< Kutoka 36 >

1 Hivyo Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yahweh aliye mpa ustadi na uwezo kujua jinsi ya kufanya kazi katika ujenzi wa sehemu takatifu wafanye kazi kadiri ya yote Yahweh aliyo amuru.”
Aa le nitoloñe amo he’e linili’ Iehovào t’i Betsalale naho i Oholiabe naho ze ondaty nahihi-troke tinolo’ Iehovà hilala naho faharendrehañe hahafitoloña’e ze fonga karaza fitse­neañe am-pitoroñañe amy toe-miavakeiy.
2 Musa akamuita Bezaleli, Oholiabu, na kila mtu mwenye ujuzi ambaye Yahweh kampa ujuzi, na ambaye moyoni mwake ulichochewa kuja na kufanya kazi.
Aa le kinai’ i Mosè t’i Betsalale naho i Oholiabe naho ze ondaty mahihits’ arofo nitolora’ Iehovà hilala naho ze nentoe’e añ’arofo’e ty homb’eo hifanehake,
3 Walipokea kutoka kwa Musa sadaka zote ambazo Waisraeli walizo leta kwa ujenzi ya sehemu takatifu. Watu walikuwa bado wanaleta sadaka za hiari kila asubui kwa Musa.
vaho rinambe’ iareo añatrefa’ i Mosè ze fonga raha binanabana’ o ana’ Israeleo hitoloña’ iareo ami’ty fandranjiañe i toe-miavakey. Mbe nitolom-panese banabana ama’e boa-maraiñe ondatio.
4 Hivyo watu wote walikuwa na ujuzi walikuwa wakifanya kazi sehemu takatifu walikuja kutoka kwenye kazi walikuwa wakifanya.
Aa akore ty hamaro’e kanao nijohañe hey o mahihitse nifanehak’ amo tolon-draha’ i toe-miavake nitoloñe’e iabiio,
5 Wachonga mawe walimwabia Musa, “Watu wanaleta zaidi sana ya yanayo itajika kufanya kazi Yahweh aliyo tuamuru.”
le ninday o saontsy zao amy Mosè, Fa ninday loho mandikoatse ze hahatsake i fitoloñañe o tolon-draha’ linili’ Iehovà anay hanoeñeoy ondatio.
6 Hivyo Musa akaamuru mtu yeyote asilete tena kwa ujenzi wa sehemu takatifu. Kisha watu wakaacha kuleta hivi vitu.
Aa le nandily t’i Mosè naho nikoiheñe amy tobey ty hoe, Ehe te tsy hitsene raha hengaeñe amy toe-miavakey ka t’in­daty ndra rakemba. Aa le nisebañeñe ondatio tsy hanese ka;
7 Walikuwa na zaidi ya vitu vya ujenzi.
fa nahaheneke vaho nandikoatse ty hahafonirañe ze hene fitoloñañe o raha tam’ iereoo.
8 Hivyo wachonga mawe miongoni mwao wakajenga lile hema la kuabudia kwa mapazia kumi yaliyo jengwa kitamba kizuri na buluu, zambarau, na sufu nyekundu kwa aina ya kerubi. Hii ni kazi ya Bezaleli, mjenzi mwenye ujuzi sana.
Ie amy zao, tsinene’ o mahihitse amo mpifanehak’ amy kivohoioo i lamba folo fañefetse am-pole leny rinorotse ma­tify rey ami’ty manga naho malòmavo naho mena mañabarà, vinahotse an-tsare kerobe;
9 Urefu wa kila pazia ulikuwa mikono ishirini na nane, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa vyote hivyo vilikuwa na kipimo kimoja.
songa kiho roapolo-valo’ amby ty andava’ i lamba rey, sindre kiho efatse ty ampohe’e, mira habey i lamba rey.
10 Bezaleli akaunganisha vitambaa vitano pamoja, na vile vitambaa vingine vitano akaviunganisha pamoja.
Nifampivitrañe’e ho raike ty lamba lime le nifampivitrañe’e i lime ila’e rey.
11 Kisha akafanya vitanzi vya uzi wa bluu kwenye upindo wa kitambaa kilicho mahali pa kuungania. Akafanya vivyo hivyo kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pale pengine pa kuungania.
