< Yeremia 16 >

1 Ndipo neno la Bwana likanijia, kusema,
I doszło do mnie słowo PANA mówiące:
2 “Usiwe na mke, wala usiwe na wana au binti hapa.
Nie pojmiesz sobie żony ani nie będziesz miał synów i córek na tym miejscu.
3 Kwa kuwa Bwana asema hivi kwa wana na binti ambao wamezaliwa hapa, kwa mama waliowabeba, na kwa baba waliowafanya wazaliwe katika nchi hii,
Tak bowiem mówi PAN o synach i córkach urodzonych na tym miejscu, o ich matkach, które ich urodzą, i o ich ojcach, którzy ich spłodzą w tej ziemi:
4 'Watakufa vifo vya magonjwa. Hawataliliwa wala kuzikwa. Watakuwa kama samadi juu ya nchi. Kwa maana wataangamizwa kwa upanga na njaa, na miili yao itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa dunia.'
Pomrą od ciężkich śmiertelnych [chorób]; nie będą opłakiwani ani pogrzebani, [lecz] staną się nawozem na powierzchni ziemi. Wyginą od miecza i głodu, a ich trupy będą pokarmem dla ptactwa nieba i zwierząt ziemi.
5 Maana Bwana asema hivi, 'Usiingie nyumba yoyote yenye kuomboleza. Usiende kuwaombolezea, wala usihuzunike kwa ajili ya watu hawa. Kwa maana nimeondoa amani yangu, uaminifu wa agano, na huruma, kutoka kwa watu hawa! Ndivyo asemavyo Bwana;
Tak bowiem mówi PAN: Nie wchodź do domu żałoby i nie chodź opłakiwać ani żałować ich, bo odjąłem mój pokój od tego ludu, miłosierdzie i litość, mówi PAN.
6 kwa hiyo wakuu na wadogo watakufa katika nchi hii. Wala hawatazikwa, wala hakuna yeyote atakayeomboleza kwa ajili yao. Hakuna mtu atakayejikata-kata au kunyoa vichwa vyao kwa ajili yao.
Pomrą wielcy i mali w tej ziemi. Nie będą pogrzebani ani opłakiwani, nikt nie będzie dla nich się nacinał ani robił sobie łysiny;
7 Hakuna mtu anayepaswa kugawa chakula chochote wakati wa kuomboleza ili kuwafariji kwa sababu ya vifo, na hawatawapa kikombe cha faraja kwa baba yake au mama yake ili kuwafariji.
Nikt nie będzie łamać [chleba] z tymi, którzy są w żałobie, aby ich pocieszyć po zmarłym, ani nie dadzą im pić z kubka pocieszenia za ich ojca lub matkę.
8 Usiende kwenye nyumba ya karamu ili ukae pamoja nao ili kula au kunywa.
Nie wchodź do domu uczty, by zasiąść z nimi do jedzenia i picia.
9 Kwa maana Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, 'Tazama, mbele yako, siku zako na mahali hapa, nitakomesha sauti ya furaha na sherehe, sauti ya bwana na bibi arusi. '
Tak bowiem mówi PAN zastępów, Bóg Izraela: Oto sprawię, że na waszych oczach i za waszych dni ustanie na tym miejscu głos wesela i głos radości, głos oblubieńca i głos oblubienicy.
10 Kisha itatokea kwamba utawaambia watu hawa maneno haya yote, na watakuambia, 'Mbona Bwana amesema maafa yote haya juu yetu? Uovu wetu ni uovu gani na dhambi yetu tuliyomtendea Bwana, Mungu wetu?'
A gdy ogłosisz temu ludowi wszystkie te słowa, a zapytają cię: Czemu PAN zapowiedział przeciwko nam całe to wielkie nieszczęście? I jaka jest nasza nieprawość, i jaki nasz grzech, który popełniliśmy przeciwko PANU, naszemu Bogu?
11 Basi uwaambie, 'hii ndiyo ahadi ya Bwana; Kwa sababu baba zenu waliniacha, nao wakafuata miungu mingine, wakaiabudu na kuisujudia. Waliniacha na hawakuishika sheria yangu.
Wtedy powiesz im: Dlatego, że wasi ojcowie opuścili mnie, mówi PAN, i poszli za innymi bogami, służyli im i oddawali im pokłon, mnie zaś opuścili i nie przestrzegali mojego prawa.
