< Ezekieli 10 >
1 Nilipokuwa nikingalia mbele ya anga ambalo liliyokuwa juu ya vichwa vya kerubi; kitu kikawatokea juu yao kama rangi ya samawati mwonekano wake ulikuwa kama kiti cha enzi.
Et je vis, et voilà que dans le firmament qui était sur la tête des chérubins, parut comme une pierre de saphir, comme une espèce de ressemblance de trône au-dessus d’eux.
2 Kisha Yahwe akaongea na yule mtu alikuwa maevaa nguo za kitani na kusema, “Nenda kati ya magurudumu chini ya kerubi, na jaza mikono yako yote na watawanye juu ya mji.” Kisha yule mtu akaenda ndani nikiwa natazama.
Et le Seigneur dit à l’homme qui était vêtu de lin: Entre au milieu des roues qui sont sous les chérubins, et remplis tes mains de charbons ardents de feu qui sont entre les chérubins, et répands-les sur la cité. Et il entra en ma présence;
3 Kerubi likasimama juu ya upande wa kulia wa nyumba wakati yule mtu alipoingia, na wingu likaja a ndani ya uzio.
Mais les chérubins se tenaient à la droite de la maison, lorsque l’homme entra, et la nuée remplit le parvis intérieur.
4 Utukufu wa Yahwe ukainuka kutoka kwenye kerubi na kusimama kwenye kizingiti cha nyumba. Ukaijaza nyumaba kwa wingu, na uzio ulikuwa umejaa nuru ya utukufu wa Yahwe.
Et la gloire du Seigneur s’éleva de dessus les chérubins vers le seuil de sa maison; et la maison fut remplie de la nuée, et le parvis fut rempli de l’éclat de la gloire du Seigneur.
5 Sauti ya mabawa ya kerubi ikasikika kwa mbali nje ya uzio, kama sauti ya Mungu mwenyezi wakati akiwa anaongea.
Et l’on entendait le bruit des ailes des chérubins jusqu’au parvis extérieur, comme la voix du Dieu tout-puissant lorsqu’il parle.
6 Ikawa kuhusu, Mungu alipoamwamuru yule mtu aliyekuwa amevaa nguo za kitani na kusema, “Chukua moto kutoka kwenye ya kerubi,” yule mtu akaenda na kusimama karibu na gurudumu.
Et lorsque le Seigneur eut commandé à l’homme qui était vêtu de lin, en disant: Prends du feu du milieu des roues qui sont entre les chérubins, celui-ci entra et se tint près de la roue.
7 Kerubi akaunyoosha mkono wake kwenye kerubi kwenye moto uliokuwa miongoni mwa kerubi, na kuiacha juu na kuiweka kwenye mikono ya yule mtu aliyekuwa amevaa vazi la kitani. Yule mtu akaichukua na kurudi.
Et le chérubin étendit sa main, du milieu des chérubins, vers le feu qui était entre les chérubins; et il en prit, et il le mit dans les mains de celui qui était vêtu de lin; lequel l’ayant reçu, sortit.
8 Nikaona juu ya kerubi kitu kama mkono wa mtu juu ya mabawa yao.
Et il parut dans les chérubins, la ressemblance d’une main d’homme sous leurs ailes.
9 Hivyo nikaona, na tazama! Magurudumu manne yalikuwa karibu na kerubi-gurudumu moja karibu na kila kerubi-na mwonekano wa hayo magurudumu ulikuwa kama jiwe la zabarajadi.
Et je vis, et voilà quatre roues près des chérubins; une roue près d’un chérubin, et une autre roue près d’un autre chérubin; mais l’apparence des quatre roues était comme celle d’une pierre de chrysolithe;
10 Mwonekano wake ulikuwa unaofanana kama wa wote wanne, kama gurudumu lililokuwa kwenye gurudumu lingine.
Et d’après leur apparence, toutes les quatre avaient la même forme; comme serait une roue au milieu d’une autre roue.
11 wakati walipokuwa wakitembea, walienda katika pande zote nne bila kugeuka katika kwenye njia nyingine. Badala yake, popote kichwa kilipoelekea, walilifuata. Hawakugeuka kwenye njia yeyote nyingine walipokuwa wakienda.