Nitsene’e ravake manga añ’ indra’ ty lamba fañefetse añ’ila’ i tolà’e valoha’ey; mindray amy zay ty nitsene’e añ’indra’ i lamba añ’ila’ i tolà’e faharoey;
12 Akafanya vitanzi hamsini kwenye kitambaa kimoja, akafanya vitanzi hamsini kwenye mwisho wa kitambaa kilichokuwa mahali pale pengine pa kuungania, vitanzi hivyo vikiwa vinaelekeana.
ravake limampolo ty nanoe’e amy lamba fañefetse raikey, le ravake limampolo ty nanoe’e añ’ indra’ i lamba fañefetse añ’ila’ i tolà’e faharoey; nifañatreke i ravake rey.
13 Mwishowe akafanya kulabu hamsini za dhahabu na kuviunganisha vitambaa hivyo pamoja kwa kulabu hizo, hivi kwamba hiyo ikawa maskani moja.
Tsinene’e ty fikavitse volamena limampolo, le nampirekete’e amy fikavitse rey i lamba fañefetse rey, hampikatohañe i kivohoy ho raike.
14 Bezaleli akafanya vitambaa vya mahema vya manyoya ya mbuzi kwa ajili ya hema lililo juu ya maskani. Vitambaa kumi na moja ndivyo alivyofanyiza.
Nitsenè’e lamba-lava ambolon’ ose ho fandombohañe i kivohoy; folo-raik’amby ty lamba-lava nanoe’e.
15 Urefu wa kila kitambaa ulikuwa mikono thelathini, nao upana wa kila kitambaa ulikuwa mikono minne. Vitambaa hivyo kumi na moja vilikuwa na kipimo kimoja.
Kiho telo-polo ty andava’ i lambalava rey, kiho efatse ty ampohe’e; le mira i lambalava folo-raik’ amby rey.
16 Kisha akaunganisha vitambaa vitano pamoja na vile vitambaa vingine sita pamoja.
Navitra’e ho raike ty lambalava lime naho ho raike ty lambalava eneñe.
17 Kisha akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kitambaa cha nje kabisa kilicho mahali pa kuungania, naye akafanya vitanzi hamsini kwenye upindo wa kile kitambaa kingine kilichoungana nacho.
Nitsene’e ravake limampolo ho añ’indra’ ty lamba-lava añ’ ila’ i valoha’ey; le ravake limam-polo añ’indra’ i lambalava añ’ila’ i tolà’e faharoey.
18 Bezaleli akafanya kulabu hamsini za shaba kwa ajili ya kuliunganisha hilo hema pamoja liwe kipande kimoja.
Nitsenè’e fikavitse torisìke limampolo hifampi­reketañe i kibohotsey ho raike.
19 Naye akafanya kifuniko cha hema kutokana na ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu na kifuniko kutokana na ngozi za sili, upande wa juu.
Le nitsenea’e rakoke an-kolin’ añondrilahy linoko mena i kibohotsey vaho holin-trozofisoitse ty ambone’e.
20 Bezaleli akafanya viunzi vya mbao vya hema ya kukutani kutokana na mbao za mshita.
Nandranjia’e rafi-tolàñe i kivohoy, varambañe mendoraveñe mitroatse.
21 Urefu wa kiunzi ulikuwa mikono kumi, nao upana wa kila kiunzi ulikuwa mkono mmoja na nusu.
Folo kiho ty andava’ o varambañeo naho kiho raike naho tampa’e ty ampohe’e.
22 Kila kiunzi kilikuwa na ndimi mbili zilizounganishwa. Hivyo ndivyo alivyofanya viunzi vyote vya maskani.
Songa aman-dahi’e roe o varambañeo hifamitrañe. Hene nanoe’e hoe izay ty rafi’ i kivohoy.
23 Basi akafanya viunzi vya maskani, viunzi ishirini kwa ajili ya upande kuelekea kusini.
Le nitsenea’e rafi-tolàñ’ i kivohoy: roapolo ty varambañe atimo, miatrek’ atimo,
24 Bezaleli akafanya vikalio arobaini vya fedha viwe chini ya vile viunzi ishirini, vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili na vikalio vingine viwili chini ya kiunzi kingine pamoja na ndimi zake mbili.
le nitsene’e vave’e volafoty efapolo ho ambane’ i varambañe roapolo rey; vave’e roe ambane’ ty varambañe raike ho ami’ty lahi’e roe vaho vave’e roe ambane’ ty varambañe raike ka ho a ty lahi’e roe.
