< Ezekieli 24 >

1 Neno la Yahwe likanijia katika mwaka wa nane mwezi wa kumi na siku ya kumi ya mwezi, kusema,
La parole de Yahweh me fut adressée la neuvième année, au dixième mois, le dix du mois, en ces termes:
2 “Mwanadamu, andika kwa ajili yako jina la hii siku, siku hii sahihi mfalme wa Babeli ameizingira Yerusalimu.
« Fils de l’homme, mets par écrit le nom de ce jour, de ce propre jour-ci: le roi de Babylone s’est jeté sur Jérusalem en ce jour même.
3 Basi nena mithali juu ya hii nyumba ya kuasi, fumbo moja. Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: weka sufuria ya kupikia. Iweke na weka maji kwenye hiyo.
Propose une parabole à la maison rebelle et dis-leur: Ainsi parle le Seigneur Yahweh: Dresse la chaudière, dresse- la et verses-y de l’eau.
4 Vikusanye vipande vya chakula ndani yake, kila kipande kizuri-paja na bega-na ijaze kwa mifupa bora.
Amasses-y ses morceaux, tous les bons morceaux, la cuisse et l’épaule, remplis- la des meilleurs os.
5 Chukua kundi bora na jaza mifupa chini yake. Ilete kuchemsha na ipike mifupa ndani yake.
Prends ce qu’il y a de mieux dans le troupeau, entasse aussi les os sous la chaudière; fais-la bouillir à gros bouillons, et que les os qui sont dedans cuisent aussi.
6 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao. Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na iacha mifupa iteketee.
C’est pourquoi ainsi parle le Seigneur Yahweh: Malheur à la ville de sang, chaudière dans laquelle il y a du vert-de-gris, et de laquelle le vert-de-gris n’est pas sorti! Vide-la morceaux par morceaux, sans tirer au sort.
7 Kwa kuwa damu iko kati yake. Ameiweka juu ya jiwe laini; hakuimwaga juu ya nchi kuifunika kwa mavumbi,
Car le sang qu’elle a versé est au milieu d’elle; elle l’a mis sur la roche nue; elle ne l’a pas répandu sur la terre, pour le couvrir de poussière.
8 hivyo inaleta hasira ya kulipa kisasi. Nimeweka damu yake juu ya jiwe laini ili isifunikwe.
Afin d’exciter le courroux, afin de tirer vengeance, j’ai fait verser le sang qu’elle a répandu sur la roche nue, pour qu’il ne fût pas couvert.
9 Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Ole kwa mji wa damu. Nitakiongeza chungu cha mbao.
C’est pourquoi ainsi parle le Seigneur Yahweh: Malheur à la ville de sang! Moi aussi, je dresserai un grand monceau de bois.
10 Weka kuni nyingi na washa moto. Pika nyama vizuri na changanya katika viungo na acha mifupa iteketee.
Amasse le bois, allume le feu, fais fondre la chair, fais bouillir la bouillie, et que les os soient consumés par le feu.
11 Kisha weka chungu kitupu juu ya mkaa, ili kuchemsha na kuchoma shaba yake, hivyo uchafu wake ndani yake itayeyushwa, kutu yake imekula.'
Puis pose la chaudière vide sur ses charbons, afin qu’elle s’échauffe, que son airain s’embrase et que sa souillure se fonde au milieu d’elle, que son vert-de-gris soit consumé.
12 Amechoka kwa sababu ya kazi ya taabu, lakini kutu yake haitoki kweke kwa moto.
Efforts inutiles! Sa masse de vert-de-gris ne s’en va pas, son vert-de-gris résiste au feu.
13 Tabia yako ya aibu iko ndani ya uchafu wako, kwa sababu nimekusafisha, lakini bado hutaweza kuwa msafi. Bado hutakuwa huru kutoka uchafu wako hadi hasira yako itakapotulia kutoka kwako.
Dans ta souillure il y a une énormité; puisque je t’ai purifiée et que tu n’es pas devenue pure, tu ne seras jamais plus purifiée de ta souillure, jusqu’à ce que j’aie fait reposer sur toi mon courroux.
14 Mimi, Yahwe, nimesema hili, na nitalifanya. Sintotulia wala kupumzika kwa ajili ya hili. Kama njia zako zilivyokuwa, na kama matendo yako, yatakuhukumu! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”
Moi, Yahweh, j’ai parlé; cela arrivera et je le ferai; je ne lâcherai point, je n’épargnerai point, je ne me repentirai point. On te jugera selon tes voies, et selon tes forfaits, — oracle du Seigneur Yahweh. »
15 Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
La parole de Yahweh me fut adressée en ces termes:
16 “mwanadamu! Tazama, ninachukua tamaa ya macho yako kutoka kwako pamoja na tauni, lakini hutaomboleza wala kulia, na machozi yako hayatatoka.