12 Lakini ninyi wenyewe mmeleta uovu zaidi kuliko baba zenu, kwa maana, kila mtu anaenda kwa ukaidi wa moyo wake mbaya; hakuna mtu anayenisikiliza.
A wy czyniliście jeszcze gorzej niż wasi ojcowie, bo oto każdy [z was] postępuje według uporu swego złego serca, nie słuchając mnie;
13 Kwa hiyo nitawafukuza kutoka nchi hii mpaka nchi msiyoijua, wewe wala baba zako, nanyi mtaiabudu miungu mingine huko mchana na usiku, kwa maana mimi sitawapa fadhili zangu.'
Dlatego wyrzucę was z tej ziemi do ziemi, której nie znaliście, [ani] wy, ani wasi ojcowie, i tam będziecie służyć innym bogom dniem i nocą, gdzie nie okażę wam miłosierdzia.
14 Kwa hiyo tazama! Siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-ambapo hawatasema tena, 'Kama Bwana aishivyo, yeye aliyewaleta wana wa Israeli kutoka nchi ya Misri.'
Dlatego oto nadchodzą dni, mówi PAN, że już nie będą mówić: Jak żyje PAN, który wyprowadził synów Izraela z ziemi Egiptu;
15 Kwa maana, kama Bwana aishivyo, yeye aliyewaleta wana wa Israeli kutoka nchi ya kaskazini, na kutoka nchi aliyowaangamiza, nitawarudisha katika nchi niliyowapa baba zao.
Ale: Jak żyje PAN, który wyprowadził synów Izraela z ziemi północnej i ze wszystkich ziem, do których ich wygnał. I sprowadzę ich znowu do ich ziemi, którą dałem ich ojcom.
16 Angalia! hili ni tamko la Bwana-Nitatuma wavuvi wengi-kwa hiyo watawavua watu. Baada ya hayo nitatuma wawindaji wengi ili waweze kuwinda kati ya milima na vilima vyote, na katika miamba ya mwamba.
Oto poślę po wielu rybaków, mówi PAN, i ci ich wyłowią; potem poślę po wielu myśliwych, i ci ich upolują na każdej górze i na każdym pagórku, i w rozpadlinach skalnych.
17 Kwa kuwa macho yangu yapo juu ya njia zao zote; hawawezi kujificha mbele yangu. Uovu wao hauwezi kufichika mbele ya macho yangu.
Moje oczy bowiem patrzą na wszystkie ich drogi. Nie są ukryte przed moim obliczem ani ich nieprawość nie jest zakryta przed moimi oczami.
18 Nami kwanza nitawalipa mara mbili uovu na dhambi zao kwa kuwa wameichafua nchi yangu sanamu za machukizo, na kwa kujaza urithi wangu na sanamu zao za machukizo.
Najpierw odpłacę im podwójnie za ich nieprawości i za ich grzechy, za to, że zbezcześcili moją ziemię trupami swoich obrzydliwości i napełnili moje dziedzictwo swoimi ohydami.
19 Ee Bwana, wewe ndiwe ngome yangu, na kimbilio langu, na mahali pa usalama wangu siku ya shida. Mataifa yatakujia kwako kutoka mwisho wa dunia na kusema, 'Hakika baba zetu walirithi udanganyifu. Ubatili mtupu; hakuna faida ndani yao. Je!
PANIE, moja mocy i siło, moja ucieczko w dniu utrapienia! Do ciebie przyjdą poganie od krańców ziemi i powiedzą: Zaprawdę, nasi ojcowie odziedziczyli kłamstwa i marności, w których nie było żadnego pożytku.
20 Watu hufanya miungu kwa ajili yao wenyewe? Lakini wao sio miungu.
Czy człowiek może uczynić sobie bogów? Przecież to nie są bogowie.
21 Kwa hiyo tazama! Nitawafanya wajue wakati huu, nitawafanya watambue mkono wangu na nguvu zangu, kwa hiyo watajua kwamba Yahweh ni jina langu.”
Dlatego oto ja sprawię, że poznają tym razem; sprawię, że poznają moją rękę i moc, i dowiedzą się, że moje imię to PAN.

< Yeremia 16 >