< Isaya 15 >

1 Tamko kuhusu Moabu, Kweli, kwa usiku mmoja Ari ya Moabu imeharibiwa kabisa na kuangamizwa; kweli, kwa usiku mmoja Kira ya Moabu itaharibiwa na kuangamizwa.
Oracle sur Moab. Oui, dans la nuit où elle a été saccagée, Ar-Moab a été ruinée! Dans la nuit où elle a été saccagée, Kir-Moab a été ruinée!
2 Wamenda juu hekaluni, watu wa Diboni wamenda juu kuomboleza; Moabu wanaomboleza juu ya Nebo na juu ya madeba. Vichwa vyao vimenyolewa viko wazi na na ndevu zao zimenyolewa.
On monte au temple de Chamos et à Dibon, aux hauts-lieux, pour pleurer; sur Nebo et Médéba, Moab se lamente, Toute tête est rasée, toute barbe est coupée.
3 Wamevaa nguo za magunia katka mitaa yao; juu ya dari zao na kila kona ya mitaa yao, kuyeyuka kwa kumwaga machozi.
Dans ses rues, ils se revêtent de sacs; sur ses toits et sur ses places publiques; tous poussent des hurlements, fondent en larmes.
4 Hishiboni na Elealehi wanalia wakihitaji msaada; Sauti zao zinasikika mpaka Jahazi. Hivyo basi vijana wa vita wa Moabu wanalia wakihitaji msaada; wanatetemeka wao wenyewe.
Hésebon et Eléalé jettent des cris; on entend leur voix jusqu’à Jahas. C’est pourquoi les guerriers de Moab se lamentent, et son âme est tremblante.
5 Moyo wangu unalia juu ya Moabu; watuhumiwa wamekimbilia Zoari na Elgathi Shelishiyahi. Wanapaa juu ya Luhithi wakilia; katika barabara ya kwenda Horonaimu wanapiga kelele ole juu ya uharibifu.
Mon cœur gémit sur Moab; ses défenseurs sont déjà à Ségor, à Eglath-Schelischiah. Oui, la montée de Luhith, on la gravit en pleurant; et sur le chemin de Horonaïm, on pousse des cris de détresse.
6 Maji ya Nimrimu yamekauka; majani yamepooza na majani yanyochikia yanakufa; hakuna ukijani hata kidogo.
Car les eaux de Nimrim sont taries, l’herbe est desséchée, le gazon est détruit, il n’y a plus de verdure.
7 Hivyo basi vitu vingi vimekuwa na hifadhi wameipeleka juu ya kijito maarufu.
Ce qu’ils ont pu sauver et leurs provisions, ils les transportent au delà du torrent des Saules.
8 Kilio kimezunguka katika himaya ya Moabu; malalamiko yamefika hata Eglaimu na Beer-Elimu.
Car les cris ont fait le tour du territoire de Moab; ses hurlements retentissent jusqu’à Eglaïm, ses hurlements jusqu’à Béer-Elim;
9 Maana maji ya Dimoni imejaa damu; Simba atawavamia wale waliokimbia kutoka Moabu pia na walbakia katika nchi.
car les eaux de Dimon sont pleines de sang. Car je ferai venir sur Dimon un surcroît de malheur, un lion aux réchappés de Moab, à ce qui sera resté dans le pays.

< Isaya 15 >