< Yeremia 29 >
1 Haya ni maneno katika waraka ambao Yeremia nabii alituma kutoka Yerusalemu kwa wazee waliosalia miongoni mwa mateka na makuhuni, manabii, na watu wote ambao Nebukadreza aliwapeleka utumwani kutoka Yerusalemu hadi Babeli.
Un šie ir tās grāmatas vārdi, ko pravietis Jeremija sūtīja no Jeruzālemes tiem atlikušiem vecajiem, kas bija aizvesti, un tiem priesteriem un tiem praviešiem un visiem ļaudīm, ko Nebukadnecars no Jeruzālemes bija aizvedis uz Bābeli,
2 Hii ilikuwa baada ya Yekonia mfalme, mama yake mfalme, na watumishi wakuu, viongozi wa Yuda na Yerusalemu, na wahunzi walikuwa wamepelekwa mbali na Yerusalemu.
Kad ķēniņš Jekanija un ķēniņiene un ķēniņa sulaiņi un Jūda un Jeruzālemes lielkungi līdz ar tiem amatniekiem un kalējiem no Jeruzālemes bija projām, -
3 Aliutuma waraka huu kwa mkono wa Elasa mwana wa Shafani, Gemaria, mwana wa Hilkia, ambaye Sedekia, mfalme wa Yuda, alikuwa amemtuma kwa Nebukadreza mfalme wa Babeli
Caur Eleazu, Safana dēlu, un Gemariju, Hilķijas dēlu, ko Cedeķija, Jūda ķēniņš, uz Bābeli sūtīja pie Nebukadnecara, Bābeles ķēniņa:
4 Waraka ulisema, Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kwa mateka ambao niliwasababisha kuwa mateka kutoka Yerusalemu hadi Babeli,
Tā saka Tas Kungs Cebaot, Israēla Dievs, uz visiem aizvestiem, kas no Jeruzālemes aizvesti uz Bābeli:
5 'Jengeni nyumba na muishi ndani yake. Pandeni bustani na mle matunda yake.
Uztaisiet namus un dzīvojiet iekš tiem un dēstiet dārzus un ēdiet no viņu augļiem.
6 Chukueni wake na mzae wana na mabinti. Kisha Kisha chukueni wake kwa ajili ya wana wenu, na wapatieni waume binti zenu. Wazae wana na mabinti na waongezeke ili msiwe wachache sana.
Ņemiet sievas un dzemdinājiet dēlus un meitas un vediet saviem dēliem sievas un dodiet savas meitas vīriem, lai tās dzemdē dēlus un meitas, un vairojaties tur un neejat mazumā,
7 Itafuteni amani ya mji ambako nimewafanya kuwa watumwa, na mkauombee kwangu kwa niaba yake kwa kuwa kutakuwa na amani kwenu kama mji uko katika amani.'
Un meklējiet tās pilsētas labklāšanos, kurp Es jūs esmu licis aizvest, un pielūdziet To Kungu viņas dēļ, jo kad viņai labi klāsies, tad arī jums labi klāsies.
8 Kwa maana Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi, 'Msiwaache manabii ambao wako katikati yenu na wabashiri wenu kuwadanganya, na msizisikilize ndoto ambazo ninyi wenyewe mnaota.
Jo tā saka Tas Kungs Cebaot, Israēla Dievs: lai jūsu pravieši un jūsu zīlnieki, kas jūsu vidū, jūs nepieviļ, un neklausiet saviem sapņiem, ko jūs sapņojat.
9 Kwa maana wanatabiri uongo kwenu katika jina langu. Mimi sikuwatuma—hili ni tangazo la Yahwe.'
Jo tie jums sludina melus Manā Vārdā; Es tos neesmu sūtījis, saka Tas Kungs.
10 Kwa maana Yahwe anasema hivi, 'Babeli atakapokuwa amewatawala kwa muda wa mika sabini, nitawasaidia ninyi na kulitimiza neno langu jema kwa ajili yenu ili kuwarudisha ninyi katika sehemu hii.
Jo tā saka Tas Kungs: tiešām, kad septiņdesmit gadi Bābelē būs pagalam, tad Es jūs piemeklēšu un jums likšu notikt pēc Sava žēlīgā vārda un jūs atvedīšu atpakaļ uz šo vietu.
11 Kwa maana mimi mwenyewe naijua mipangao niliyonayo kwa ajili yenu—hili ni tangazo la Yahwe—mipango kwa ajili ya amani na siyo kwa ajili ya mabaya, ili kuwapa ninyi tumaini na siku zenu za mwisho.
