< Isaya 65 >

1 Nilikuwa tayari kuchaguliwa na wale ambao hawakuniomba; Nilikuwa tayari kupatikana kwa wale ambao hawakunitafuta. Nilisema, ''Niko hapa!' kwa taifa ambalo halikuita jina langu.
I let myself be consulted by people who weren't even asking me questions; I let myself be found by people who weren't even looking for me. To a nation that wasn't even calling for me, I said, “I'm here, I'm here!”
2 Nimetawanya mikono yangu siku zote kuwasumbua watu wangu, wanao tembea katika njia isiyopasa, wanaotembea kwa kufuata mawazo yao wenyewe na mipango yao.
I spread out my hands all day long, pleading with a stubborn people who follow bad ways, doing whatever they choose.
3 Kuna watu wanoendelea kunipinga mimi, wanatoa sadaka zao katika bustani, na kuchoma ubani juu ya matofali.
These people are always making me angry, because they present sacrifices to idols in their sacred gardens, and offer incense on pagan altars made of brick.
4 Wamekaa miongoni mwa makaburi na kuangalia usiku kucha, na hula nyama ya nguruwe na mchuzi mchafu wa nyama katika vyombo vyao.
They spend the night among the graves and in caves, eating pork and cooking other unclean meats.
5 Wanasema, 'Simama mbali, usisogee karibu na mimi, maana mimi ni mtakatifu zaidi yako.' Vitu hivi ni moshi katika pua zangu, moto uwakao mchana kutwa.
They tell others, “Keep your distance! Don't come close to me as I'm too holy to be touched by you!” These people are like smoke in my nostrils, a stink burning all day long!
6 Tazama, imeandikwa mbele yangu: Sitanyamaza, Maana nitawalipa wao tena; nitafanya malipo yao katika miguu yao,
Look—it's all written down right in front of me! I'm not going to keep quiet. I'm going to pay them back by throwing their punishment into their laps.
7 kwa sababu ya dhambi zao na dhambi za baba zao kwa pamoja.'' asema Yahwe. ''Nitawajibu wao kwa kuchoma ubani juu ya milima na kunifanyia mimi juu ya vilima. Hivyo basi nitapima juu ya matendo yao ya kale katika miguu yao.''
I'm going to pay you back for both your own sins and the sins of your forefathers, says the Lord, because they burned incense on the mountains and ridiculed me on the hills. I'm going to measure into their laps full payment for what they've done.
8 Yahwe asema hivi, ''Ikiwa kama juisi itapatikana katika nguzo ya zabibu, wakati mmoja ataposema, 'Usihiaribu hiyo, maa kuna uzuri ndani yake; hichi ndicho nitakachokifanya kwa niaba ya watumishi wangu: Sitawaribu wao wote.
This is what the Lord says: It's like when there's a bit of juice left in a bunch of grapes and people say, “Don't get rid of it all; there's still some good in it,” I'll do the same for my servants—I won't destroy them all.
9 Nitazileta koo kutoka kwa Yakobo, na kutoka Yuda wao ambao watairithi milima yangu. Niliowachagua watairithi aridhi, na watumishi wangu wataishi pale.
I will make sure Jacob has descendants, and people from Judah who can take ownership of my mountain. My chosen ones, my servants, will own the land and live there.
10 Sharoni itakuwa malisho ya makundi, na bonde la Akori itakuwa sehemu ya kupumzikia ya makundi yangu, kwa watu wangu wanaonitafuta mimi.
Sharon will become a pasture for flocks, and the Valley of Achor a place for herds to rest, for my people who follow me.
11 Lakini yeye aliyeachana na Yehwe, anayeusahau mlima wangu mtakatifu, anayeandaa meza kwa bahati ya mungu, na kujaza kikombe cha mvinyo uliochanganywa na miungu inayoitwa Hatama.
But those of you who desert the Lord and forget about my holy mountain, who prepare feasts for the god of good luck, who fill jugs of mixed wine for the god of destiny,
12 Nitaufikisha mwisho wenu kwa upanga, na wato mtainama chini kwa kuchinjwa, Kwa sababu nilipokuita wewe, haukuitikia; nilipozungumza haukunisikliza. lakini mlifanya yaliyo mabaya katika macho yangu na kuchagua kufanya yasiyo nipendeza mimi.''
I will make sure your destiny is to be killed by the sword. All of you will bow down to be slaughtered, because I called out to you but you didn't answer; I spoke to you, but you didn't listen. Instead you did what's evil in my sight, choosing to do what I hate.
