< Yeremia 32 >

1 Neno likaja kwa Yeremia kutoka kwa Yahwe katika mwaka wa kumi wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa kumi na nane wa Nebukadreza.
Slovo, kteréž se stalo k Jeremiášovi od Hospodina léta desátého Sedechiáše krále Judského, kterýžto rok jest osmnáctý Nabuchodonozorův.
2 Katika wakati huo, jeshsi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka Yerusalemu, na Nehemia nabii alikuwwa amefungwa katika uwanja wa walinzi katika nyumba ya mfalme wa Yuda.
(Bylo pak tehdáž vojsko krále Babylonského oblehlo Jeruzalém, a Jeremiáš prorok byl zavřín v síni stráže, kteráž byla v domě krále Judského.
3 Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga na kusema, “Kwa nini unatabiri na kusema, 'Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kuweka mji huu katika mikono ya mfalme wa Babeli, na atauteka.
Nebo dal jej byl vsaditi Sedechiáš král Judský, řka: Proč ty prorokuješ, právě: Takto praví Hospodin: Aj, já dám město toto v ruku krále Babylonského, aby je vzal.
4 Sedekia mfalme wa Yuda hatapona kutoka kwenye mikono ya Wakaldayo, kwa maana hakika atatiwa katika mkono wa mfalme wa Babeli. Mdomo wake utazumzia kwenye mdomo wa mfalme, na macho yake yatayaona macho ya mfalme.
Sedechiáš také král Judský neznikne ruky Kaldejských, ale jistotně vydán bude v ruku krále Babylonského, a budou mluviti ústa jeho s ústy jeho, a oči jeho uzří oči jeho.
5 Atampeleka Sedekia Babeli, na atabaki huko hadi nimuadhibu—hili ni tangazo la Yahwe. Ingawa unapigana dhidi ya Wakaldayo, hautafanikiwa.”
Nýbrž do Babylona zavede Sedechiáše, aby tam byl, až ho navštívím, dí Hospodin. Poněvadž bojujete s Kaldejskými, nepovede se vám šťastně.)
6 Yeremia akasema, “Neno la Yahwe likaja kwangu, likisema, Angalia, Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako anakuja kwako na atasema,
Tehdy řekl Jeremiáš: Stalo se slovo Hospodinovo ke mně, řkoucí:
7 “Linunue shamba langu ambalo liko katika Anathothi kwa ajili yako, kwa maana haki ya kununua ni yako.””
Aj, Chanameel syn Salluma, strýce tvého, jde k tobě, aťby řekl: Kup sobě dvůr můj, kterýž jest v Anatot; nebo tobě právem příbuznosti náleží koupiti jej.
8 Kisha, kama Yahwe alivyotangaza, Hanameli, mwana wa mjomba wangu, akaja kwangu katika uwanja wa walinzi, na akasema kwangu, 'Linunue shamba langu kwa ajili yako ambalo liko Anathothi katika nchi ya Benyamini, kwa maana haki ya urithi ni ya kwako, na haki ya kulinunua ni yako. Linunue kwa ajili yako.' Kisha nilijua kuwa hili lilikuwa neno la Yahwe.
Když pak přišel ke mně Chanameel syn strýce mého, podlé slova Hospodinova, do síně stráže, a řekl ke mně: Kup medle dvůr můj, kterýž jest v Anatot, jenž jest v zemi Beniaminově; nebo tvůj jest právem dědičným, a právem příbuznosti, kupiž jej sobě: tedy porozuměv, že jest to slovo Hospodinovo,
9 Kwa hiyo nililinua shamba katika Anathothi kutoka kwa Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na nilipima fedha kwa ajili yake, shekeli kumi na saba katika uzito.
I koupil jsem od Chanameele syna strýce svého ten dvůr, kterýž jest v Anatot, a odvážil jsem jemu peněz sedmnácte lotů stříbra.
10 Kisha niliandika katika barua na kuitia muhuri, na kulikuwa na mashadi wakaishuhudia. Kisha nikampa fedha katika mizani.
A zapsav to do cedule, zapečetil jsem, a osvědčil jsem svědky, odváživ peníze na váze.