Jo Es zinu, kādas domas Es par jums domāju, saka Tas Kungs: miera domas un ne ļaunas domas, ka Es jums dodu to cerēto galu.
12 Kisha mtaniita, na kwenda na kuniomba mimi, na nitawasikiliza.
Tad jūs Mani piesauksiet un iesiet un Mani pielūgsiet, un Es jūs paklausīšu.
13 Kwa maana mtanitafuta na kunipata, kwa kuwa mtanitafuta kwa moyo wenu wote.
Un jūs meklēsiet un Mani atradīsiet, kad jūs pēc Manis vaicāsiet no visas savas sirds.
14 Kisha nitapatikana kwenu—hili ni tangazo la Yahwe—na nitawarudisha watu wenu waliofungwa; nitawakusanya kutoka mataifa yote na sehehemu zote ambako nimewatawanya—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana nitawarudisha kutoka sehemu ambako niliwasababisha kuwa mateka.
Un Es no jums likšos atrasties, saka Tas Kungs, un atgriezīšu (atpakaļ no) jūsu cietuma un jūs sapulcināšu no visām tautām un no visām vietām, kurp Es jūs esmu aizdzinis, saka Tas Kungs, un jūs vedīšu atkal uz to vietu, no kurienes Es jūs esmu licis aizvest.
15 Tangu mliposema kwamba Yahwe ameinua manabii kwa ajili yetu katika Babeli,
Kad jūs sakāt: Tas Kungs mums Bābelē praviešus cēlis -
16 Yahwe anasema hivi kwa mfalme aliyeketi katika kiti cha enzi cha Daudi na watu wote wakaao katika mji huo, ndugu zenu ambao hawakwenda pamoja nanyi utumwani—
Tiešām, tā saka Tas Kungs, par to ķēniņu, kas sēž uz Dāvida goda krēsla, un par visiem ļaudīm, kas šai pilsētā dzīvo, par jūsu brāļiem, kas ar jums nav gājuši cietumā,
17 Yahwe wa majeshi anasema hivi, ''Ona, niko karibu kutuma upanga, njaa, na ugonjwa juu yao. Kwa maana nitawafanya kuwa kama tini mbovu ambazo ni mbaya sana hazifai kuliwa.
Tā saka Tas Kungs Cebaot: redzi, Es sūtīšu starp viņiem zobenu, badu un mēri, un darīšu tos kā nelāga vīģes, ko nevar ēst aiz nelāguma.
18 Kisha nitawafuata kwa upanga, njaa, na tauni na kuwafanya kuwa kitu cha kushangaza kwa falme zote juu ya dunia—kitu cha kuogofya, kitu cha kulaaniwa na kuzomewa, na kitu cha aibu miongoni mwa mataifa yote ambako nilimtawanya.
Un Es tiem dzīšos pakaļ ar zobenu, ar badu un ar mēri, un tos nodošu uz vārdzināšanu visās zemes valstīs, par lāstu, par biedēkli un par apsmieklu un par negodu starp visām tautām, kurp Es tos aizdzīšu:
19 Hii ni kwa sababu hawakulisikiliza neno langu—hili ni tangazo la Yahwe—ambalo nililituma kwao kupitia watumishi wangu manabii. Niliwatuma tena na tena, lakini hamkusikiliza—hili ni tangazo la Yahwe. '
Par to, ka tie Maniem vārdiem nav klausījuši, saka Tas Kungs, kad Es Savus kalpus, tos praviešus, pie tiem tikuši(neatlaidīgi) sūtīju vienā sūtīšanā; bet jūs neesat klausījuši, saka Tas Kungs.
20 Kwa hiyo ninyi wenyewe sikilizeni neno la Yahwe, ninyi mateka wote ambao amewatuma kutoka Yerusalemu hadi Babeli,
Tad klausiet Tā Kunga vārdu, jūs visi, kas esat aizvesti, ko Es no Jeruzālemes uz Bābeli esmu nosūtījis.
21 'Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi kuhusu Ahabu mwana wa Kolaya na Sedekia mwana wa Maaseya, watabirio uongo kwenu katika jina langu: Ona, niko karibu kuwaweka katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babeli. Atawaua mbele ya macho yenu.
Tā saka Tas Kungs Cebaot, Israēla Dievs, pret Ahabu, Kolajas dēlu, un pret Cedeķiju, Mazejas dēlu, kas jums melus sludina Manā Vārdā! Redzi, Es tos nodošu Nebukadnecaram, Bābeles ķēniņam, rokā, tas tos sitīs priekš jūsu acīm;
22 Kisha laana itatamkwa na wafungwa wote wa Yuda katika Babeli kuhusu watu hawa. Laana itasema: Yahwe awafanye kuwa kama Sedekia na Ahabu, ambao mfalme wa Babeli aliwaoka kwenye moto.
