< Ezekieli 7 >

1 Neno la Yahwe likanijia, likisema,
Poleg tega je prišla k meni Gospodova beseda, rekoč:
2 Wewe, mwanadamu-Bwana Yahwe asema hivi kwa nchi ya Israeli.”'Mwisho! Mwisho umekuja kwenye mipaka minne ya nchi.
»Tudi ti, človeški sin, tako govori Gospod Bog Izraelovi deželi: ›Konec, konec je prišel nad štiri vogale dežele.
3 Sasa mwisho uko juu yako, kwa kuwa natuma ghadhabu yangu juu yako, nitakuhukumu kulingana na njia zako; nitaleta machukizo yako yote juu yako.
Sedaj je nadte prišel konec in nadte bom poslal svojo jezo in sodil te bom glede na tvoje poti in na tebi bom poplačal vse tvoje ogabnosti.
4 Kwa kuwa macho yangu hayatakuhurumia, na sitakuharibu. Badala yake, nitaleta njia zako zote juu yako, na machukizo yako yote yatakuwa katikati yako, hivyo utajua kwamba mimi ni Yahwe.
Moje oko ti ne bo prizaneslo niti ne bom imel usmiljenja, temveč bom na tebi poplačal tvoje poti in tvoje ogabnosti bodo v tvoji sredi in spoznali boste, da jaz sem Gospod.‹
5 Bwana Yahwe asema hivi: Msiba! Msiba wa pekee! Tazama, unakuja.
Tako govori Gospod Bog: ›Zlo, samo zlo, glej, je prišlo.
6 Mwisho unakuja hakika. Mwisho umeamsha dhidi yenu. Tazama! unakuja!
Konec je prišel, prišel je konec. Ta opreza za teboj, glej, ta je prišel.
7 Kifo chako kinakuja kwako ukaaye kwenye nchi. Mda umefika; siku ya uharibifu iko karibu, na milima haitakuwa na shangwe tena.
Jutro je prišlo k tebi, oh ti, ki prebivaš v deželi. Čas je prišel, dan stiske je blizu, ne pa ponovno oglašanje gora.
8 Sasa baada ya mda mfupi nitamwaga dhahabu yangu juu yako na kujaza hasira yangu juu yako wakati nitakapokuhukumu kulingana na njia zako na kuleta machukizo yako yote juu yako.
Nate bom sedaj v kratkem izlil svojo razjarjenost in dovršil svojo jezo nad teboj. Sodil te bom glede na tvoje poti in poplačal ti bom za vse tvoje ogabnosti.
9 Kwa kuwa jicho langu halitaona kwa huruma, sitakuharibu, kama ulivyofanya, nitafanya kwako; na machukizo yako yatakuwa katikati yako hivyo utajua kwamba ni mimi Yahwe, anayekuadhibu.
Moje oko ne bo prizaneslo niti ne bom imel usmiljenja. Poplačal ti bom glede na tvoje poti in tvoje ogabnosti, ki so sredi tebe in spoznali boste, da jaz sem Gospod, ki udarja.
10 Tazama, siku! Tazama, inakuja! Kifo kimetoka! fimbo ya kuadhibia imechanua, kiburi kimechipua!
Glej dan, glej, prišel je. Jutro je prešlo, palica je zacvetela, ponos je vzbrstel.
11 Udhalimu umekua kwenye fimbo ya udhaifu-hakuna kati yao, na hakuna katika ya kundi lao, hakuna katika utajiri wao, na hakuna wa muhimu wao atakaye baki!
Nasilje se vzdiguje v palico zlobnosti. Nihče izmed njih ne bo preostal, niti od njihove množice, niti od ničesar, kar je njihovega; niti za njimi ne bo tarnanja.
12 Muda unakuja; siku imekaribia. Usimuache anayenunua shangwe, wala asihuzunike auzaye, kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kikundi kizima!
Čas je prišel, dan se približuje. Naj se kupec ne veseli niti naj prodajalec ne žaluje, kajti bes je nad vso njegovo množico.
13 Kwa kuwa muuzaji hatarudia kile kilichouzwa, kadiri wanapoendelea kuishi, kwa kuwa maono yako juu yako kikundi kizima. Hawatarudi, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi kwenye dhambi atakayejitia nguvu!
Kajti prodajalec se ne bo vrnil k temu, kar je prodano, čeprav bi bili še živi, kajti videnje je glede vse njegove množice, ki se ne bo vrnila; niti se ne bo kdorkoli okrepil v krivičnosti svojega življenja.
14 Wamepiga tarumbeta na kufanya kila kitu tayari, lakini hakuna mtu anayeenda kupigana; kwa kuwa hasira yangu iko juu ya kundi zima.
Zatrobili so na trobento, celo da bi se vsi pripravili, toda nihče ne gre v bitko, kajti moj bes je nad vso njihovo množico.