11 Kisha nikaichukua hati ya manunuzi ambayo ilikuwa imepigwa muhuri, kwa kuifuata amri na taratibu, na kama ilivyo ada.
Potom vzal jsem, podlé přikázaní a ustanovení, cedule té koupě zapečetěnou i otevřenou,
12 Ile barua nikampa Baruku mwana wa Neria wa Maaseya mbele ya Hanameli, mwana wa mjomba wangu, na mashahidi waliotia sahihi kwenye barua iliyopigwa muhuri, na mbele ya Wayahudi wote waliokaa katika uwanja wa walinzi.
A dal jsem ceduli té koupě Báruchovi synu Neriášovu, synu Maaseiášovu, před očima Chanameele strýce svého, a před očima svědků, kteříž se podepsali v ceduli té koupě, před očima všech Judských, kteříž se byli posadili v síni stráže.
13 Kwa hiyo nikampa amri Baruku mbele yao. Nilisema,
A přikázal jsem Báruchovi před očima jejich, řka:
14 Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Chukua nyaraka hizi, vyote hati hii ya manunuzi iliyopigwa muhuri na nakala zisizopigwa muhuri za manunuzi, na uziweke katika chungu cha udongo ili vidumu kwa muda mrefu.
Takto praví Hospodin zástupů, Bůh Izraelský: Vezmi cedule tyto, tuto ceduli té koupě, jakož zapečetěnou, tak ceduli otevřenou tuto, a vlož je do nádoby hliněné, aby trvaly za mnohá léta.
15 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Nyumba, mashamba, na mashamba ya mizabibu vitanunuliwa tena katika nchi hii.
Nebo takto praví Hospodin zástupů, Bůh Izraelský: Ještěť kupováni budou domové, a rolí, i vinice v zemi této.
16 Baada ya kumpa Baruki mwana wa Neria ile hati ya manunuzi, nikaomba kwa Yahwe nikasema,
Potom modlil jsem se Hospodinu, když jsem dal ceduli té koupě Báruchovi synu Neriášovu, řka:
17 Ole, Bwana Yahwe! Angalia! Wewe peke yako umezitengeneza mbingu na dunia kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulioinuka. Hakuna kitu ambacho ukisema kwako ni kigumu sana kukifanya.
Ach, Panovníče Hospodine, aj, ty jsi učinil nebe i zemi mocí svou velikou a ramenem svým vztaženým, nemůžeť skryta býti před tebou žádná věc.
18 Wewe huonesha agano la uaminifu kwa maelfu na kumimina makosa ya wanadamu katika mapaja ya watoto wao baada yao. Wewe ni Mungu mkuu na mwenye nguvu.
Èiníš milosrdenství nad tisíci, a odplacíš za nepravost otců do lůna synů jejich po nich, Bůh veliký, silný, mocný, jehož jméno Hospodin zástupů,
19 Wewe ni mkuu katika hekima na una nguvu katika matendo, kwa maana macho yako yanaona njia zote za watu, ili kumlipa kila mtu stahiki ya matendo yake.
Veliký v radě a znamenitý v správě, poněvadž oči tvé otevřené jsou na všecky cesty synů lidských, abys odplatil jednomu každému podlé cest jeho, a podlé ovoce předsevzetí jeho.
20 Ulifanya ishara na maajabu katika nchi ya Misiri. Hata leo hapa Israeli na kati ya wanadamu wengine wote, umelifanya jina lako kuwa maarufu.
Kterýž jsi činil divy a zázraky v zemi Egyptské až do tohoto dne, jakož v Izraelovi tak mezi jinými lidmi, a dobyls sobě jména, jakéž jest po dnešní den.
21 Kwa maana uliwanunua watu wako Israeli kwa ishira na maajabu, kwa mkono hodari, kwa mkono ulioinuka, na kwa hofu kuu.
Nebo vyvedl jsi lid svůj Izraelský z země Egyptské v divích a v zázracích, a rukou silnou, a ramenem vztaženým, a v strachu velikém,
22 Kisha uliwapa nchi hii—ambayo uliapa kwa babu zao kwamba utawapa—nchi itiririkayo maziwa na asali.
A dals jim zemi tuto, kterouž jsi přisáhl dáti otcům jejich, zemi oplývající mlékem a strdí.
23 Hivyo walingia na kuimiliki. Lakini hawakuitii sauti yako wala kuishi kwa kuitii sheria yako. Hawakufanya chochote ulichowaamuru kufanya, kwa hiyo umeleta juu yao majanga haya yote.
