< Yeremia 19 >
1 Bwana akasema hivi, “Nenda ukanunue chupa ya udongo wakati ukiwa na wazee wa watu na makuhani.
Tako govori Gospod: »Pojdi in dobi si lončarjev vrč in vzemi od starcev izmed ljudstva in od starcev izmed duhovnikov;
2 Kisha uende mpaka bonde la Ben Hinomu wakati wa kuingia kwenye mlango uliovunjika wa mfinyanzi, na huko utangaza maneno nitakayokuambia.
in pojdi naprej v dolino sina Hinómovega, ki je pri vhodu vzhodnih velikih vrat in tam razglasi besede, ki ti jih bom povedal
3 Ukisema, 'Sikilizeni neno la Bwana, wafalme wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu! Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Tazameni, na nitaletea msiba juu ya mahali hapa, na masikio ya kila mtu anayesikia yatawaka.
in reci: ›Poslušajte besedo od Gospoda, oh Judovi kralji in prebivalci Jeruzalema: ›Tako govori Gospod nad bojevniki, Izraelov Bog: ›Glejte, privedel bom zlo nad ta kraj, kdorkoli bo slišal o njem, mu bo v ušesih zvenelo.
4 Nitafanya hivyo kwa sababu wameniacha na kudharau mahali hapa. Katika mahali hapa wanatoa sadaka kwa miungu mingine ambayo hawakuijua. Wao, baba zao, na wafalme wa Yuda pia wamejaza mahali damu isiyo na hatia.
Ker so me zapustili in odtujili ta kraj in na njem zažigali kadilo drugim bogovom, ki jih niti oni niti njihovi očetje niti Judovi kralji niso poznali in so ta kraj napolnili s krvjo nedolžnih;
5 Walimjengea Baali mahali pa juu na kuwachoma watoto wao kwa moto kama sadaka za kuteketezwa kwake-kitu ambacho sijawaamuru au kutaja, wala hakuingia ndani ya akili yangu.
zgradili so tudi Báalove visoke kraje, da svoje sinove sežigajo z ognjem za žgalne daritve Báalu, kar jim nisem zapovedal niti tega nisem govoril niti mi to ni prišlo na um.
6 Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-ambapo mahali hapa hapataitwa tena Tofethi, bonde la Ben Hinomu, kwa kuwa litakuwa bonde la machinjo.
Zato, glejte, pridejo dnevi, ‹ govori Gospod, ›ko ta kraj ne bo več imenovan Tofet niti Dolina sina Hinómovega, temveč Dolina pokola.
7 Katika mahali hapa nitatamgua mipango ya Yuda na Yerusalemu. Nitawafanya wapate kuuawa kwa upanga mbele ya adui zao na kwa mkono wa wale wanaotafuta maisha yao. Ndipo nitawapa miili yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa dunia.
Nasvet Juda in Jeruzalema bom na tem kraju naredil prazen in povzročil jim bom, da padejo pod mečem pred svojimi sovražniki in po rokah tistih, ki jim strežejo po življenju. Njihova trupla bom izročil, da bodo hrana perjadi neba in zemeljskim zverem.
8 Ndipo nitaifanya mji huu kuwa uharibifu na kitu cha kuzomewa, kila mtu anayepita atashangaa na kuzomea kwa sababu mateso yake yote.
To mesto bom naredil zapuščeno in sikanje. Vsak, kdor bo šel mimo, bo osupel in sikal zaradi vseh njegovih nadlog.
9 Nitawafanya wale nyama ya wana wao na binti zao; kila mtu atakula mwili wa jirani yake katika dhiki na katika uchungu ambao umeletwa kwao na maadui zao na wale wanaotaka maisha yao.'”
Povzročil jim bom, da jedo meso svojih sinov in meso svojih hčera in vsak bo jedel meso svojega prijatelja, v obleganju in strogosti, s katero jih bodo stisnili njihovi sovražniki in tisti, ki jim strežejo po življenju.
10 Kisha utavunja chupa ya udongo mbele ya watu ambao walikwenda pamoja nawe.
Potem boš razbil vrč pred očmi mož, ki gredo s teboj
11 Uwaambie,'Bwana wa majeshi asema hivi: nitafanya jambo hili kwa watu hawa na mji huu- hii ndiyo ahadi ya Bwana, kama vile Yeremia alivyovunja chupa ya udongo ili isiweze kutengenezwa tena. Watu watazika wafu huko Tofethi hata hapatabaki mahali pa kuzika.
in jim boš rekel: ›Tako govori Gospod nad bojevniki: ›Celo tako bom zlomil to ljudstvo in to mesto, kakor nekdo razbija lončarjevo posodo, da ne more biti narejena ponovno cela. Pokopavali jih bodo v Tofetu, dokler ne bo nobenega prostora za pokop.
12 Hivyo ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na wenyeji wake nitakapofanya jiji hili kama Tofethi, hili ndio tamko la Bwana;
Tako bom storil temu kraju, ‹ govori Gospod ›in njegovim prebivalcem in to mesto bom naredil celó kot Tofet.
13 kwa hiyo nyumba za Yerusalemu na wafalme wa Yuda watakuwa kama Tofethi, nyumba zote zilizo juu ya watu waovu wanaoabudu nyota zote za mbinguni na kumwaga sadaka za kinywaji kwa miungu mingine.'”
Hiše Jeruzalema in hiše Judovih kraljev bodo omadeževane kakor kraj Tofet, zaradi vseh hiš, na čigar strehah so zažigali kadilo vsej vojski neba in izlivali pitne daritve drugim bogovom.‹«
14 Ndipo Yeremia akatoka Tofethi, ambako Bwana amemtuma ahubiri. Akasimama katika ua wa nyumba ya Bwana, akawaambia watu wote,
Potem je iz Tofeta prišel Jeremija, kamor ga je poslal Gospod, da prerokuje. Stopil je na dvor Gospodove hiše in vsemu ljudstvu rekel:
15 “Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazameni, nitawaletea mji huu na miji yake yote maafa yote niliyonena dhidi yake, kwa kuwa walifanya shingo zao kuwa ngumu na kukataa kusikiliza maneno yangu.'”
»Tako govori Gospod nad bojevniki, Izraelov Bog: ›Glejte, nad to mesto in nad vse njegove kraje bom privedel vse zlo, ki sem ga proglasil zoper njega, ker so otrdili svoje vratove, da ne bi slišali mojih besed.«