< Ezekieli 26 >
1 Hivyo ilikuwa katika mwaka wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
In pripetilo se je v enajstem letu, na prvi dan meseca, da je prišla k meni Gospodova beseda, rekoč:
2 “Mwanadamu, kwa sababu Tiro amesema juu ya Yerusalemuu, 'Aha! Malango ya watu waliovunjika! Amenigeukia; Nitajazwa kwa sababu ameharibika.'
»Človeški sin, zato ker je Tir zoper [prestolnico] Jeruzalem rekel: ›Aha, zlomljena je tista, ki je bila velika vrata ljudstvom, obrnjena je k meni: ›Na novo bom napolnjena, ‹ sedaj je opustošena.‹
3 Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi, 'Tazama! Niko juu yako, Tiro, na nitayainua mataifa mengi juu yako kama bahari iiunuavyo mawimbi yake.
Zato tako govori Gospod Bog: ›Glej, jaz sem zoper tebe, oh Tir in povzročil bom, da bodo zoper tebe prišli številni narodi, kakor morje povzroči svojim valovom, da se vzdignejo gor.
4 Wataziharibu kuta za Tiro na kuiangusha chini minara yao. Nitafagia mavumbi yake mbali na kumfanya kama jiwe tupu.
In uničili bodo zidove Tira in porušili njegove stolpe. Prav tako bom iz njega postrgal prah in ga naredil podobnega vrhu skale.
5 Atakuwa sehemu ya kuwekea nyavu kati ya bahari, kwa kuwa nimesema hilo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-na atakuwa mateka kwa ajili ya mataifa.
To bo kraj za razprostiranje mrež sredi morja, kajti jaz sem to govoril, ‹ govori Gospod Bog: ›in bo postal plen narodom.
6 Binti zake walioko mashambani watachinjwa kwa panga, na watajua kwamba mimi ni Yahwe.'
In njegove hčere, ki so na polju, bodo umorjene z mečem; in spoznali bodo, da jaz sem Gospod.‹
7 Kwa kuwa hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo: Tazama, kutoka kaskazini namleta Nebukadreza mfalme wa Babeli, mfalme wa wafalme, dhidi ya Tiro, pamoja na farasi na magari ya farasi, na pamoja na waendesha farasi na watu wengi.
Kajti tako govori Gospod Bog: ›Poglej, nad Tir bom privedel babilonskega kralja Nebukadnezarja, kralja kraljev, iz severa, s konji in bojnimi vozovi in s konjeniki in skupinami in mnogo ljudstva.
8 Atawaua binti zako katika shamba. Ataweka kazi ya boma na kujenga ulaghai dhidi ya kuta zako na kuziinua ngao dhidi yao.
Na polju bo z mečem ubil tvoje hčere in naredil bo utrdbo zoper tebe in zoper tebe nasul nasip in zoper tebe vzdignil majhen ščit.
9 Ataweka vyombo vya kubomolea dhidi ya kuta zako, na vyombo vyake vitaanguka chini ya minara yako.
Svoje vojne stroje bo uperil zoper tvoje zidove in s svojimi sekirami bo porušil tvoje stolpe.
10 Farasi zake zitakuwa nyingi kwamba mavumbi yao yatawafunika. Kuta zako zitatikisika kwa mlio wa waendesha farasi, magurudumu, na magari ya farasi. Wakati atakapoingia malango yako, ataingia kama watu waingiavyo kwenye mji ambao kuta zimebomolewa.
Zaradi obilja njegovih konj te bo pokril njihov prah. Tvoji zidovi se bodo tresli ob hrupu konjenikov, koles in bojnih vozov, ko bo vstopil v tvoja velika vrata, kakor možje vstopijo v mesto, v katerem je narejena vrzel.
11 Kwato za farasi zake zitaikanyaga mitaa yako yote. Atawaua watu wako kwa upanga na nguzo za uweza wako zitaanguka chini.
S kopiti svojih konj bo pomendral vse tvoje ulice. Tvoje ljudstvo bo pobil z mečem in tvoje močne posadke bodo popadale na tla.
12 Watauteka nyara utajiri wako na bidhaa iliyoporwa. Watabomoa kuta zako na kuziharibu nyumba zako za kifahari. Mawe yako, mbao zako, na kokoto watazitupa kwenye maji.