Ale že všedše do ní, a dědičně ujavše ji, neposlouchali hlasu tvého, a v zákoně tvém nechodili, všeho, což jsi koli přikázal jim činiti, nečinili, protož způsobils to, aby je potkalo všecko toto zlé.
24 Angalia! Urefu wa maboma haya umefika hadi kwenye mji ili kuuteka. Kwa sababu ya upanga, njaa, na tauni, mji umetiwa kwenye mikono ya Wakaldayo wanaopigana dhidi yake. Kwa maana ulichosema kitatokea sasa kinatokea, na ona, unatazama.
Aj, střelci přitáhli na město, aby je vzali, a město skrze meč a hlad a mor dáno jest v ruku Kaldejských, bojujících proti němu; a tak, což jsi koli promluvil, děje se, jakž to sám vidíš.
25 Kisha wewe mwenyewe uliniambia, “Nunua shamba kwa fedha kwa ajili yako na mashahidi wameshuhudia, ingawa mji huu unatiwa mikononi mwa Wakaldayo.””
Ty pak pravíš mi, Panovníče Hospodine: Zjednej sobě dvůr tento za peníze, a osvědč to svědky, ano již město toto dáno jest v ruku Kaldejských.
26 Neno la Mungu likaja kwa Yeremia, likisema,
I stalo se slovo Hospodinovo k Jeremiášovi, řkoucí:
27 “Angalia! Mimi ni Yahwe, Mungu wa wanadamu wote. Kuna kitu cho chote kigumu sana kwangu kukifanya?
Aj, já jsem Hospodin Bůh všelikého těla, zdaliž přede mnou může býti skryta která věc?
28 Kwa hiyo Yahwe anasema hivi, 'Ona, niko karibu kuutia mji huu kwenye mikono ya Wakaldayo na Nebukadreza, mfalme wa Babeli. Atauteka.
Protož takto praví Hospodin: Aj, já dávám toto město v ruku Kaldejských a v ruku Nabuchodonozora krále Babylonského, aby je vzal.
29 Wakaldayo wanaopigana dhidi ya mji huu watakuja na kuwasha moto kwenye mji huu na kuunguza, pamoja na nyumba juu ya paa la watu waliomwabudu Baali na kumimina dhabihu kwa miungu wengine ili kunikasirisha.
A vejdouce Kaldejští, kteříž bojují proti městu tomuto, zapálí ohněm toto město, a vypálí je, i domy ty, na jejichž střechách kadívali Bálovi, a obětovali oběti mokré bohům cizím, aby mne hněvali.
30 Kwa maana watu wa Israeli na Yuda hakika wamekuwa watu wanaofanya maovu mbele ya macho yangu tangu ujana wao. Watu wa Israeli hakika wameniudhi kwa matendo ya mikono yao—hili ni tangazo la Yahwe.
Nebo synové Izraelští a synové Judští od dětinství svého jen toliko činí to, což jest zlého před očima mýma; synové, pravím, Izraelští jen toliko hněvají mne dílem rukou svých, dí Hospodin.
31 Yahwe anatangaza kwamba mji huu umekuwa sababu ya hasira yangu na ghadhabu yangu tangu siku walipoujenga. Umekuwa hivyo hata leo. Kwa hiyo nitaundoa mbele ya uso wangu
Toto zajisté město od toho dne, jakž je vystavěli, až do tohoto dne k hněvu mému a prchlivosti mé popouzí mne, tak že je sklidím od tváři své,
32 kwa sababu ya uovu wote wa watu wa Israeli na Yuda, mambo waliyofanya ili kunichukiza—wao, wafalme wao, wana wa wafalme, makuhani, manabii, na kila mtu katika Yuda na wakaaji wa Yerusalemu.
Pro všelikou nešlechetnost synů Izraelských a synů Judských, kterouž páchali, aby mne k hněvu popouzeli, oni, králové jejich, knížata jejich, kněží jejich i proroci jejich, jakož muži Judští, tak obyvatelé Jeruzalémští,
33 Wamenigeuzia migongo yao badala ya nyuso zao, ingawa niliwafundisha kwa furaha. Nilijitahidi kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyenisikiliza ili kupokea marekebisho.
Obracejíce se ke mně hřbetem, a ne tváří. A když je učím, ráno přivstávaje, a to ustavičně, však nikoli neposlouchají, aby přijímali naučení.
34 Walisimamisha sanamu zao za ajabu katika nyumba inayoitwa kwa jina langu, ili kunitia unajisi.
Nadto nastavěli ohavností svých v domě tom, kterýž nazván jest od jména mého, aby jej zanečistili.
