< Ezekieli 43 >

1 Yule mtu kisha akanileta hata kwenye lango lililokuwa linaelekea mashariki.
Potom vedl mne k bráně, kterážto brána patřila k východu.
2 Tazama! Utukufu wa Mungu wa Israeli ukaja kutoka mashariki; sauti yake ilikuwa kama sauti ya maji mengi, na nchi iling'aa kwa utukufu wake.
A aj, sláva Boha Izraelského přicházela od východu, jejíž zvuk byl jako zvuk vod mnohých, a země svítila se od slávy jeho.
3 Yalikuwa yanalingana na sura ya ono nililolona, kulingana na ono nililokuwa nimeliona wakati alipokuja kuuteketeza mji, na maono yalikuwa kama maono ambayo niliyokuwa nimeyaona Keberi Kanali nikaanguka kifudi fudi.
A podobné bylo to vidění, kteréž jsem viděl, právě tomu vidění, kteréž jsem byl viděl, když jsem šel, abych kazil město, vidění, pravím, podobná vidění onomu, kteréž jsem viděl při řece Chebar. I padl jsem na tvář svou.
4 Hivyo utukufu wa Yahwe ukaja kwenye nyumba ya karibu na njia ya lango lililokuwa wazi kwa upande wa magharibi.
A když sláva Boží vcházela do domu, cestou brány patřící k východu,
5 Kisha Roho akanichukua na kunileta kwenye ua wa ndanni. Tazama! Utukufu wa Yahwe ulikuwa umeijaza nyumba.
Tedy pojal mne Duch, a uvedl mne do síně vnitřní, a aj, dům plný byl slávy Hospodinovy.
6 Mtu alisimama karibu na mimi, na nikamsikia mtu mwingine akizungumza na mimi kutoka kwenye nyumba.
I slyšel jsem, an mluví ke mně z domu, a muž stál podlé mne.
7 Akanambia, “Mwanadamu, hapa ndipo mahali pangu pa enzi na mahali kwa ajili ya ya miguu yangu, ambapo nitaishi kati ya watu wa Israeli milele. Nyumba ya Israeli haitalikufuru tena jina langu takatifu-wao au wafalme wao katika mahali patakatifu pao.
I řekl mi: Synu člověčí, místo stolice mé a místo šlepějí noh mých, kdežto bydliti budu u prostřed synů Izraelských na věky, a nebudou poškvrňovati více dům Izraelský jména svatosti mé, oni ani králové jejich smilstvím svým a mrtvými těly králů svých, ani výsostmi svými,
8 Hawatalikufuru tena jina langu takatifu kwa kuweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu, na nguzo yao ya lango karibu na nguzo yangu ya lango, bila kitu lakini ukuta kati yangu na wao. Wamelikufuru jina langu kwa matendo yao machafu, hivyo nimewala kwa hasira yangu.
Když kladli prah svůj podlé prahu mého, a veřeji svou podlé veřeje mé, a stěnu mezi mnou a mezi sebou, a tak poškvrňovali jména svatosti mé ohavnostmi svými, kteréž páchali, pročež jsem je sehltil v hněvě svém.
9 Sasa waache waondoe udanganyifu wao na maiti za wafalme wao kutoka kwangu, na nitaishi katikati yao milele.
Ale nyní vzdálí smilství svá i mrtvá těla králů svých, ode mne, a budu bydliti u prostřed nich na věky.
10 Mwanadamu, wewe mwenyewe utaiambia nyumba ya Israeli kuhusu nyumba hii hivyo watajiskia aibu ya uovu wao. Wanaweza kutafakari kuhusu haya maelezo.
Ty synu člověčí, oznam domu Izraelskému o tomto domu, a nechť se zahanbí pro nepravosti své, a ať změří všecko naskrze.
11 Kwa kuwa wameaibika kwa yote waliyoyafanya, kisha waonyeshe mchoro wa nyumba, maelezo yake, matokeo yake, maingio yake, na mchoro wake, sheria zake zote na kanuni. Kisha andika hivi chini mbele ya macho yao ili waweze kutunza michoro yote na kanuni zake zote, hivyo kama wazitiivo.
A když se hanbiti budou za všecko, což páchali, způsob domu i formu jeho, i vycházení jeho, též vcházení jeho, i všecky způsoby jeho, všecka ustanovení jeho, všecky, pravím, způsoby jeho i všecky zákony jeho v známost jim uveď, a napiš před očima jejich, ať ostříhají všeho způsobu jeho i všech ustanovení jeho a činí je.
12 Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba: Kutoka kwenye kilele cha mlima hata mpaka wote unaoizunguka, patakuwa patakatifu sana. Tazama! Hii ndiyo sheria kwa ajili ya nyumba.
Tento jest zákon toho domu: Na vrchu hory všecko obmezení jeho vůkol a vůkol, nejsvětějšíť jest. Aj, ten jest zákon toho domu.
13 Hivi vitakuwa vipimo vya madhabahu katika dhiraa-hiyo dhiraa kuwa dhiraa ya kawaida na urefu wa kiganja. Hivyo mfereji ulio uzunguka madhabahu utakuwa dhiraa moja chini, na upana wake pia utakuwa dhiraa moja. Mpaka wa karibu uizungukayo machinjio shubiri moja. Hii itakuwa kitako cha madhabahu.