Iz tvojih bogastev bodo naredili plen in zaplenili bodo tvoje trgovanje in porušili bodo tvoje zidove in uničili tvoje prijetne hiše in tvoje kamne, tvoj les in tvoj prah bodo pometali v sredo voda.
13 Nitaikomesha sauti ya nyimbo zako. Sauti ya vinubi haitasikika tena.
In povzročil bom, da bo hrup tvojih pesmi prenehal, in zvoka tvojih harf ne bo več slišati.
14 Nitakufanya jiwe tupu, utakuwa mahali ambapo nyavu zitasambazwa kuzikausha. Hutajengwa tena, kwa kuwa mimi, Bwana Yahwe nimesema-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
In naredil te bom kakor vrh skale. Ti boš kraj, na katerem se razprostirajo mreže; ne boš več pozidan, kajti jaz, Gospod, sem to govoril, ‹ govori Gospod Bog.
15 Bwana Yahwe amwambia hivi Tiro, 'Je visiwa havitatetemeka kwa mlio wa kuanguka kwako, na pamoja na watakaogumia kwa jeraha wakati machinjio mabaya yatakapokuwa kati yako?
Tako govori Gospod Bog Tiru: ›Mar se ne bodo otoki stresli ob zvoku tvojega padca, ko bodo ranjeni jokali, ko bo v tvoji sredi narejen pokol?
16 Kisha wakuu wote wa bahari watakaposhuka kutoka kwenye viti vyao vya enzi na kuvua mavazi yao rasmi na kutupa mavazi yaliyonakshiwa. Watavaa wenyewe kwa kutetemeka, wataketi chini na kutetemeka kila wakati, na wataogopa kwa sababu yako.
Potem bodo vsi morski princi stopili dol iz svojih prestolov in odložili svoja svečana oblačila in slekli svoje izvezene obleke. Oblekli se bodo s trepetanjem. Sedeli bodo na tleh in trepetali bodo vsak trenutek in osupli bodo nad teboj.
17 Watainua maombolezo juu yako na kukwambia, umekuwaje, uliyekuwa umekaliwa na manahodha wa meli, umeharibika. Mji mashuhuri ulikuwa imara sana-sasa umetoka kwenye bahari. Wale wanaoishi ndani yake wanaotia hofu kuhusu wenyewe juu ya kila mmoja aliyeishi karibu nao.
In zate bodo povzdignili žalostinko in ti rekli: ›Kako si uničen, ki si bil naseljen s pomorščaki, ugledno mesto, ki je bilo močno na morju, ono in njegovi prebivalci, ki so svoji strahoti povzročili, da je bila na vseh, ki so ga strašili!
18 Sasa fukwe zitatetemeka katika siku ya kuanguka kwako. Visiwa katika bahari vimeogofya, kwa sababu umekufa.'
Sedaj bodo otoki trepetali na dan tvojega padca; da, otoki, ki so na morju, bodo vznemirjeni ob tvojem odhodu.‹
19 Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: wakati nitakapokufanya wewe mji kuwa ukiwa, kama miji mingine ambayo haikaliwi, wakati nitakapoviinua vilindi dhidi yako, na wakati maji makuu yatakapokufunika,
Kajti tako govori Gospod Bog: ›Ko te bom naredil [za] zapuščeno mesto, podobno mestom, ki niso naseljena; ko bom nadte privedel globino in te bodo pokrile velike vode,
20 kisha nitakushusha chini kwenda kwa watu wa nyakati za zamani, kama wengingine walioenda chini kwenye shimo; kwa kuwa nitakufanya uishi katika falme za chini za dunia kama uharibifu wa nyakati za zamani. Kwa sababu hii hutarudi na kusimama katika nchi ya walio hai.
ko te bom privedel dol s tistimi, ki se spuščajo v jamo, z ljudstvom iz starih časov in te bodo postavili v spodnje kraje zemlje, na kraje, ki so zapuščeni od davnine, s tistimi, ki gredo dol do jame, da ne boš naseljen, in jaz bom postavil slavo v deželi živih;
21 Nitaweka janga juu yako, na hutakuwepo tena milele. Kisha utatafutwa, lakini hutapatikana milele tena-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
naredil te bom strahoto in tebe ne bo več. Čeprav te bodo iskali, vendar nikoli več ne boš najden, ‹ govori Gospod Bog.‹«