 Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
For at fylde hans Bug sende Gud sin grumme Vrede over ham, og lade det regne over ham, som skal fortære ham!
24 Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
Han skal fly for Jernrustning, en Kobberbue skal gennemskyde ham.
25 Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
Han drager Pilen ud, og den gaar ud af hans Liv, den lynende Od kommer ud af hans Galde; Forfærdelser overfalde ham.
26 Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
Mørket er helt opbevaret for hans Skatte, en Ild, der ikke pustes til, skal fortære ham; det skal gaa den ilde, som er bleven tilbage i hans Telt.
27 Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
Himmelen skal aabenbare hans Misgerning, og Jorden skal rejse sig imod ham.
28 Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
Hans Hus's Indtægt skal bortføres; den skal flyde bort paa Guds Vredes Dag.
29 Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”
Dette er et ugudeligt Menneskes Lod fra Gud og hans tilsagte Arv fra Gud.