< Yeremia 37 >

1 Sasa Sedekia mwana wa Yosia alitawala kama mfalme badala ya Yehoyachin mwana wa Yehoyakimu. Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa amemfanya Sedekia mfalme juu ya nchi ya Yuda.
Potom kraloval král Sedechiáš syn Joziášův místo Koniáše syna Joakimova, kteréhož ustanovil králem Nabuchodonozor král Babylonský v zemi Judské.
2 Lakini Sedekia, wajakazi wake, na watu wa nchi hawakusikiliza maneno ya Yahwe ambayo alitangaza kwa mkono wa Yeremia nabii.
Ale neposlouchal on, ani služebníci jeho, ani lid té země slov Hospodinových, kteráž mluvil skrze Jeremiáše proroka.
3 Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, “Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu.”
Ač byl poslal Sedechiáš Jehuchale syna Selemiášova a Sofoniáše syna Maaseiášova, kněze, k Jeremiášovi proroku, aby řekli: Modl se medle za nás Hospodinu Bohu našemu.
4 Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza.
Nebo Jeremiáš ještě bydlil svobodně u prostřed lidu, aniž ho ještě byli dali do žaláře.
5 Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
A vojsko Faraonovo bylo vytáhlo z Egypta; (nebo uslyšavše Kaldejští, kteříž oblehli byli Jeruzalém, pověst o nich, odtrhli od Jeruzaléma).
6 Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia nabii na kusema,
Stalo se pak slovo Hospodinovo k Jeremiášovi proroku, řkoucí:
7 “Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi: Hiki ndivyo utakavyosema kwa mfalme wa Yuda, kwa sababu amekutuma wewe kutafuta ushauri toka kwangu, 'Ona, jeshi la Farao, ambalo lilikuja kukusaidia, liko tayari kurudi Misri, kwenye nchi yao.
Toto praví Hospodin Bůh Izraelský: Takto rcete králi Judskému, kterýž vás poslal ke mně, abyste se radili se mnou: Aj, vojsko Faraonovo, kteréž potáhne vám na pomoc, navrátí se zase do země své Egyptské.
8 Wakaldayo watarudi. Watapigana dhidi ya mji huu, kuuteka, na kuuchoma.'
Kaldejští pak navrátí se zase, a bojovati budou proti městu tomuto, a vezmouce je, vypálí je ohněm.
9 Yahwe asema hivi: Msidaganyane kwa kusema, “Hakika Wakaldayo wanatuacha sisi,' kwa kuwa hawatatuacha.
Takto praví Hospodin: Nesvoďte sami sebe, říkajíce: Konečně odtrhnou od nás Kaldejští, neboť neodtrhnou.
10 Hata kama mmelishinda jeshi la Wakaldayo lote ambalo linapigana nanyi ili kwamba wanaume waliojeruhiwa walibakizwa katika mahema yao, wangeweza kunyanyuka na kuchoma mji huu.”
Nýbrž byste pobili všecko vojsko Kaldejských bojujících s vámi, tak že by pozůstali z nich toliko ranění, tiť z stanů svých povstanou, a toto město ohněm vypálí.
11 Basi ilikuwa wakati jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalem wakati jeshi la Farao lilikuwa linakuja,
Stalo se pak, když odtrhlo vojsko Kaldejské od Jeruzaléma před vojskem Faraonovým,
12 kisha Yeremia alienda toka Yerusalem kwenda nchi ya Benjamini. Alitaka kumiliki njia ya nchi huko miongoni mwa watu wake.
Že vycházel Jeremiáš z Jeruzaléma, jíti chtěje do země Beniaminovy, aby tak vynikl z prostředku lidu.
13 Kama alivyokuwa katika mlango wa Benjamini, mlinzi mkuu aliyekuwa hapo. Jina lake lilikuwa Yeria mwana wa Shelemia mwana wa Hanania. Alimshika kwa kumnyakua Yeremia nabii na kusema, “Mnatoka jangwani kwa Wakaldayo.”
Když pak byl v bráně Beniaminské, byl tu hejtman nad stráží, jménem Jiriáš syn Selemiáše, syna Chananiášova, kterýž jal Jeremiáše proroka, řka: K Kaldejským ty ustupuješ.
14 Lakini Yeremia alisema, “Hiyo si kweli. Siendi jangwani kwa Wakaldayo.” Lakini Yeria hakumsikiliza. Alimchukua Yeremia na kumleta kwa maafisa.
Jemuž řekl Jeremiáš: Není pravda, neustupujiť já k Kaldejským. Ale nechtěl ho slyšeti, nýbrž jal Jiriáš Jeremiáše, a dovedl jej k knížatům.
15 Maafisa walikuwa wamemkasirikia Yeremia. Walimpiga na kumweka gerezani, ambayo ilikuwa nyumba ya Yonathani mwandishi, kwa kuwa waligeuza kuwa gereza.
Tedy rozhněvavše se knížata na Jeremiáše, ubili jej, a dali jej do vězení, do domu Jonatana písaře; nebo z něho byli udělali žalář.
16 Kwa hiyo Yeremia alikuwa amewekwa kwenye kifungo cha chini, ambako alikuwa huko kwa siku nyingi.
Když pak vešel Jeremiáš do té jámy a do sklípků jejích, a seděl tam Jeremiáš mnoho dní.
17 Kisha mfalme Sedekia alimtuma mtu mmoja aliyemleta kwenye ikulu. Kwenye nyumba yake, mfalme alimuuliza binafsi, “Kuna neno: Utatiwa kwenye mkono wa mfalme wa Babeli.”
Teprv poslav král Sedechiáš, vzal jej, a tázal se ho král v domě svém tajně, řka: Stalo-li se slovo od Hospodina? Jemuž řekl Jeremiáš: Stalo. Potom řekl: V ruku krále Babylonského vydán budeš.
18 Kisha Yeremia alisema kwa mfalme Sedekia, “Kwa namna gani nimekutenda dhambi, mjakazi wako, au watu hawa kwamba umeniweke mimi kwenye gereza?
Při tom řekl Jeremiáš králi Sedechiášovi: Coť jsem zavinil aneb služebníkům tvým, aneb lidu tomuto, že jste mne dali do žaláře tohoto?
19 Wako wapi nabii wako, wale waliotabiri kwa ajili yako na kusema mfalme wa Babeli hatakuja dhidi yako au dhidi ya nchi hii?
A kdež jsou proroci vaši, kteříž prorokují vám, říkajíce: Nepřitáhneť král Babylonský na vás, ani na zemi tuto?
20 Lakini sasa sikiliza, bwana wangu mfalme! Acha ombi langu liwe mbele yako. Usinirudie mimi kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, au nitakufa huko.”
Nyní tedy slyš, žádám, pane můj králi, nechť, prosím, místo má před tebou pokorná prosba má; nedopouštěj mne zase voditi do domu Jonatana písaře, abych tam neumřel.
21 Kwa hiyo mfalme Sedekia alitoa amri. Wajakazi wake walimwekea mipaka Yeremia katika uwanja wa walinzi. Alipewa mkate kila siku kutoka mtaa wa waokaji mkate, mpaka mkate wote mjini uliisha. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja walinzi.
I přikázal král Sedechiáš, aby vsadili Jeremiáše do síně stráže, a dávali jemu pecník chleba na den z ulice pekařů, dokudž by nebyl vytráven všecken chléb v městě. A tak seděl Jeremiáš v síni stráže.

< Yeremia 37 >