« Fils de l’homme, voici que je vais t’enlever par un coup soudain les délices de tes yeux; tu ne te lamenteras point, tu ne pleureras point, et tes larmes ne couleront pas.
17 Utagugumia bila kusikika. Usiendeshe mazishi kwa ajili ya aliyekufa. Funga kilemba chako juu yako na vaa makubazi miguuni pako, lakini usivalishe shela nywele zako au kula mkate wa watu waombolezao kwa ajili ya kuwapoteza wake zao.”
Soupire en silence; ne fais pas le deuil des morts; ceins ta tête de ton turban et mets ta chaussure à tes pieds; ne te voile pas la barbe et ne mange pas le pain de consolation. »
18 Hivyo nimeongea na watu asubuhi, na mke wangu amekufa asubuhi. Asubuhi nimefanya kile nilichokuwa nimeambiwa kukifanya.
Je parlai au peuple le matin, et ma femme mourut le soir; le lendemain matin, je fis ce qui m’avait été ordonné.
19 Watu wameniuliza, “Ji! hautatuambia haya mambo yanamaana gani, mambo ambayo unayoyafanya?”
Et le peuple me dit: « Ne nous expliqueras-tu pas ce que signifie pour nous ce que tu fais là? »
20 Hivyo nimewaambia, “Neno la Yahwe likanijia, kusema,
Je leur dis: « La parole de Yahweh m’a été adressée en ces termes:
21 'Waambie nyumba ya Israeli, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitapanajisi patakatifu pangu-fahari ya nguvu yenu, mahali panapopendeza macho yenu, na panapotamaniwa na roho zenu, na wana wenu na binti zenu ambao mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.
Dis à la maison d’Israël: Ainsi parle le Seigneur Yahweh: Voici que je vais profaner mon sanctuaire, l’orgueil de votre force, les délices de vos yeux et l’amour de vos âmes; et vos fils et vos filles que vous avez quittés tomberont par l’épée.
22 Kisha mtafanya hasa kama nilivyofanya: hutafunika nywele za sehemu ya chini za uso, wala kula mkate wa watu wanaoomboleza!
Vous ferez alors ce que j’ai fait: vous ne vous couvrirez pas la barbe et vous ne mangerez pas le pain de consolation.
23 Badala yake, vilemba vyenu vitakuwa juu ya vichwa, na makubadhi yenu miguuni mwenu; hutaomboleza wala kulia, kwa kuwa mtayeyuka katika maovu yenu, na kila mtu atagugumia kwa ya ajili ya ndugu yake.
Vos turbans resteront sur vos têtes et vos chaussures à vos pieds; vous ne vous lamenterez pas et vous ne pleurerez pas; mais vous vous consumerez dans vos iniquités, et vous gémirez l’un auprès de l’autre.
24 Hivyo Ezekieli atakuwa ishara kwenu, kama kila kitu ambacho alichokifanya mtafanya wakati hili litakapokuja. Kisha mtajua yakwamba mimi ni Bwana Yahwe!”'
Ézéchiel sera pour vous un emblème: selon tout ce qu’il a fait vous agirez, quand cela arrivera, et vous saurez que je suis le Seigneur Yahweh. »
25 “Lakini wewe, mwanadamu, siku ambayo nitachukua hekalu lao, ambalo ni furaha yao, kiburi chao, na kile waonacho na kutamani-na wakati nikiwachukua wana wao na binti-
« Et toi, fils de l’homme, le jour où je leur ôterai ce qui fait leur force, leur gloire et leur joie, les délices de leurs yeux et le désir de leurs âmes, — leurs fils et leurs filles, —
26 siku hiyo, mgeni atakuja kwako kukupatia habari!
en ce jour-là, un fugitif viendra vers toi pour en apporter la nouvelle.
27 Siku hiyo kinywa chako kitafunguliwa kwa huyo mgeni na utaongea-hutakuwa bubu tena. Utakuwa ishara kwao hivyo basi watajua kwamba mimi ni Yahwe.
En ce jour-là, ta bouche s’ouvrira à l’ arrivée du fugitif; tu parleras et ne seras plus muet, et tu seras pour eux un emblème; ils sauront que je suis le Seigneur Yahweh. »

< Ezekieli 24 >