< Ezekieli 2 >

1 Akanambia, “Mwana wa adamu, simama kwa miguu yako; kisha nitaongea na wewe.”
Rekel mi je: »Človeški sin, vstani na svoja stopala in spregovoril ti bom.«
2 Kisha, alipokuwa akiongea na mimi, Roho akaingia ndani yangu na ikaniweka kwenye miguu yangu, na nikamsikia akiongea na mimi.
Ko mi je spregovoril, je vame vstopil duh in me postavil na moja stopala, da sem slišal tistega, ki mi je spregovoril.
3 Akanambia, “Mwana wa adamu, nakutuma kwa watu wa Israeli, kwa mataifa yanayoasi ambayo yameasi dhidi yangu-wote wao na babu zao wameasi juu yangu hata hivi leo!
Rekel mi je: »Človeški sin, pošiljam te k Izraelovim otrokom, k upornemu narodu, ki se je uprl zoper mene. Oni in njihovi očetje so se pregrešili zoper mene, celó do točno tega dne.
4 Vizazi vyao vina sura za kikaidi na mioyo migumu. Nakutuma wewe kwenda kwao, na utawaambia, 'Hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.'
Kajti predrzni otroci so in trdega srca in jaz te pošljem k njim, ti pa jim boš rekel: ›Tako govori Gospod Bog.‹
5 Labda watasikia au hawatasikia. Ni nyumba za uasi, lakini angalau watajua kwamba nabii alikuwa miongoni mwao.
In oni, bodisi bodo slišali, bodisi se bodo zadržali (kajti uporna hiša so ), bodo vendar vedeli, da je bil med njimi prerok.
6 Wewe, mwanadamu, usiwaogope au maneno yao. Usiogope, ingawa utakuwa pamoja na mitemba na miiba na ijapokuwa unaishi na nge. Usiogope maneno yao au kuvunjika moyo kwa nyuso zao, kwa kuwa ni nyumba zenye kuasi.
Ti pa, človeški sin, se jih ne boj niti se ne boj njihovih besed, čeprav bodo s teboj osat in trnje in prebivaš med škorpijoni. Ne boj se njihovih besed niti ne bodi zaprepaden ob njihovih pogledih, čeprav so uporna hiša.
7 Lakini utawaambia maneno yangu, labda watasikia au hapana, kwa sababu ni waasi mno.
Govoril jim boš moje besede, bodisi bodo slišali, bodisi se bodo zadržali, kajti najbolj uporni so.
8 Lakini wewe, mwanadamu, silikiliza kile nisemacho kwako. Usiwe muasi kama nyumba za uasi. Fungua mdomo wako na ule kile ninachotaka kukupa!”
Toda ti, človeški sin, poslušaj, kaj ti povem: ›Ne bodi uporen kakor ta uporna hiša. Odpri svoja usta in pojej, kar ti dajem.‹«
9 Kisha nikaona, na mkono ulikuwa umenyooshwa kwangu; ndani yake kulikuwa na hati ya kukunja.
Ko sem pogledal, glej, je bila k meni poslana roka, in glej, zvitek knjige je bil v njej
10 Akaikinjua mbele yangu; ilikuwa imeandikwa pande zote mbele na nyuma, na yalikuwa yameandikwa maombolezo kwenye hiyo hati ya kukunja, na huzuni, na ole.
in razprostrl ga je pred menoj. Popisan je bil znotraj in zunaj in na njem so bile zapisane žalostinke, žalovanja in gorje.

< Ezekieli 2 >