25 Na kwa ajili ya ule upande mwingine wa maskani, upande wa kaskazini, akafanya viunzi ishirini
Nandranjia’e rafi-tolàñe roapolo añ’ila’ i kivohoy avaratse.
26 na vikalio vyake arobaini vya fedha. Vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja na vikalio viwili chini ya kiunzi kingine
naho ty vave’e volafoty efa-polo: vave’e roe ambane’ ty varambañe le vave’e roe ami’ty varambañe ila’e.
27 Na kwa ajili ya zile pande za nyuma za maskani kuelekea magharibi akafanya viunzi sita.
Niranjie’e varambañe eneñe ho añ’ila’ i kivohoy ahandrefañe.
28 Naye akafanya viunzi viwili vya pembeni ya maskani kwenye pande zake mbili za nyuma
Nandranjia’e varambañe roe an-kotsoke roe amboho’ i kivohoy,
29 Hizi zilikuwa pacha upande wa chini, lakini juu ya kila moja kwenye pete ya kwanza. Hivyo ndivyo alivyoifanya yote miwili, ile miimo ya pembeni.
le nifampireketse pak’ ambone iereo vaho nampivitrañe’ ty ravake raike; izay ty nanoe’e ty roe amy hotso’e roe rey.
30 Basi vikajumlika kuwa viunzi vinane na vikalio vyake kumi na sita vya fedha, vikalio viwili kando ya vikalio viwili chini ya kila kiunzi.
Nivalo ty varambañe, naho folo-eneñ’amby ty vave’e volafoty— sindre amam-bave’e roe ambane’e ty varambañe.
31 Bezaleli akafanya miti ya mshita, mitano kwa ajili ya viunzi vya upande mmoja wa maskani,
Niranjie’e saka ami’ty mendoraveñe: lime ho amo varambañe añ’ila’ i kivohoy etoa,
32 na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya upande ule mwingine wa maskani na miti mitano kwa ajili ya viunzi vya maskani kwa ajili ya zile pande mbili za nyuma za magharibi.
naho saka lime ho amo varambañe añ’ ila’ i kivohoy eroa vaho saka lime ho amo varambañe amboho ahandrefa’ i kivohoio.
33 Kisha akafanya mti wa katikati upitie katikati ya vile viunzi toka mwisho mmoja mpaka ule mwingine.
Nanoe’e saka raike hi­tsorofotse añivo’ o varambañeo boak’ añ’ ila’e pak’ añ’ ila’e.
34 Naye akavifunika vile viunzi kwa dhahabu, akafanyiza pete zake za dhahabu ziwe vitegemezo kwa ajili ya ile miti, akaifunika ile miti kwa dhahabu.
Le ni­pa­kora’e volamena o varambañeo, naho nitsene’e ravake volamena hitañe o sakao vaho nipakora’e volamena o saka’eo.
35 Bezaleli akafanya pazia, la uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa cha rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kalitia makerubi kwa kazi ya mjenzi.
Le manga naho malò­mavo naho mena mañabarà vaho leny rinorotse matify ty nanoe’e i lam­ba-lavay; naho nanoa’e sare kerobe an-tsatam-pamahotse;
36 Kisha akalifanyia nguzo nne za mshita na kuzifunika kwa dhahabu, vibanio vyake vikiwa vya dhahabu, na kutengeneza vikalio vinne vya fedha kwa ajili yake.
le nan­dranjie’e anakòreñe efatse ami’ty ­mendoraveñe naho nipakora’e volamena; le vola­mena o porengo’eo; vaho nam­pi­tra­naha’e foto­tse volafoty efatse.
37 Naye akafanya kisitiri kwa ajili ya mwingilio wa hema kutokana na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kazi ya mfumaji.
Mbore fole manga naho malòmavo naho mena mañabarà naho leny rinorotse matify, an-tsatam-panenoñe mahay, maro-volo ty nanoe’e ty lamba fañefe’ i lalam-bein-kibohotsey,
38 Pia akafanya na nguzo zake tano na vibanio vyake. Naye akavifunika vilele vyake na viungo vyake kwa dhahabu, lakini vile vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.
miharo ami’ty anakòre’e lime rekets’ o po­ren­go’eo. Nipakora’e volamena o to­ko­na’e ambone naho o ana-tolà’eo le nanoeñe torisìke i vave’e lime rey.

< Kutoka 36 >