< Isaya 25 >
1 Yahwe wewe ni Mungu wangu; nitakutukuza wewe, nitalisifu jina lako; maana umetenda matendo ya ajabu, mambo uliyoyapanga toka zamaini, kwa uaminifu na ukamilifu.
Yahvé, tu es mon Dieu. Je t'exalte! Je louerai ton nom, car tu as fait des choses merveilleuses, des choses prévues depuis longtemps, en toute fidélité et vérité.
2 Maana umeufanya mji kuwa chungu, ngome ya mji, uharibifu na ngome ya wageni kuwa si mji.
Car tu as fait d'une ville un monceau, d'une ville fortifiée une ruine, d'un palais d'étrangers une ville qui n'existe plus. Elle ne sera jamais bâtie.
3 Hivyo basi watu wenye nguvu watakutukuza wewe; na mji waishio watu wasio na ukatili watakuogopa wewe.
C'est pourquoi un peuple fort te glorifiera. Une ville de nations puissantes te craindra.
4 Maana umekuwa katika eneo salama kwa aliye masikni, makazi kwa mhitaji ambaye yuko kwenye dhiki- makazi kwa aliyeko kwenye dhoruba na kivuli kwa aliyeko kwenye jua. Pale punzi ya watu wakatili imekuwa kama dhoruba dhidi ya ukuta,
Car tu as été un refuge pour le pauvre, une forteresse pour l'indigent dans sa détresse, un abri contre la tempête, une ombre contre la chaleur, quand le souffle des redoutables est comme une tempête contre la muraille.
5 na jua kwenye aridhi kavu, na watazuia kelele za wageni, kama vile jua linavyozuiliwa na kivuli cha mawingu, hivyo basi nyimbo wasio na makosa zimejibiwa.
Comme la chaleur d'un lieu sec, tu feras tomber le bruit des étrangers; comme la chaleur à l'ombre d'un nuage, tu feras tomber le chant des redoutables.
6 Katika mlima huu Yahwe wa majeshi atafanya kwa watu sikukuu ya ya vitu vilivyonona, na mvinyo uliochaguliwa, zabuni ya nyama na sikuku juu ya sira.
Dans cette montagne, l'Éternel des armées fera à tous les peuples un festin de viandes de choix, un festin de vins de choix, de viandes de choix pleines de mœlle, de vins de choix bien raffinés.
7 Na katika mlima huu atauharibu mfuniko uliowekwa juu watu wote, na mtandao wa kusuka juu ya mataifa.
Il détruira dans cette montagne la surface de la couverture qui recouvre tous les peuples, et le voile qui s'étend sur toutes les nations.
8 Atameza kifo daima, na Bwana Yahwe atayafuta machozi katika nyuso zetu; na aibu ya watu wake itatupwa mbali kutoka duniani kote, maana Yahwe amesema hivyo.
Il a englouti la mort pour toujours! Le Seigneur Yahvé essuiera les larmes de tous les visages. Il enlèvera l'opprobre de son peuple de toute la terre, car Yahvé l'a dit.
9 Yatazungumzwa katika siku hiyo, ''Huyu ni Mungu wetu; na tunayemngoja, na atatuokoa. Huyu ni Yahwe; tuliyemngoja, tutafurahia na kushangilia wokovu wake.''
En ce jour-là, on dira: « Voici notre Dieu! Nous l'avons attendu, et il nous a sauvés! C'est Yahvé! Nous l'avons attendu. Nous nous réjouirons et nous nous réjouirons de son salut! »
10 Maana katika mlima huu mkono wa Bwana utashuka; na Moabu itakanyagwakangwa chini kwenye eneo lake, na hata majani yatakanyagwakanyagwa chini katika shimo lililojaa mbolea.
Car la main de Yahvé s'arrêtera sur cette montagne. Moab sera foulé à sa place, comme on foule la paille dans l'eau du fumier.
11 Wataitawnya mikono yao katikati yao, kama vile mpiga mbizi atawanyavyo mikono yake wakati akipiga mbizi. Lakini Bwana atashusha kiburi chao chini japo kuwa na ujuzi katika mikono yao.
Il étendra ses mains au milieu d'elle, comme celui qui nage étend ses mains pour nager, mais son orgueil sera humilié avec l'art de ses mains.
12 Na ataiangusha chini kwenye aridhi kuta za ngome, kwenye mavumbi.
Il a abattu la haute forteresse de tes murs, il l'a abaissée, il l'a ramenée à terre, jusqu'à la poussière.