< Isaya 51 >

1 Nisikilizeni mimi, enyi mtendao haki, enyi mtafutaye Yahwe: Tazama katika mwamba uliouchonga nakuchimba kutoka pale ulipopakata.
ای پیروان عدالت و طالبان خداوند مرابشنوید! به صخره‌ای که از آن قطع گشته و به حفره چاهی که از آن کنده شده‌اید نظرکنید.۱
2 Mtazameni Ibrahimu, baba yenu, na Sara, aliyewazaa ninyi; maan alipokuwa na upweke yeye mwenyewe, Nilimuita yeye. Nikambariki yeye na kumfanya yeye kuwa wengi.
به پدر خود ابراهیم و به ساره که شما رازایید نظر نمایید زیرا او یک نفر بود حینی که او رادعوت نمودم و او را برکت داده، کثیر گردانیدم.۲
3 Ndio, Yahwe ataifariji Sayuni; Ataifariji miji yake yote iliyo na ukiwa; jangwa lake atalifanya kama Edeni, na jangwa lililo wazi pembeni ya bonde la mto Yordani kama bustani ya Yahwe; Furaha na shangwe vitakuwa kwake, shukrani, na sauti ya kuimba.
به تحقیق خداوند صهیون را تسلی داده، تمامی خرابه هایش را تسلی بخشیده است و بیابان او رامثل عدن و هامون او را مانند جنت خداوندساخته است. خوشی و شادی در آن یافت می‌شود و تسبیح و آواز ترنم.۳
4 ''Kuwa makini kwangu, watu wangu; na nisikilizeni mimi, watu wangu! Maana nitatoa amri, na nitaifanya haki yangu kuwa sheria ya mataifa.
‌ای قوم من به من توجه نمایید و‌ای طایفه من به من گوش دهید. زیرا که شریعت از نزد من صادرمی شود و داوری خود را برقرار می‌کنم تا قوم هارا روشنایی بشود.۴
5 Haki yangu ipo karibu; wokovu wangu utaenda nje, na mikono yangu itahihukumu mataifa; Pwani itanisubiri mimi; maana wanashauku ya kuhusubiria mkono wangu.
عدالت من نزدیک است ونجات من ظاهر شده، بازوی من قوم‌ها را داوری خواهد نمود و جزیره‌ها منتظر من شده، به بازوی من اعتماد خواهند کرد.۵
6 Nyanyueni macho yanu juu angani, na tazama nchi chini, maana mbingu zitatoweka mbali kama moshi, na nchi itachakaa kama vazi, na wenyeji wake watakufa kama inzi. Lakini wokovu wangu utaendelea daima, na haki yangu haitaacha kutenda kazi.
چشمان خود را بسوی آسمان برافرازید و پایین بسوی زمین نظر کنیدزیرا که آسمان مثل دود از هم خواهد پاشید وزمین مثل جامه مندرس خواهد گردید وساکنانش همچنین خواهند مرد اما نجات من تا به ابد خواهد ماند و عدالت من زایل نخواهد گردید.۶
7 Nisikizeni mimi, enyi mnaotambua ukweli, enyi watu wangu mliobeba sheria yangu katika mioyo yenu: Msiogope matusi ya watu, wala kukatishwa tamaa na unyanyasaji wao.
‌ای شما که عدالت را می‌شناسید! و‌ای قومی که شریعت من در دل شما است! مرابشنوید. از مذمت مردمان مترسید و از دشنام ایشان هراسان مشوید.۷
8 Maana Nonda watawala wao kama vazi, na minyoo itawala wao kama sufu; lakini haki yangu itakwa daima, na wokovu wangu katika vizazi vyote.''
زیرا که بید ایشان را مثل جامه خواهد زد و کرم ایشان را مثل پشم خواهدخورد اما عدالت من تا ابدالاباد و نجات من نسلابعد نسل باقی خواهد ماند.۸
9 Amka, amka, jivishe wewe mwenyewe kwa nguvu, mkono wa Yahwe. Amka kama siku za zamani, kizazi cha nyaktii za kale, Je sio wewe uliyeangamiza mnyama wa baharini, na uliyemchoma joka?
بیدار شو‌ای بازوی خداوند بیدار شو و خویشتن را با قوت ملبس ساز. مثل ایام قدیم و دوره های سلف بیدار شو. آیا تو آن نیستی که رهب را قطع نموده، اژدها رامجروح ساختی.۹
10 Je haukukausha bahari, maji ya kina kirefu, na kufanya kina cha bahari kuwa nija ya ukombozi kupita?
آیا تو آن نیستی که دریا وآبهای لجه عظیم را خشک کردی و عمق های دریا را راه ساختی تا فدیه شدگان عبور نمایند؟۱۰
11 Fidia ya Yahwe itarudi na kwenda Sayuni kwa kilio cha furaha na furaha ya milele itakuwa katika vichwa vyao, na huzuni na kuomboleza vitatoweka mbali.
و فدیه شدگان خداوند بازگشت نموده، با ترنم به صهیون خواهند آمد و خوشی جاودانی بر سرایشان خواهد بود و شادمانی و خوشی را خواهندیافت و غم و ناله فرار خواهد کرد.۱۱
12 ''Mimi, mimi ndiye niwapae faraja. Kwa nini uwaogope watu, ambao wanakufa, watatoto wa wanadamu, waliofanywa kama majani?
