< Isaya 60 >

1 Nyanyuka, uangaze; maana mwanga wako umekuja, na utukufu wa Yahwe umekuja kwako.
Lève-toi, reçois la lumière, Jérusalem, parce qu’est venue ta lumière, et que la gloire du Seigneur sur toi s’est levée.
2 Japokuwa giza litatanda katika nchi, na giza nene katika mataifa; Lakini Yahwe atakuja juu yenu, na utukufu wake utaonekana kwenu.
Parce que voilà que les ténèbres couvriront la terre, et une obscurité, les peuples; mais sur toi se lèvera le Seigneur, et sa gloire en toi se verra.
3 Mataifa yatakuja kwenye mwanga wako, na wafalme katika mwanga wako mkali uliokuja
Et des nations marcheront à ta lumière, et des rois à la splendeur de ton lever.
4 Tazama na angalia pande zote. Wamekusanyika wao wenyewe kwa pamoja na wanakuja kwako. Watoto wako watatoka mbali, na binti zao watabebwa katika mikono yenu.
Lève autour de toi tes yeux et vois; tous ceux-ci se sont rassemblés, ils sont venus à toi; tes fils de loin viendront, et tes filles à ton côté se lèveront.
5 Halafu wataangalia na kuwa furaha, na moyo wako utafurahia na kufurika, maana wingi wa maji utamwagwa juu yenu, utajiri wa mataifa utakuja kwenu.
Alors tu verras, et tu seras dans l’abondance; ton cœur admirera, et se dilatera, quand se sera tournée vers toi la richesse de la mer, et que la force des nations sera venue à toi.
6 Msafara wa ngamia utawafunika ninyi, na ngamia wa Midiani na Efa; wote watakuja kutoka Sheba; wataleta dhahabu na ubani, wataimba sifa kwa Yahwe.
Une inondation de chameaux te couvrira ainsi que les dromadaires de Madian et d’Epha; tous viendront de Saba, apportant de l’or et de l’encens, et publiant des louanges en l’honneur du Seigneur.
7 Makundi yote ya Kedari yatakusanika kwa pamoja kwako, kondoo wa Nebaioti watabeba mahitaji yako; watakubalika kutolewa sadaka katika madhebau yangu; na nitaitukuza nyumba yangu takatifu.
Tout troupeau de Cédar sera rassemblé pour toi, les béliers de Nabaïoth seront employés à ton service; ils seront offerts sur mon autel d’expiation, et je glorifierai la maison de ma majesté.
8 Ni nani hawa wanopaa wenyewe kama mawingu, na kama njiwa kwenye makazi yao?
Qui sont ceux-ci qui volent comme des nuées, et comme des colombes vers leurs demeures?
9 Pwani itanitafuta mimi, na meli ya Tarshishi huwaongoza, huwaleta watoto wenu kutoka mbali, pamoja na fedha zao na dhahabu zao, maana jina la Yahwe Mungu wenu, na Mtakatifu wa Israeli, maana amekuheshimu wewe.
Car les îles m’attendent, ainsi que les vaisseaux de mer, dès le principe, afin que je fasse venir tes fils de loin, leur or et leur argent avec eux, et les consacre au nom du Seigneur ton Dieu et au saint d’Israël, parce qu’il t’a glorifiée.
10 Watoto wa wageni watajenga tena kuta zenu, n awafalme wao watawatumikia ninyi; japo katika laana yangu nimewaadhibu ninyi, lakini kwa neema yangu nitawahurumia ninyi.
Et les fils des étrangers bâtiront des murs, et leurs rois te serviront; car dans mon indignation je t’ai frappée, et par ma réconciliation j’ai eu pitié de toi.
11 Milango yenu itaendelea kuwa wazi; haitafungwa mchana au usiku, hivyo utajiri wa mataifa ili uweze kuletwa, pamoja na viongozi wanowaongoza.
Et tes portes seront ouvertes continuellement; ni jour ni nuit elles ne seront fermées, afin que te soit apportée la force des nations, et que leurs rois te soient amenés.