35 Wakazijenga sehemu za juu katika Bonde la Beni Hinomu ili kuwatia katika moto wana wao na binti zao kwa ajili ya Moleki. Mimi sikuwaagiza. Sikuweka akilini mwangu kamwe kwamba watafanya mambo maovu na kwa hiyo kuwasabisha Yuda watende dhambi.
Nastavěli, pravím, výsostí Bálovi, kteréž jsou v údolí Benhinnom, aby vodili syny své a dcery své Molochovi, ješto jsem jim toho nepřikázal, aniž vstoupilo na srdce mé, aby páchati měli tu ohavnost, a Judu k hřešení přivodili.
36 Kwa hiyo sasa, Mimi, Yahwe, Mungu wa Israeli, kuhusu mji huu ninasema hivi, 'mji ambao mnasema, 'Umetiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli kwa upanga, njaa, na pigo.'
A nyní z příčiny té takto dí Hospodin. Bůh Izraelský, o městě tomto, o kterémž vy říkáte: Dánoť jest v ruku krále Babylonského skrze meč a hlad a mor:
37 Ona, niko karibu kuwakusanya kutoka kila nchi nilikowapeleka katika hasira yangu, ghadhabu, hasira kuu. Niko karibu kuwarudisha kwenye sehemu hii na kuwawezesha kuishi katika usalama.
Aj, já shromáždím je ze všech zemí, do nichž jsem je rozehnal v hněvě svém, a v rozpálení svém, i v prchlivosti veliké, a přivedu je zase na toto místo, a způsobím to, aby bydlili bezpečně.
38 Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
I budou lidem mým, a já budu jejich Bohem.
39 Nitawapa moyo mmjoa na na njia moja ya kuniheshimu kila siku ili kwamba yawepo mema kwa ajili yao na uzao wao baada yao.
Dám zajisté jim srdce jedno a cestu jednu, aby se mne báli po všecky dny, tak aby jim dobře bylo i synům jejich po nich.
40 Kisha nitafanya pamoja nao agano la milele, ili nisiache kufanya mema kwa ajili yao. nitajiwekea heshima katika mioyo yao, ili kwamba wasiniache.
A učiním s nimi smlouvu věčnou, že se neodvrátím od nich, abych jim neměl dobře činiti; nadto bázeň svou dám v srdce jejich, aby neodstupovali ode mne.
41 Kisha nitajifurahisha katika kufanya mema kwao. Kwa uaminifu nitawapanda katika anchi hii kwa moyo wangu wote na maisha yangu yoye.
I veseliti se budu z nich, dobře jim čině, když je štípím v zemi této pevně, celým srdcem svým a vší duší svou.
42 Kwa amaana Yahwe anasema hivi, 'Kama tu nilivyoyaleta majanga haya makubwa yote juu ya watu hawa, hivyo hivyo nitaleta juu yao mambo mema niliyosema kwamba nitafanya kwa ajili yao.
Nebo takto praví Hospodin: Jakož jsem uvedl všecko toto zlé veliké na lid tento, tak uvedu na ně všecko to dobré, o němž jim mluvím.
43 Basi mashamba yatanunuliwa katika nchi hii, ambayo mnaisema, “Hii ni nchi iliyoharibiwa, isiyo na mwanadamu wala mnyama. Imetiwa mikononi mwa Wakaldayo”
Tehdáž kupováno bude pole v zemi této, o níž vy říkáte: Pustá jest, tak že není v ní žádného člověka ani hovada, dánať jest v ruku Kaldejských.
44 Watanunua mashamba kwa fedha na kuandika katika barua zilizopigwa muhuri. Watawakusanya mashahidi katika nchi ya Benyamini, wote kuzunguka Yerusalemu na miji ya Yuda katika miji ya nchi yenye vilima, na katika nchi tambarare, na katika miji ya Negebu. Kwa maana nitawarejesha wafungwa wao—hili ni tangazo la Yahwe.”'
Pole za peníze kupovati budou, a zapisovati do cedulí, a zpečetíce, svědky osvědčovati v zemi Beniaminově a vůkol Jeruzaléma v městech Judských, jakož v městech, kteráž jsou při horách, tak v městech na rovinách, a v městech poledních, když zase přivedu zajaté jejich, dí Hospodin.

< Yeremia 32 >