Et lorsqu’elles marchaient, elles allaient de quatre côtés et ne se retournaient pas en marchant; mais quand la première allait d’un côté, les autres suivaient et ne se détournaient point.
12 Mwili wao wote-pamoja na migongo yao, mikono yao, na mabawa yao-vilikuwa vimefunikwa kwa macho, na macho kufunika magurudumu manne kuzunguka pote pia.
Et tout le corps de ces quatre roues, et les cous, et les mains, et les ailes et les cercles étaient pleins d’yeux tout autour.
13 Nilikuwa nasikia, magurudumu yalikuwa yakiita, “Kuzunguka.”
Et ces roues furent appelées, moi l’entendant, les roulantes.
14 Walikuwa na nyuso nne kila moja; uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, uso wa pili ulikuwa uso wa mtu, uso wa tatu ulikuwa uso wa simba, na uso wa nne ulikuwa uso wa malaika.
Chacun de ces animaux avait quatre faces; la première face était la face du chérubin, la seconde face une face d’homme, le troisième animal avait une face de lion, et le quatrième une face d’aigle.
15 Kisha makerubi-hawa walikuwa viumbe hai nilivyokuwa nimeviona karibu na Keberi Kanali-wakainuka juu.
Et les chérubins s’élevèrent, c’est ranimai même que j’avais vu près du fleuve de Chobar.
16 Popote makerubi walipoenda, magurudumu yalienda karibu nao, na popote makerubi walipoinua juu mabawa yao kupaa juu kutoka kwenye nchi, magurudumu hayakugeuka. Yaliendelea kuwa karibu nao.
Et lorsque les chérubins marchaient, allaient pareillement aussi les roues près d’eux; et lorsque les chérubins haussaient leurs ailes, afin de s’élever de terre, les roues n’y restaient pas, mais elles étaient près d’eux.
17 Wakati makerubi waliposimama, magurudumu yalisimama pia, na wakati walipoinuka juu, magurudumu yaliinuka juu pamoja nao, kwa kuwa roho wa vile viumbe hai walikuwa kwenye magurudumu.
Eux s’arrêtant, elles s’arrêtaient, et quand ils s’élevaient, elles s’élevaient, parce que l’esprit de vie était en elles.
18 Kisha utukufu wa Yahwe ukaja kutoka juu ya kizingiti cha nyumba na kusimama juu ya kerubi.
Et la gloire du Seigneur sortit du seuil du temple, elle se reposa sur les chérubins.
19 Lile kerubi likaacha juu mabawa na kuinuka kutoka kwenye jicho langu wakati walipotoka nje, na yale magurudumu yakafanya vivyo hivyo karibu yao. Wakasimama upande wa mashariki kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, na utukufu wa Mungu wa Israeili ukaja juu yao kutoka juu.
Et les chérubins, haussant leurs ailes, s’élevèrent de terre devant moi; et eux sortant, les roues aussi les suivirent; et ils s’arrêtèrent à l’entrée de la porte orientale de la maison du Seigneur; et la gloire du Dieu d’Israël était sur eux,
20 Hawa walikuwa viumbe hai ambao niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli karibu na Kebari Kanali, hivyo nilijua kwamba walikuwa makerubi!
C’est l’animal même que je vis au-dessous du Dieu d’Israël près du fleuve de Chobar; et je reconnus que c’étaient des chérubins.
21 Walikuwa na macho manne kila mmoja na mabawa manne, na mfanano wa nyuso zao zilikuwa na mfanano wa mikono ya mwanadamu chini ya mabawa yao,
Chacun avait quatre faces, et chacun quatre ailes; et la ressemblance d’une main d’homme sous leurs ailes.
22 na mfanano wa nyuso zao ulikuwa kama nyuso nilizokuwa nimeziona kwa maono huko Keberi Kanali, na kila mmoja wao alienda mbele.
Et la ressemblance de leurs visages, c’étaient les visages mêmes que j’avais vus près du fleuve de Chobar, et aussi leur aspect, et l’impétuosité de chacun à marcher devant sa face.