< Ezekieli 42 >
1 Kisha yule mtu akanituma kwenda ua wa nje upande wa kaskazini, akanileta kwenye vyumba mbele ya ua wa nje na ukuta wa nje kaskazini.
Et il me fit passer dans le parvis extérieur par la voie qui conduit à l’aquilon, et m’introduisit dans la chambre du trésor, qui était vis-à-vis de l’édifice séparé, et vis-à-vis de la maison tournée vers l’aquilon.
2 Hivyo vyumba vilikuwa dhiraa mia moja karibu na mbele yake na dhiraa hamsini upana.
Il mesura la face de la chambre; il y avait cent coudées de longueur depuis la porte de l’aquilon, et cinquante coudées de largeur,
3 Baadhi ya hivyo vyumba vilielekea ua wa ndani na vilikuwa na dhiraa ishirini kutoka patakatifu. Kulikuwa na vyumba vitatu vinavyolingana, na kingine juu kilichokuwa kimetazama chini kuelekea kingine vilikuwa vimefunguliwa, vilikuwa na pakutokea. Baadhi ya vyumba vilielekea nje kwenye ua wa nje.
Vis-à-vis des vingt coudées du parvis intérieur, et vis-à-vis du pavé de pierres du parvis extérieur, où était le portique joint au triple portique.
4 Njia dhiraa kumi upana dhiraa mia moja urefu kueleikea mbele ya vyumba. Milango ya vyumba ilikuwa mbele kaskazini.
Et devant les chambres du trésor, il y avait une allée de dix coudées de largeur, laquelle regardait du côté intérieur vers une voie d’une coudée; et leurs portes étaient vers l’aquilon,
5 Lakini kumbi za juu zilikuwa ndogo, kwa ajili ya njia za kutembea zilichukua kutoka kwazo sehemu kubwa kulikuwa walivyofanya kwenye vyumba vya chini na katikati usawa wa jengo.
Où ces chambres étaient plus basses par le haut, parce qu’elles étaient soutenues sur les portiques qui saillaient de l’étage d’en bas et de celui du milieu de l’édifice.
6 Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
Car il y avait trois étages, et elles n’avaient pas de colonnes, comme étaient les colonnes des parvis; à cause de cela elles s’élevaient de cinquante coudées de l’étage d’en bas et de celui du milieu à partir du sol.
7 Ukuta wa nje karibu na vyumba mbele ya ua wa nje, ua uliokuwa mbele ya vyumba. Huo ukuta ulikuwa dhiraa hamsini urefu.
Quant à l’enceinte extérieure, le long des chambres qui étaient dans la voie du parvis extérieur de devant ces chambres, sa longueur était de cinquante coudées.
8 Urefu wa vyumba vya ua wa nje ulikuwa dhiraa hamsini, na vyumba vilivyokuwa vimeelekea patakatifu vilikuwa dhiraa mia moja urefu.
Parce que la longueur de ce bâtiment des chambres du parvis extérieur était de cinquante coudées; et la longueur devant la face du temple, de cent coudées.
9 Kulikuwa na mahali pa kuingilia kwenye vyumba vidogo zaidi kutoka upande mashariki, kuingia kutoka ua wa nje.
Et il y avait sous ces chambres une entrée du côté de l’orient pour ceux qui y venaient du parvis extérieur.
10 Karibu na ukuta wa ua wa nje juu ya upande wa mgaribi pa ua wa ndani, mbele ya patakatifu pa ua wa nje, pia kulikuwa na vyumba na njia ya mbele yao.
Dans la largeur de l’enceinte du parvis qui était vis-à-vis de la voie de l’orient, vers la face de l’édifice séparé du temple, il y avait aussi devant cet édifice des chambres,
11 zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
Et une voie le long de ces chambres, semblable à celle des chambres qui étaient sur la voie de l’aquilon; comme était leur longueur, ainsi aussi était leur largeur, et toutes leurs entrées, leurs figures et leurs portes;
12 Kwa upande wa kusini kulikuwa na madirisha kwenye vyumba ambavyo vilikuwa kama yale yaliyokuwa upande wa kaskazini. Aya iliyokuwa ndani ilikuwa na mlango kwenye kichwa chake, na njia ilifunguliwa kwenye vyumba tafauti. Upande mashariki kulikuwa na malango wa njia kwenye njia mwishoni.
Comme étaient les portes des chambres qui étaient dans la voie regardant vers le midi, ainsi était une porte à la tête de la voie qui était devant le vestibule séparé, pour ceux qui entraient par la voie de l’orient.
13 Kisha yule mtu akanambia, “Vyumba vya kaskazini na vyumba vya kusini vilivyokuwa mbele ya ua wa nje ni vyumba vitakatifu amabapo makuhani wafanyao kazi karibu sana na Yahwe waweze kula chakula kitakatifu sana. Wataweka vitu vitakatifu sana-sadaka ya chakula, sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia-kwa kuwa hapa ni mahali patakatifu.
Et il me dit: Les chambres de l’aquilon et les chambres du midi, qui sont devant l’édifice séparé du temple, ce sont des chambres saintes, dans lesquelles mangent les prêtres qui approchent du Seigneur pour les choses très saintes; c’est là qu’ils mettront les choses très saintes, et l’oblation pour le péché et pour le délit; car le lieu est saint.
14 Wakati makuhani watakapoingia hapo, wasitoke nje ya mahali patakatifu kwa ua wa nje, bila kuweka mavazi karibu mahali wahudumupo, kwa kuwa hapa ni patakatifu. Hivyo watavalia mahali pengine nguo kabla ya kwenda karibu na watu.”
Or quand les prêtres seront entrés, ils ne sortiront point des lieux saints dans le parvis extérieur; et là ils déposeront leurs vêtements avec lesquels ils officient, parce qu’ils sont saints; et ils se revêtiront d’autres vêtements, et ils s’avanceront ainsi vers le peuple.
15 Yule mtu akamaliza kupima ndani ya nyumba na kisha akanichukua nje ya lango lililokuwa limeelekea magharibi na kuzipima sehemu zote zilizokuwa zimepazunguka hapo.
Et lorsqu’il eut achevé de mesurer la maison intérieure, il me fit sortir par la voie de la porte de l’orient, et il mesura tout autour.
16 Akaupima upande wa mashariki na fimbo ya kupimia-dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia.
Il mesura donc vis-à-vis le vent de l’orient avec la canne à mesurer; il y avait cinq cents cannes tout autour.
17 akaupima upande wa kaskazini-dhiraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Et il mesura vis-à-vis le vent de l’aquilon avec la canne à mesurer; il y avait cinq cents cannes tout autour.
18 Pia akaupima upande wa kusini dhraa mia tano na fimbo ya kupimia.
Et il mesura vers le vent du midi, avec la canne à mesurer; il y avait cinq cents cannes tout autour.
19 Pia akageuka na kuupima upande wa magharibi dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia,
Et il mesura vers le vent de l’occident; il y avait cinq cents cannes tout autour.
20 Akaipima pande nne. Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa mia tano urefu, na dhiraa mia tano upana, kulitenganisha umbo takatifu kutoka ambapo ni pa kawada.
Aux quatre vents il mesura son mur de toutes parts tout autour, il avait la longueur de cinq cents coudées, et la largeur de cinq cents coudées; mur qui séparait le sanctuaire du lieu destiné à la multitude.