Un no tiem celsies lāstu vārdi pie visiem no Jūda aizvestiem, kas ir Bābelē, un sacīs: lai Tas Kungs tev dara kā Cedeķijam un kā Ahabam, ko Bābeles ķēniņš pie uguns cepis,
23 Hili litatokea kwa sababu ya mambo ya aibu waliyofanya katika Israeli walipofanya uzinzi na wake za majarani zao na kutangaza maneno ya uongo katika jina langu, mambo ambayo sikuwaamuru wayaseme. Kwa maana mimi ndiye nijuaye; mimi ni shahidi—hili ni tangazo la Yahwe.”'
Tādēļ ka tie ģeķību darījuši iekš Israēla un laulību pārkāpuši ar savu tuvāko sievām un runājuši melu vārdus Manā Vārdā, ko Es tiem nebiju pavēlējis, un Es esmu Tas, kas to zin un apliecina, saka Tas Kungs.
24 Kuhusu Shemaya Mnehelami, sema hivi:
Un pret Nekalamieti Šemaju runā un saki:
25 'Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Kwa sababu ulituma barua kwa jina lako kwa watu wote katika Yerusalemu, kwa Sefania mwana wa Maaseya kuhani, na kwa makuhani wote, na ulisema,
Tā runā Tas Kungs Cebaot, Israēla Dievs, un saka: tādēļ, ka tu grāmatas sūtījis savā vārdā visiem ļaudīm Jeruzālemē un priesterim Cefanijam, Mazejas dēlam, un visiem priesteriem ar tiem vārdiem:
26 “Yahwe aliwafanya ninyi kuwa makuhani badala ya Yehoyada kuhani, ili muwe wasimamizi wa nyumba ya Yahwe. Ninyi ni viongozi wa watu wote wajitiao wazimu na kujifanya wenyewe manabii. Mtawaweka katika mkatale na minyororo.
Tas Kungs tevi licis par priesteri priestera Jojadas vietā, ka jums būs uzraugiem būt Tā Kunga namā pār ikkatru vīru, kas trako un sevi par pravieti turas, ka tev tos būs likt cietumā un siekstā;
27 Kwa hiyo sasa, kwa nini hamkumkemea Yeremia wa Anathothi, ambaye hujifanya mwenyewe nabii juu yenu?
Nu tad, kāpēc tu Jeremiju no Anatotas neesi aprājis, kas jūsu starpā turas par pravieti?
28 Kwa maana ametutumia sisi katika Babeli, 'Itakuwa muda mrefu. Jengeni nyumba na muishi ndani yake, na pandeni busitani na mule matunda yake.””
Tāpēc ka viņš pie mums uz Bābeli sūtījis un sacījis: būs ilgi, uztaisiet namus un dzīvojiet un dēstiet dārzus un ēdiet viņu augļus.
29 Sefania kuhani akaisoma barua hii mbele ya Yeremia nabii.
Un priesteris Cefanija lasīja šo grāmatu priekš pravieša Jeremijas ausīm.
30 Kisha neno la Yahwe likaja kwa Yeremia, likisema,
Tad Tā Kunga vārds tā notika uz Jeremiju:
31 “tuma neno kwa mateka wote na sema, 'Yahwe anasema hivi kuhusu Shemaya Mnehelami: Kwa sababu Shemaya amewatabiria ninyi wakati mimi sikumtuma, na amewaongoza kuamini uongo,
Sūti jel pie visiem aizvestiem un saki: tā saka Tas Kungs pret Nekalamieti Šemaju: tādēļ ka Šemaja jums ir sludinājis, un Es to neesmu sūtījis, un ir darījis, ka jūs paļaujaties uz meliem,
32 kwa hiyo Yahwe anasema hivi: Angalia, niko karibu kumwadhibu Shemaya Mnehelami na uzao wake. Hapatakuwa na mtu wa kukaa miongoni mwa watu hawa kwa ajili yake. Hataona mema nitakayofanya kwa ajili ya watu wangu—hili ni tangazo la Yahwe—kwa maana ametangaza uasi dhidi ya Yahwe.””
Tādēļ Tas Kungs tā saka: redzi, Es piemeklēšu Nekalamieti Šemaju un viņa dzimumu; viņam neviena nebūs, kas šo ļaužu vidū dzīvos un redzēs to labumu, ko Es Saviem ļaudīm darīšu, saka Tas Kungs, jo viņš ir mācījis atkāpties no Tā Kunga.