Tyto pak jsou míry oltáře na též lokty, o dlaň delší: Předně zpodek lokte zvýší a lokte zšíří, obruba pak jeho při kraji jeho vůkol pídi jedné. Takový jest výstupek oltáře,
14 Usawa wa kutoka kwenye mferji hadi kwenye machinijo ya chini ya madhabahu itakuwa dhiraa mbili, na hiyo machinjio yenyewe itakuwa dhiraa moja upana. Kisha kutoka machinjio madogo hadi kwenye machinjio makubwa ya madhabahu, itakuwa dhiraa nne, na machinjio makubwa yatakuwa dhraa moja upana.
Totiž od zpodku při zemi až do přepásaní dolejšího dva lokty, širokost pak lokte jednoho, a od přepásání menšího až do přepásaní většího čtyři lokty, širokost též na loket.
15 Meko juu ya madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa ni dhiraa nne juu, na kuna pembe nne zilizoelekea juu kwenye meku.
Ale sám oltář ať jest čtyř loket, a z oltáře zhůru čtyři rohové.
16 Meku ina dhiraa kumi na moja urefu na dhiraa kumi na mbili upana, za mraba.
Oltář pak dvanácti loket zdélí a dvanácti zšíří, čtyřhranatý po čtyřech stranách svých.
17 Mpaka wake ni dhiraa kumi na nne urefu na dhiraa kumi na nne upana pande zake zote nne, na ukingo wake ni nusu dhiraa upana. Mfereji ni dhiraa moja upana kuzuka kote pamoja na ngazi zielekeazo mashariki.”
Přepásaní pak čtrnácti loket zdélí a čtrnácti zšíří po čtyřech stranách jeho, a obruba vůkol něho na půl lokte, a zpodek při něm na loket vůkol, a stupňové jeho naproti východu.
18 Kisha akanambia, “Mwanadamu, Bwana Yahwe asema hivi: Hizi ndizo sheria kwa ajili ya madhabahu katika siku watakayoitengeza, kwa ajili kutoa sadaka ya kuteketezwa kwenye hiyo, na kwa jili ya kunyunyiza damu juu yake.
I řekl ke mně: Synu člověčí, takto praví Panovník Hospodin: Ta jsou ustanovení oltáře v den, v kterýž bude udělán, k obětování na něm zápalů a kropení na něj krví.
19 Utatoa ng'ombe kutoka kwenye kundi kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya Walawi makuhani ambao ni uzao wa Zadoki, wale wajao karibu nami kunitumikia-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
Nebo dáš kněžím Levítským, kteříž jsou z semene Sádochova, kteříž přistupují ke mně, dí Panovník Hospodin, aby mi sloužili, volka mladého za hřích.
20 Kisha utachukua baadhi ya damu yake na kuiweka juu pembe nne za madhabahu na pande nne za machinjio na kuuzunguka ukingo; utaitakasa na kufanya upatanisho kwa ajili yake.
A nabera krve jeho, dáš na čtyři rohy jeho, i na čtyři úhly toho přepásaní, i na obrubu vůkol, a tak jej očistíš i vyčistíš.
21 Kisha chukua ng'ombe kama sadaka ya dhambi na iteketezwe katika eneneo lililotengwa la nje ya patakatifu.
A vezmeš toho volka za hřích, i spálí jej na místě uloženém v tom domě, vně před svatyní.
22 Kisha katika siku ya pili utatoa mbuzi dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini kama sadaka ya dhambi; makuhani wataisafisha madhabahu kama walivyoisafisha kwa ng'ombe.
V den pak druhý obětovati budeš kozla bez poškvrny za hřích, a očistí oltář, tak jakž vyčistili volkem.
23 Utakapomaliza kusafisha, toa ng'ombe asiyekuwa na dosari kutoka kwenye mifugo na kondoo dume asiyekuwa na dosari kutoka kundini.
A když dokonáš očišťování, obětuj volka mladého bez vady, a skopce z stáda bez poškvrny.
24 Watoe mbele ya Yahwe; makuhani watanyunyiza chumvi juu yao na kuwainua juu kama sadaka ya kutekezwa kwa Yahwe.
Kteréž když obětovati budeš před Hospodinem, uvrhou kněží na ně soli, a budou je obětovati v zápal Hospodinu.
25 Utaandaa mbuzi dume kama sadaka ya dhambi kila siku kwa mda wa siku saba, na makuhani pia wataandaa ng'ombe asiye na dosari kutoka kwenye kundi na kondoo dume kutoka kwenye kundi.
Po sedm dní obětuj kozla za hřích, na každý den; též i volka mladého a skopce z stáda bez poškvrny obětovati budou.
26 Wataipatanisha madhabahu kwa siku saba na kuitakasa, wataitakasa kwa njia hii.
Sedm dní očišťovati budou oltář, a vyčistí jej, a posvětí ruky své.
27 Watamaliza hizi siku saba, na katika siku ya nane na kuendelea itakuwa kwamba makuhani wataandaa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani kwenye madhabahu, ndipo nitakapowakubali-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
A když vyplní ty dny, osmého dne i potom obětovati budou kněží na oltáři zápaly vaše, a pokojné oběti vaše, i přijmu vás laskavě, praví Panovník Hospodin.

< Ezekieli 43 >