من هستم، من که شما را تسلی می‌دهم. پس تو کیستی که از انسانی که می‌میرد می‌ترسی و ازپسر آدم که مثل گیاه خواهد گردید.۱۲
13 Kwa nini umemsahau Yahwe Muumba, yeye azinyooshayembingu na kuweka misingi ya nchi? Nyie ambao mna hofu za mara kwa mara kila siku kwa sababu ya hasira ya moto ya wanyanyasaji anapo fanya maamuzi ya kuangamiza. Iko wapi hasira ya wanyanyasaji?
و خداوندرا که آفریننده تو است که آسمانها را گسترانید وبنیاد زمین را نهاد فراموش کرده‌ای و دائم تمامی روز از خشم ستمکار وقتی که به جهت هلاک کردن مهیا می‌شود می‌ترسی. و خشم ستمکارکجا است؟۱۳
14 Yeye aliyeinama chini, Yahwe atafanya haraka kumuachia; hatakufa wala kwenda chini katika shimo, wala hatakosa mkate.
اسیران ذلیل بزودی رها خواهندشد و در حفره نخواهند مرد و نان ایشان کم نخواهد شد.۱۴
15 Maana Yahwe Mungu wenu, anaye ifanya bahari itembee, hivyo mawimbi yake yavume kwa kishindo- Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
زیرا من یهوه خدای تو هستم که دریا را به تلاطم می‌آورم تا امواجش نعره زنند، یهوه صبایوت اسم من است.۱۵
16 Niweka maneno yangu mdomoni mwako, na nimekufunika wewe kwa kivuli cha mkono wangu, ili niweze kupanda mbingu, kuweka misingi ya nchi, na kutamkia Sayuni, 'ninyi ni watu wangu.''
و من کلام خود رادر دهان تو گذاشتم و تو را زیر سایه دست خویش پنهان کردم تا آسمانها غرس نمایم و بنیادزمینی نهم و صهیون را گویم که تو قوم من هستی.۱۶
17 Amka, amka, simama juu, Yerusalemu, ewe unyweae katika kikombe cha hasira ya Yahwe kutoka mkononi mwako; umekunjwa katika kikombe, kikombe cha mateso, na umekunjwa na kumaliza.
خویشتن را برانگیز‌ای اورشلیم! خویشتن را برانگیخته، برخیز! ای که از دست خداوندکاسه غضب او را نوشیدی و درد کاسه سرگیجی را نوشیده، آن را تا ته آشامیدی.۱۷
18 Hakuna hata mmoja miongoni mwa watoto aliyewazaa wa kumuongoza yeye; hakuna hata mmoja miongoni mwa wote aliyewalea wa kumshika mkono wake.
از جمیع پسرانی که زاییده است یکی نیست که او رارهبری کند و از تمامی پسرانی که تربیت نموده، کسی نیست که او را دستگیری نماید.۱۸
19 Shida hizi mbili ziliwatokea ninyi- ni nani atahuzunika pamja nanyi? - ukiwa na uharibifu, na njaa na upanga. Ni nani atakayekufariji wewe?
این دوبلا بر تو عارض خواهد شد، کیست که برای توماتم کند؟ یعنی خرابی و هلاکت و قحط وشمشیر، پس چگونه تو را تسلی دهم.۱۹
20 Watoto wako walizimia; walilala kila kona ya mtaa, kama swala kwenye mtego; Wamejawa na hasira ya Yahwe, Laana ya Mungu wako.
پسران تو را ضعف گرفته، بسر همه کوچه‌ها مثل آهو دردام خوابیده‌اند. و ایشان از غضب خداوند و ازعتاب خدای تو مملو شده‌اند.۲۰
21 Lakini sasa sikiliza hili, ewe uliodhulumiwa na kulewa, lakini sio kwa mvinyo:
پس‌ای زحمت کشیده این را بشنو! و‌ای مست شده اما نه ازشراب!۲۱
22 Bwana wenu Yahwe Mungu, anayewasihi watu wake, asema hivi, ''Tazama, Nimechukua kikombe cha ukubwa mkononi mwako- ukubwa wa kikombe cha hasira yangu - ili usiweze kunjwa tena.
خداوند تو یهوه و خدای تو که دردعوی قوم خود ایستادگی می‌کند چنین می‌گوید: اینک کاسه سرگیجی را و درد کاسه غضب خویش را از تو خواهم گرفت و آن را بار دیگرنخواهی آشامید.۲۲
23 Nitakuweka kwenye mikono ya watesaji, wale waliokuambia wewe, Lala chini, ili tutembee juu yako'; wameufanya mgongo wako kama uwanjwa na kama wao wa.''
و آن را به‌دست آنانی که برتو ستم می‌نمایند می‌گذارم که به‌جان تومی گویند: خم شو تا از تو بگذریم و تو پشت خودرا مثل زمین و مثل کوچه به جهت راه گذریان گذاشته‌ای.۲۳

< Isaya 51 >