15 Upanga uko nje, na tauni na njaa viko nje kwenye jengo. Wale walioko shambani watakufa kwa upanga, wakati njaa na tauni zitakapowala wale waliopo kwenye mji.
Meč je zunaj, znotraj pa kužna bolezen in lakota. Kdor je na polju, bo umrl z mečem, kdor pa je v mestu, ga bosta požrla lakota in kužna bolezen.
16 Lakini watakao salia watatoroka kutoka miongoni mwao, na watakwenda kwenye milima. Kama hua wa mabondeni, wote watalia-kila mtu kwa ajili ya uovu wake.
Toda tisti izmed njih, ki pobegnejo, bodo pobegnili in bodo na gorah kakor dolinske golobice, vsi izmed njih žalujoči, vsakdo zaradi svoje krivičnosti.
17 Kila mkono utasita na kila goti litakuwa dhaifu kama maji, na watavaa nguo za magunia, na hofu kuu itawafunika,
Vse roke bodo slabotne in vsa kolena bodo šibka kakor voda.
18 na aibu itakuwa juu ya kila uso, na upara juu ya vichwa vyao vyote.
Prav tako se bodo opasali z vrečevino in groza jih bo pokrila. Sramota bo na vseh obrazih in plešavost na vseh njihovih glavah.
19 Watatupa fedha yao kwenye mitaa na dhahabu yao itakuwa kama jalala. Fedha yao na dhahabu yao haitaweza kuwaokoa katika siku ya ghadhabu ya Yahwe. Maisha yao hayataokolewa, na njaa yao haitashiba, kwa sababu uovu wao umekuwa kizuizi.
Svoje srebro bodo vrgli na ulice in njihovo zlato bo odstranjeno. Njihovo srebro in njihovo zlato jih ne bo moglo rešiti na dan Gospodovega besa. Ne bodo zadovoljili svojih duš niti napolnili svojih notranjosti, ker je le-to kamen spotike njihovi krivičnosti.
20 Kwenye fahari yao walichukua kito yake nzuri za mapambo, pamoja nao wakatengeza sanamu zao za vinyago, na vitu vyao vichukizavyo. Kwa hiyo, nayabadilisha haya kuwa kitu najisi kwao.
Kar se tiče lepote njegovega ornamenta, ga je postavil v veličanstvu, toda v njem so oni naredili podobe svojih ogabnosti in svojih ostudnih stvari, zatorej sem ga postavil daleč od njih.
21 Kisha nitawapatia hivyo vitu kwenye mikono ya wageni kama mateka na kwa waovu wa dunia kama mateka, na watapanajisi.
In dal sem ga v roke tujcem za plen in zlobnežem zemlje za ukradeno blago in oni ga bodo oskrunili.
22 Kisha nitaugeuza uso wangu mbali kutoka kwao watakapo najisi mahali pangu pa siri; maharamia wataingia humo na kupanajisi.
Tudi svoj obraz bom obrnil proč od njih in oskrunili bodo moj skrivni kraj, kajti roparji bodo vstopili vanj in ga omadeževali.
23 Tengeneza mnyororo, kwa sababu nchi imejaa hukumu ya damu, na mji umejaa udhalimu.
Naredi verigo, kajti dežela je polna krvoločnih zločinov in mesto je polno nasilja.
24 Hivyo nitaleta waovu wengi wa mataifa, na watamilki nyumba zao, na nitaleta mwisho kwenye fahari ya uweza, kwenda mahali pao patakatifu patanajisiwa!
Zatorej bom privedel najslabše izmed poganov in njihove hiše bodo vzeli v last. Prav tako bom storil, da bo pomp močnega prenehal in njihovi sveti kraji bodo omadeževani.
25 Hofu itakuja! Wataitafuta amani, lakini haitakuwepo.
Prihaja uničenje in iskali bodo miru, pa ga ne bo.
26 Majanga juu ya majanga yatakuja juu yangu, na kutakuwa na tetesi juu ya tetesi. Kisha watatafuta ono moja kutoka kwa nabii, lakini sheria itawaangamiza kutoka kwa kuhani na shauri kutoka kwa wazee.
Vragolija bo prišla na vragolijo in govorica na govorico, potem bodo iskali videnje od preroka, toda postava bo izginila od duhovnika in nasvet od starcev.
27 Mfalme ataomboleza na mwana wa mfalme atakata tamaa, wakati mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu. Kulingana na njia zao wenyewe nitafanya hivi kwao! Nitawahukumu sawa sawa na wanavyostahili hadi watakapojua yakwamba mimi ni Yahwe.'”
Kralj bo žaloval in princ bo oblečen z opustošenjem in roke ljudstva dežele bodo trepetale. Jaz jim bom storil po njihovi poti in glede na njihove zasluge jih bom sodil, in spoznali bodo, da jaz sem Gospod.‹«

< Ezekieli 7 >