12 Kweli, mataifa na falme ambayo hayatakutumikia wewe yatatoweka; mataifa hayo yataangamizwa kabisa.
Car la nation et le royaume qui ne te sera pas assujetti, périra; ces nations réduites en solitude seront dévastées.
13 Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako, mti wa msonobari, mtidhari, pamoja na msonobari ili kupamba madhebau yangu; na Nitalitukuza eneo la miguu yangu.
La gloire du Liban vers toi viendra; le sapin, et le buis, et le pin serviront ensemble à orner le lieu de ma sanctification; et la place de mes pieds, je la glorifierai.
14 Watakuja kwako kukusujudia wewe, watoto wa wale wanaokunyenyekea wewe; wataisujudia miguu yako; watakuita wewe mji wa Yahwe, sayani ya Mtakatifu wa Israeli.
Et ils viendront vers toi, les fils de ceux qui t’ont humiliée, et ils adoreront les traces de tes pieds, tous ceux qui te décriaient, et ils t’appelleront la cité du Seigneur, la Sion du saint d’Israël.
15 Badala yake uwepo wenu umetelekezwa na kuchukiwa, kwa kuwa hakuna hata mmoja anayepita ndani yenu, nitawafanya kuwa kitu cha kiburi milele, furaha kutoka kizazi hata kizazi.
Parce que tu as été délaissée et haïe, et qu’il n’y avait personne qui te traversât, je t’établirai l’orgueil des siècles, et la joie pour toutes les générations.
16 Pia utakunywa maziwa ya mataifa, utatunzwa katika kifua cha wafalme; utajua kwamba Mimi Yahwe, Mimi ni mwokozi na mkombozi wenu, aliye Mkuu wa Israeli.
Et tu suceras le lait des nations, et de la mamelle des rois tu seras nourrie; et tu sauras que je suis le Seigneur qui te sauve, et ton rédempteur le fort de Jacob.
17 Badala ya shaba Nitaleta dhahabu, badaia ya chuma nitaleta fedha; badala ya mbao, shabana badala ya jiwe, chuma. Nitachagua amani kwa kiongozi wenu, na haki kiongozi wenu.
Au lieu d’airain j’apporterai de l’or, et au lieu de fer j’apporterai de l’argent; et au lieu de bois, de l’airain, et au lieu de pierre, du fer; je te donnerai pour gouvernement la paix, et pour préposés, la justice.
18 Vurugu hazitasikika katika aridhi yenu, uharibifu wala uvunjaji katika mipaka yenu; lakini mtaita kuta zenu wokovu, na malngo yenu mtayaita sifa.
On n’entendra plus parler d’iniquité dans ta terre, de ravage et de destruction dans tes confins; et le salut occupera tes murs, et la louange tes portes.
19 Jua halitakuwa mwanga wenu wakati wa mchana, wala mwanga wa mwenzi wakati wa usiku hautawawakia ninyi; Lakini Yahwe atakuwa mwanga wenu wa milele, na Mungu wenu na utukufu wenu.
Tu n’auras plus le soleil pour éclairer pendant le jour, et la clarté de la lune ne luira pas sur toi; mais le Seigneur sera ta lumière éternelle, et ton Dieu ta gloire.
20 Jua lenu halitakuewepo wala mweni utaondoshwa na kutoweka; maana Yahwe atakuwa mwanga wenu daima, na siku za maombolezo zitakwisha.
Ton soleil ne se couchera plus, et ta lune ne diminuera pas; parce que le Seigneur sera ta lumière éternelle, et que les jours de ton deuil seront finis.
21 Watu wako wote watakuwa wenye haki; watachukuwa urithi wa nchi kwa mda wote, tawi la mazao yangu, kazi ya mikono yangu, ili niweze kuitukuza.
Quant à ton peuple, tous seront justes; pour toujours ils posséderont la terre en héritage; il sera le rejeton de ma plantation, l’œuvre de ma main pour me glorifier.
22 Mtoto atakuwa maelfu, na mdogo atakuwa taifa la wenye nguvu; Mimi Yahwe Nitayatimiza hayo mda utakapowadia.
Le moindre de tes citoyens en produira mille, et le plus petit une nation très puissante; moi le Seigneur, en son temps je ferai soudain cela.

< Isaya 60 >