< Yeremia 41 >

1 Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmael mwana wa Nethania mwana wa Elishama, toka familia ya kifalme, na maafisa baadhi wa mfalme, walikuja - wanaume kumi walikuwa pamoja naye - kwa Gedalia mwana wa Ahikam, huko Mizpa. Walikula chakula pamoja hukp Mizpa.
Dans le septième mois, Ismaël, fils de Netania, fils d’Elichama, qui était de race royale et un des hauts dignitaires du roi, arriva, accompagné de dix hommes, auprès de Ghedalia, fils d’Ahikam, à Miçpa; et là, à Miçpa, ils prirent part ensemble à un festin.
2 Lakini Ishmael mwana wa Nethania, na wanaume kumi ambao walikuwa pamoja naye waliinuka na kumvamia Gedalia mwana wa Ahikam mwana wa Shafan, kwa upanga. Ishmael alimuua Gedalia, ambaye mfalme wa Babeli alimweka kuwa msimamizi wa nchi.
Puis Ismaël, fils de Netania, et les dix hommes qui étaient avec lui se levèrent, frappèrent par le glaive Ghedalia, fils d’Ahikam, fils de Chafan, et le firent périr, lui que le roi de Babylone avait nommé gouverneur du pays.
3 Kisha Ishmael aliwauwa Wayahudi wote ambao walikuwa pamoja na Gedalia huko Mizpa na Wakaldayo wanaume wa kupigana kukutwa huko.
De même tous les Judéens qui entouraient Ghedalia à Miçpa, ainsi que les Chaldéens qui s’y trouvaientles gens de guerre, Ismaël les massacra.
4 Kisha ilikuwa siku ya pili baada ya kumuua Gedila, lakini hakuna moja aliyejua.
Le second jour, après le meurtre de Ghedalia, que personne encore ne connaissait,
5 Wanaume baadhi walikuja toka Shechem, toka Shiloh, na toka Samaria-wanaume semanini ambayo walikuwa wamenyoa ndevu zao, walirarua nguo zao, na kujikata wenyewe- pamoja na chakula cha sadaka na ubani katika mikono yao kwenda kwa nyumba ya Yahwe.
des hommes arrivèrent de Sichem, de Silo et de Samarie, au nombre de quatre-vingts, ayant la barbe rasée, les vêtements déchirés et le corps tailladé, portant dans leurs mains des offrandes et de l’encens qu’ils destinaient au temple de l’Eternel.
6 Basi Ishmael mwana wa Nethania alienda toka Mizpa kukutana nao kama walivyoenda, wakitembea na kulia. Kisha ilitokea kwamba kama alivyokutana nao, alisema nao, “Njoo kwa Gedalia mwana wa Ahikam!”
lsmaël, fils de Netania, sortit de Miçpa pour aller à leur rencontre, en pleurant tout le long de la marche, et quand il fut auprès d’eux, il leur dit: "Venez trouver Ghedalia, fils d’Ahikam."
7 Ilikuja kuwa kwamba wakati walipokuja katika mji, Ishmaeil mwana wa Nethania aliwauwa na kuwatupa kwenye shimo, yeye na wanaume ambao walikuwa pamoja naye.
Mais dès qu’ils eurent pénétré dans l’intérieur de la ville, Ismaël, aidé des hommes qui étaient avec lui, les égorga et les jeta dans une citerne.
8 Lakini palikuwa na wanaume kumi miongoni mwao ambao walisema kwa Ishmael, “Usituue, kwa kuwa kuna riziki zetu kwenye shamba: ngano na shayiri, mafuta na asili” Kwa hiyo hakuwauwa pamoja na rafiki zao wengine.
Parmi eux se trouvaient dix hommes qui dirent à Ismaël: "Ne nous fais pas mourir, car nous possédons des provisions cachées dans les champs, du froment, de l’orge, de l’huile et du miel." Il les épargna et ne les tua point comme leurs frères.
9 Kisima ambacho Ishmael alitupa miili yote ya waliokufa ambaye yeye na Gedalia waliwapiga, kilikuwa ni kilekile ambacho mfalme Asa alichimba wakati alipokuwa akivamiwa na mfalme Baasha wa Israel. Ishmael mwana wa Nethania alilijaza wale ambao walikuwa wameuawa.