13 Bwana Yahwe asema hivi, ''Tazama, mtumishi atakula, lakini atashikwa na njaa; tazama mtumishi wangu atakunywa lakini atakuwa na kiu; tazama mtumishi wangu atashangilia, lakini atatiwa katika aibu.
So this is what the Lord says, My servants will eat, but you will go hungry. My servants will drink, but you will go thirsty. My servants will celebrate, but you will feel ashamed.
14 Tazama, mtumishi wangu atapiga kelele za furaha kwa sababu ya furaha ya moyo, lakini utalia kwa sababu ya maumivu ya moyo, na mtapiga kelele kwa sababu ya kusagwa kwa roho zenu.
Listen! My servants will shout because they're so happy inside, but you will cry out in deepest pain, howling because your spirit is broken.
15 Nanyi mtaliacha jina lenu nyuma kama laana kwa watu niliowachagua wazungumze; Mimi Bwana Yahwe, Nitakuwa wewe; Nitawaita watumishi wangu kwa jina lingine.
Your name will only be used as a curse by my chosen ones, for the Lord God will kill you and give his servants another name.
16 Yeyote atakaye tamka baraka juu ya nchi atabarikiwa na mimi, Mungu wa kweli. Yeyote achukuae kiapo juu ya nchi anaapa na mimi, Mungu wa kweli, kwa sababu matatizo ya nyuma yatasaulika, maana yatafichwa machoni pangu.
Whoever asks a blessing or takes an oath in the land will do so by the one true God, for I have forgotten the troubles of the past—I don't look on them anymore.
17 Maana tazama, Ninakaribia kuumba mbingu mpya na nchi mpya; na mambo ya kale hayatakumbukwa tena wala kufikiriwa katika akili.
Look! I'm going to create new heavens and a new earth. The former things won't be remembered—they won't cross anyone's mind!
18 Lakini mtakuwa na furaha na kushangilia daima kwa nitakachokiumba. Tazama, Ninakaribia kuumba Yerusalemu mpya kama furaha na watu wake wenye furaha.
Be glad, and be happy forever and ever in what I'm going to create, for I will make Jerusalem a delightful place, and its people a real joy.
19 Nitafurahia juu ya Yerusalemu watu wangu; kuomboleza na kilio cha dhiki akitasikika tena ndani yake.
I will be so happy over Jerusalem; I will celebrate among my people. The sound of weeping and cries for help won't ever be heard there again.
20 Hakuna tena mtoto atakayeishi pale japo kwa siku chache; wala mzee kufa kabla ya mda wake. Yule atakayekufa katika umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama mtu mdogo. Yeyote ambaye atashindwa kufikia umri wa miaka mia moja atachukuliwa kama laana.
No babies will die after just a few days, and no adults will die without having lived a long life. Those who reach a hundred will be thought of as just a child, and anyone who doesn't reach a hundred will be seen as being under a curse.
21 Watazijenga nyumba na kukaa huko, na watapanda mizabibu na kula matunda yake.
They will build houses and live in them; they will eat the fruit of the vineyards they themselves planted.
22 Hawatajenga nyumba na wengine waishi humo; hawatapanda, na wengine wale; maana kama siku za miti zitakuwa siku za watu wangu. Watu wangu wataishi kikamilifu kwa kazi ya mikono yao.
No longer will they build houses for others to live in; no longer will they plant for others to eat. For my people will live as long as trees do; my chosen ones will live long enough to enjoy all they've worked for.
23 Hawatafanya kazi bure, wala kuzaa kwa kusikitishwa. Maana ni watoto wa waliobarikiwa na Yahwe, pamoj na koo zao.
They won't work for nothing, and they won't have children destined for disaster. For they are people living under the blessing of the Lord, and their children will be too.
24 Kabla hawajaita, nitaitika; na wakati wanaendele kuzungumza, ntisikia. Mbwa mwitu na kondoo watachungwa pamoja, na simba atakula majani kama ng'ombe; lakini udongo utakuwa chakula cha nyoka.
I will reply even before they ask me. While they are still speaking, I will answer them!
25 Hawataumiza tena wala kuharibujuu ya mlima wangu mtakatifu,'' asema Yahwe.
The wolf and the lamb will eat together. The lion will eat straw like the ox. The snakes will eat dust. Nothing will cause any harm or damage anywhere on my holy mountain, for the earth will be full of the knowledge of the Lord in the same way that water fills the sea.

< Isaya 65 >