Or, la citerne où Ismaël avait jeté les corps de tous les hommes qu’il avait frappés en même temps que Ghedalia, était celle que le roi Asa avait construite pour se défendre contre Baasa, roi d’Israël; c’est cette citerne qu’Ismaël, fils de Netania, remplit de cadavres.
10 Badae Ishmael aliwashika watu wengine wote ambao walikuwa huko Mizpa, mabinti wa mfalme na watu wote ambao walikuwa wameachwa huko Mizpa ambayo Nebuzaradani mlinzi mkuu alikuwa amewakabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikam. Basi Ishmael mwana wa Nethania aliwashika na kuvuka kwa watu wa Ammon.
Et Ismaël fit main basse sur tout le reste de la population qui était à Miçpa, sur les princesses royales et l’ensemble des gens qui demeuraient a Miçpa et que Nebouzaradan, chef des gardes, avait placés sous l’autorité de Ghedalia, fils d’Ahikam. Ismaël, fils de Netania, les emmena tous comme prisonniers, et partit pour se rendre chez les Ammonites.
11 Lakini Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi pamoja naye walisikia madhara yote ambayo Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amefanya.
Mais Johanan, fils de Karéah, et tous les commandants de troupes qui l’accompagnaient, ayant appris tout le mal fait par Ismaël, fils de Netania,
12 Basi waliwachukua wanaume wao na kwenda kupigana dhidi ya Ishmanel mwana wa Nethania. Walipigana naye huko kwenye kisima kuu cha Gibeoni.
ramassèrent tous leurs hommes, se mirent en route pour attaquer Ismaël, fils de Netania, et l’atteignirent près des grands étangs de Gabaon.
13 Kisha ilitokea kwamba wakati watu wote ambao walikuwa na Ishmael kuona Yonathani mwana wa Karea na amri wote wa jeshi ambao walikuwa pamoja naye, walikuwa na furaha.
Quand tout le peuple qui se trouvait avec Ismaël aperçut Johanan, fils de Karéah, et tous les commandants de troupes qui l’accompagnaient, il fut dans la joie.
14 Basi watu wote ambao Ishmael alikuwa amewashika huko Mizpa waligeuka na kwenda kwa Yonathani mwana wa Karea.
Et tous les gens qu’Ismaël avait emmenés comme prisonniers de Miçpa firent volte face et, ayant changé de direction, se rallièrent à Johanan, fils de Karéah.
15 Lakini Ishmael mwana wa Nethania alitoroka na wanaume wanane toka kwa Yonathani. Alienda kwa watu wa Ammon.
Quant à Ismaël, fils de Netania, il se sauva avec huit hommes devant Johanan et se rendit auprès des Ammonites.
16 Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi pamoja naye walichukua toka Mizpa watu wote ambao walikuwa wameokolewa kutoka kwa Ishmael mwana wa Nethania. Hii ilikuwa baada ya Ishmael kuwa amemuuwa Gedalia mwana wa Ahikam. Yonathan na rafiki zake walichukua wanaume shujaa, wanaume wapiganaji, wanawake na watoto, na mtoashi ambaye alikuwa ameokolewa huko Gibeoni.
Puis Johanan, fils de Karéah, et tous les chefs de troupes qui l’accompagnaient prirent tout le restant de la population qu’Ismaël, fils de Netania, avait enlevée de, Miçpa, après avoir assassiné Ghedalia, fils d’Ahikam: les adultes combattants, les femmes, les enfants et les eunuques qu’ils avaient ramenés de Gabaon.
17 Kisha walienda na kubaki kwa muda huko Geruthi Chimham, ambayo iko karibu Bethelemu. Walikuwa wakienda Misri
Ils se mirent en route et firent halte dans le cantonnement de Kimham, près de Bethléem, dans l’intention de partir de là et de se rendre en Egypte,
18 kwa sababu ya Wakaldayo. Walikuwa wakiwaogopa kwani Ishmael mwana wa Nethania alikuwa amemua Gedalia mwana wa Ahikam, ambaye mfamle wa Babeli amewekwa kwenye usimamizi wa nchi.
à cause des Chaldéens, dont ils avaient peur, parce qu’Ismaël, fils de Netania, avait mis à mort Ghedalia, fils d’Ahikam, établi comme gouverneur du pays par le roi de Babylone.

< Yeremia 41 >